BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

Tatizo kila mtu anaona mtoto wake ni innocent halafu watoto wa wenzie ndo wa hovyo.

Tulikuwa na dada akaondokoa alikuwa na 22 mama anamuuliza unaenda kuolewa? Sema tu kweli, akakataa. Mama akasema atakuwa anaenda kuolewa.

Hapo mimi nina 26 na mtoto juu anasema I'm too young to get married 😂, where are our parents' sense?
 
Mudy anatakiwa ashtakiwe Kama mbakaji na ahukumiwe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
wewe ulipokua 16 ulikua Bikra?
Nilikua bado mtoto sana, tusimame kwenye ukweli tusipotoshe

Miaka 16 ni mtoto anaehitaji mwongozo na uangalizi wa wazazi, kusema eti anaweza kuolewa ni ukatili kwa mtoto
 
[emoji1][emoji1][emoji1]
Wakiristo waliowengi akili zenu hovio kabisa mnazidiwa akili na wapagani kwa sababu mpagani anatambua kuwa mtoto akisha anza kuonda damu ya kila mwezi sio mtoto
tena kawa mama yampasa kuolewa kabla ya akaleta wajukuu nyumbani na kutoa mimba sasa nyinyi wakiristo mnapinga nn?
 
Binti akitaka?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Si mzazi unakataa?
Kwani binti yako akitaka kunywa pombe au kuvuta sigara utamkubalia? Si utamwambia hapana?

Kinashindikana nini kumwambia binti hapana, subiri utaolewa ukiwa mkubwa?

Kwa hiyo binti yako wa miaka 9 naye akikuambia anataka kuolewa wewe utamkubalia? Hutamwambia hapana?

Hivi nyie wavaa kobazi mbona mnakuwa wapumbavu hivi?
 
Sawa mnawaoa ila wakishazaa watoto wawili mnashindwa kuwahudumia wanageuka wauza Karanga,mandazi,maembe,sambusa.mbaya zaidi wakiwa na watoto mgongini mna ukatili sana nyie dini ya haki.
 
Mimi ni upande Christian upande Islam nimeingia masjid nimeingia church…what I came to conclude ni kwamba hizi dini tumeletewa….lets get back to our roots….African roots….na kwa mambo yalivyobadilika siioni hoja ya mtoto wa miaka 14 kuolewa
 
Yani alafu hiyu ndo mwanasheria mkuu aisee,na kuna watu watakubari.

Hivi huyo mtoto hana malengo,yeye kuzaliwa kwake kikubwa ni kuwa mke tu,hawa jamaa waache hizi tabia za kishamba na kipuuzi
 
Wao hudhani watoto ni WA majirani au wa watu wengine, wamesahau nao wanaandaa future ya mabinti zao, wasome na wake wajikomboe kimaisha , hivyo unavyotoa matamko kwa kufuata tamaduni za kale za kiarabu zilizoandikwa kwenye kitabu unachokikariri na kuacha tamaduni zako kumbuka kuwa una vibinti na vijukuu vya kike, halafu kesho unakutana na jitu zee linamadevu kama Osama limemsimamisha njiani eti linamtonhoza au linamchumbia. Lazima tuwatetee watoto na wajukuu zetu wasiharibiwe Maisha na watu wasio na hekima
 
Mimi ni bora nichinjwe tu kwa kisu butu, kuliko kua muislamu. Dini gani hii ya mabazazi ambayo kwenu ngono ndio kipaumbele hadi kwa watoto?

Mtume wenu akaoa katoto ka miaka tisa (ingekua leo, tungemtandika viboko hadharani), magaidi yenu yanaua watu kwakua yamepewa ahadi ya bikra saba huko akhera. Na sasa mnataka sheria za nchi ziruhusu ubazazi wenu kwa watoto.

Mkivibaka vitoto vyenu huko madrassa inatosha. Nikikukuta anywhere near my daughter na midevu yako, nakufyeka shingo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…