SatCitAnanda
JF-Expert Member
- Dec 11, 2022
- 643
- 1,099
Mudy anatakiwa ashtakiwe Kama mbakaji na ahukumiweNaam, ma shaa Allah. Unaongelea Bi Aisha, msomi wa Uislam moja jwa moja kutoka kwa Mtume Muhammad, aliyetuachia mafunzo mengi sana ya Uislam tunayoyajuwa leo hii.
Ni bibi mwenye kheri kubwa huyo.
Nenda ukajaribu tukushughulikie.Sheria haikufutwa,ndoa na Binti wa 14 yrs kwa kibali Cha mahakama bado ipo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mudy anatakiwa ashtakiwe Kama mbakaji na ahukumiwe
Hii siyo sawa mbona hatufuati sunna za mtume hii 14 imetokea wapi na umri ni 9?
Kashtaki, unangoja nini?Mudy anatakiwa ashtakiwe Kama mbakaji na ahukumiwe
Nilikua bado mtoto sana, tusimame kwenye ukweli tusipotoshewewe ulipokua 16 ulikua Bikra?
Wakiristo waliowengi akili zenu hovio kabisa mnazidiwa akili na wapagani kwa sababu mpagani anatambua kuwa mtoto akisha anza kuonda damu ya kila mwezi sio mtoto[emoji1][emoji1][emoji1]
Si mzazi unakataa?
Wagalatia bana, muna shida sana
Serikali ilikata rufaa, bado kesi ipo na kuna uwezekano ikaachwa kama zamaniNi sheria ya kipumbavuu sanaa ndo maana ikafutwaa sasa wao bakwataa wanataka waendelee kuwa wapumbavu???
Kumbe na wewe hunaga akili,Nani alikudanganya miaka 14 ni mdogo?
Serikali ilikata rufaa, bado kesi ipo mahakamani.Una kichaa. Sheria ilishafutwa na MAHAKAMA KUU pamoja na MAHAKAMA YA RUFANI.
Kwa sasa haifanyi kazi.
Kwamba utaruhusu aolewe akiwa na miaka 14 (mhitimu darasa la saba)?Me sio Bakwata wala kkt but I'm with Bakwata on this one.
If I have a daughter, kuliko kusikia ana ki boyfriend uchwara bora tuelezane kabisa amalize
form four aende chuo we help her get her married...
Wote tungesilimishwaJana Kuna sehemu nlicomment waarabu wangekua super power tungekoma Sana
Huyu mkirisito Mmarekani tu anatuendesha hivi mwarabu sijui ingekuaje aisee [emoji23]
Wao hudhani watoto ni WA majirani au wa watu wengine, wamesahau nao wanaandaa future ya mabinti zao, wasome na wake wajikomboe kimaisha , hivyo unavyotoa matamko kwa kufuata tamaduni za kale za kiarabu zilizoandikwa kwenye kitabu unachokikariri na kuacha tamaduni zako kumbuka kuwa una vibinti na vijukuu vya kike, halafu kesho unakutana na jitu zee linamadevu kama Osama limemsimamisha njiani eti linamtonhoza au linamchumbia. Lazima tuwatetee watoto na wajukuu zetu wasiharibiwe Maisha na watu wasio na hekimaBaraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limependekeza kifungu cha Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 kinachoruhusu msichana wa umri wa miaka 14 kuolewa kwa amri ya mahakama kisiondolewe.
Akitoa maoni hayo Mwanasheria Mkuu wa BAKWATA, Hassan Fatihu alipowasilisha mapendekezo kwa Tume ya Kuangalia Jinsi ya kuboresha Taasisi za Haki Jinai nchini amesema sheria ya ndoa ibaki vilevile kutokana na ukinzani uliopo kati ya sheria ndoa na sheria ya mtoto pamoja na imani za dini.
“Sisi Waislamu tunaamini mtoto wa kike akishavunja ungo anaruhusiwa kuolewa, nami naruhusiwa kuoa haijalishi nina miaka 10, 12 au 13,” ameeleza Fatihu.
Ameongeza kuwa sheria ya mtoto inaeleza kuwa mtu yeyote aliye chini ya miaka 18 ni mtoto, na kwamba sheria ya ndoa imeruhusu mtoto kuanzia umri wa miaka 14 kuolewa kwa ridhaa ya mahakama ambapo itaangalia vitu vingi ili kuruhusu ndoa hiyo ikiwa ni pamoja na afya ya mtoto, mila na tamaduni za jamii husika.
Mjumbe asiuawe
=======
BAKWATA imependekeza kutoifanyia marekebisho Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971 inayoruhusu mtoto wa kike kuolewa akiwa na umri wa miaka 15 au miaka 14 kwa kibali cha wazazi.
Mtazamo huo unakinzana na maoni ya wanaharakati wa haki za watoto na wanawake ambao wamekuwa wakipinga utekelezaji wa sheria hiyo kuwa inakinzana na Sheria ya Mtoto ya Mwaka 2009 inayomtambua mtoto hadi umri wa 18.
Julai 8, 2016 Mahakama Kuu ilitoa hukumu ikikubali kwamba vifungu hivi vya sheria ya ndoa vinapingana na Katiba kwa kuweka umri tofauti wa kuoa/kuolewa kati ya mtoto wa kike na wa kiume.
Hukumu hiyo ilitolewa kufuatia kesi iliyofunguliwa na Mkurugenzi wa Shirika la Msichana Initiative, Rebeca Gyumi aliyekuwa akipinga kifungu cha 13 na 17 vya sheria ya ndoa kinachoruhusu mtoto wa kike kuolewa akiwa na miaka 14 kwa kibali cha mahakama, na miaka 15 kwa ridhaa ya wazazi.
Kwa mujibu wa BAKWATA, mtoto mwenye umri wa miaka 11, 12 au 13 aliyeingia kwenye kipindi cha balehe aruhusiwe kuolewa kwa uhalali wa mahakama utakaozingatia vielelezo vya kimazingira. “Mtoto wa kike ana miaka 11, 12 hajaendelea na elimu, kwa nini asiolewe? Ukimuacha huyu ni matokeo ya kupata mimba mtaani.
“Simaanishi kila mtoto wa umri huo aruhusiwe kuolewa ila mahakama itajiridhisha afya yake, mazingira na mengineyo,” alisema mwanasheria wa baraza hilo, Hassan Fatiu.
Chanzo: Mwananchi
Mimi ni bora nichinjwe tu kwa kisu butu, kuliko kua muislamu. Dini gani hii ya mabazazi ambayo kwenu ngono ndio kipaumbele hadi kwa watoto?Akhasanta mdomo mali yako tukana mpaka uchoke likini ukweli utabaki kuwa ukweli tu,takwamu ya elimu inaonyesha watoto miaka 12,14,15 wapatao 6000 wamerudi shuleni baada ya kujifungua kafiri sifa yake ni kupinga ukweli uisilamu sifa yake kusema ukweli mtoto akisha vunja uongo sio mtoto tena bali ni mama kuolewa haki yake kafiri kila mtaa mawaona mnao waita watoto wakijiuza heti bado mnasema watoto bora kufa nikazikwa kuliko kuwa kafiri (mkiristo)