BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Halafu wapingaji wa ushoga wengi wao ni mashoga pia.Mimi ni Mgalatia ila kwa hili WAPO SAHIHI.
Hatutaki Was*eng*e kwenye jamii.
Hili swala LIANGALIWE.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu wapingaji wa ushoga wengi wao ni mashoga pia.Mimi ni Mgalatia ila kwa hili WAPO SAHIHI.
Hatutaki Was*eng*e kwenye jamii.
Kwa mfano?Halafu wapingaji wa ushoga wengi wao ni mashoga pia.
Hili swala LIANGALIWE.
Acha watu watumie vinyeo vyao jinsi wanavyotaka.
Halafu wapingaji wa ushoga wengi wao ni mashoga pia.
Hili swala LIANGALIWE.
Nimeoteshwa ndoto.Wewe umejuaje?
Kwa mfano AzarelKwa mfano?
Nimeoteshwa ndoto.
Andika kwa heshimamnachachawa na ushoga kwani ni kitu kipya? Mnaacha mambo ya maana mnakuza upuuzi na kuupa nguvu
Ndioo.
Zibeni midomo kwa supagluu.
NdioooWanatakiwa waandamane kupinga yaliyo kwenye katiba na sheria za nchi na bado yanavunjwa ama hayatekelezeki. Huwezi kuandamana kupinga negativity yenye haipo ni bora uandamane kuhitaji positivity yenye haipo let's say katiba mpya nk nk
Ndiooo
Wanatakiwa waandamane kupinga yaliyo kwenye katiba na sheria za nchi na bado yanavunjwa ama hayatekelezeki. Huwezi kuandamana kupinga negativity yenye haipo ni bora uandamane kuhitaji positivity yenye haipo let's say katiba mpya nk nk
Huku ya mashoga na mabasha na makahaba iko wezi kwenye qur,aan bakwata wanashindwa kutekeleza hukumu hiyo matokeo yake wanaingia barabalani kujichosha bora yangu mimi nia chukia vitengo hivioView attachment 2539078
Baraza kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) mkoa wa Mwanza, limefanya maandamano ya amani kupinga mapenzi ya jinsia moja, Ushoga, ulawiti, ukatili wa kijinsia pamoja na mauaji.
---
Pia soma
- BAKWATA yawataka Watanzania kukataa ndoa za jinsia moja, Mufti ashangazwa wanaume kulawitiana ilhali wanawake wa kuolewa wapo
View attachment 2539048
View attachment 2539068
View attachment 2539077
Baraza kuu la Waislamu wa Tanzania (Bakwata ) Mkoa wa Mwanza, limefanya maandamano ya amani kupinga mapenzi ya jinsia moja, Ushoga, ulawiti, ukatili wa kijinsia pamoja na mauaji.
Aidha Bakwata Mkoa wa Mwanza, wamesema wamepokea na kuunga mkono hotuba ya Mheshimiwa Muft na Sheikh Mkuu wa Tanzania Sheikh Dkt, Abubakari Zuber Bin Ally juu ya kupinga na kukemea vikali matendo yote haramu
Sheikh wa Mkoa wa Mwanza, Hassan Kabeke ameishukuru Serikali kwa umakini wake wa kuchukua hatua za haraka pale tu inapobaini kuwepo na ulazima wa kupiga marufuku kuendelea kutumika kwa vitabu visivyo faa katika shule zetu nchini
Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislam Tanzania (BAKWATA) Alhaji Nuhu Jabir Mruma amelipongeza Baraza Kuu la Waislam Mkoa wa Mwanza kwa kuunga mkono hotuba ya Mheshimiwa Muft na Sheikh Mkuu wa Tanzania Dkt, Abubakar Zuber Bin Ally juu ya kupinga na kukemea vikali viendo vyote haramu.
Mzawa
Maadili si muhimu, single mothers mnahitilafu kichwaniIla mambo ya muhimu hawana habari nayo