BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

Hawa Bakwata wanapenda kuoa watoto,waislam wanapenda sana haya mambo sijui kwa nini
 
W erisks za kiafya za mtoto huyo kuolewa hata kama hasomi? Embu tuache kuendekeza ujinga in the name of dini
We mbuzi nini!?..kwani hiyo Sheria ya serikali ya kumuozesha mtoto wa miaka 14 kupitia mahakama ni ya dini!?..bibi yako aliolewa akiwa na umri gani!?
 
We mbuzi nini!?..kwani hiyo Sheria ya serikali ya kumuozesha mtoto wa miaka 14 kupitia mahakama ni ya dini!?..bibi yako aliolewa akiwa na umri gani!?
Sheria gani ya tz inasema mtoto wa miaka 14 aolewe??? Jichanganyre ukanyee ndooo hao bakwata hawatakuwepoo..
 
Sheria gani ya tz inasema mtoto wa miaka 14 aolewe??? Jichanganyre ukanyee ndooo hao bakwata hawatakuwepoo..
Yaani habari umeisoma lakini hujaelewa!!..shuleni ulichapwa Kama punda, bakwata wanasema hiyo Sheria ya serikali ya mtoto wa miaka 14 kuolewa kwa kibali Cha mahakama isifutwe iendelee,au hukusoma umedandia tu mjadala!?
 
Yaani habari umeisoma lakini hujaelewa!!..shuleni ulichapwa Kama punda, bakwata wanasema hiyo Sheria ya serikali ya mtoto wa miaka 14 kuolewa kwa kibali Cha mahakama isifutwe iendelee,au hukusoma umedandia tu mjadala!?
Ni sheria ya kipumbavuu sanaa ndo maana ikafutwaa sasa wao bakwataa wanataka waendelee kuwa wapumbavu???
 
Nyie watu wa hii dini mnapenda ngono jamaaaaniiiiii [emoji119]
Wewe kama mwanaume basi khanithi kama ke basi huna shimo,swali kwanini mtoto wakike akifikia kipindi uanza kutokwa damu sehemu za siri kila mwezi?
 
Yaani mtu amesoma sheria mpaka kuwa mwanasheria mkuu wa Bakwata haoni aibu kuongea Upumbavu kama huu...?...anajua mtoto wa miaka 14 alivyo? Kweli ataweza kubeba majukumu ya kuwa mke achilia mbali kuwa mama? Na shule je?.

Aisee...inasikitisha sana.
Huyo amelenga kawe mke wa tatu au wa 4... Awe anajilia embe bichi kwa chumvi...
Mkiambiwa imani zingine ni ushetani na zinadumaza uwezo wa kutafakari mnabisha.
 
Huyo amelenga awe mke wa tatu au wa 4... Awe anajilia embe bichi kwa chumvi...
Mkiambiwa imani zingine ni ushetani na zinadumaza uwezo wa kutafakari mnabisha.
Hiyo ni Sheria ya serikali we kima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…