BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

Tutolee uchu wako wa ngono hapa.
 
Tutolee uchu wako wa ngono hapa
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Serikali ilikata rufaa, bado kesi ipo na kuna uwezekano ikaachwa kama zamani

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
huu ndo upuuzi wa kusema mahakama ni chombo huru sijui taka taka ganiii...sasa sheria ya kingese kama hii serikali kuifuta mpaka waanze kusumbuana na mahakama no wonder kenya wanapitisha ushoga kisa mahakama zilizojaa WAAFRIKA WENYE NJAA WAPUUZI.
 
Nilikua bado mtoto sana, tusimame kwenye ukweli tusipotoshe

Miaka 16 ni mtoto anaehitaji mwongozo na uangalizi wa wazazi, kusema eti anaweza kuolewa ni ukatili kwa mtoto

bado hujajibu ndugu.
 
Kwamba utaruhusu aolewe akiwa na miaka 14 (mhitimu darasa la saba)?
Miaka 14 darasa la saba ni kijijini huko,

Miaka 14 yuko form two.

Kama kuna mtu yuko serious anamtaka binti yangu na binti karidhia aje aweke bond asubiri amalize form four aanze chuo ndo tutampa baada ya kumchunguza na kujiridhisha binti anenda sehemu salama.

Dah hivi mabinti ni mali eh 🤔🤔 ngoja nikazane nipate hata kamoja, kwa sasa nahangaika tu kutafutia kijana pesa akahonge!!!!!!! 🙌🏾
 
Nilikua bado mtoto sana, tusimame kwenye ukweli tusipotoshe

Miaka 16 ni mtoto anaehitaji mwongozo na uangalizi wa wazazi, kusema eti anaweza kuolewa ni ukatili kwa mtoto
Aisee me miaka 16 sikuwa mtoto and I refuse kulea mtu mpaka afikishe miaka 16 bado nimuite mtoto!!!!
 
Yaani mtu amesoma sheria mpaka kuwa mwanasheria mkuu wa Bakwata haoni aibu kuongea Upumbavu kama huu...?...anajua mtoto wa miaka 14 alivyo? Kweli ataweza kubeba majukumu ya kuwa mke achilia mbali kuwa mama? Na shule je?.

Aisee...inasikitisha sana.
Sio kila mtoto wa miaka 14 ni andunje kama alivyo mwanao! Wengine kama kanda ya ziwa ni wasichana wakubwa tu wanaoishia kupewa mimba na kutelekezwa! Ni bora wakaolewa ili kuepusha mimba zisizo na mababa
 
Tatizo BAKWATA unaingizwa na watu wasio na elimu.
Kibaolojia mtoto wa miaka 14 hajawa tayari kuzaa salama, lkn pia mtoto huyo hajamaliza masomo ili atimize ndoto zake. Mtoto wa 14 hata 18 utaongea nae kitu gani Cha kuwaendeleza kimaisha ?
Masheikh mkikaa mnawaza ngono tu. Njooni na kitu Cha kujenga Kama kujenga shule, vyuo , hospitali nk. Mpaka Sasa Bakwata haina hospitali yenye hadhi hata ya Mwananyamala.
Up your game.
 
Sio macho ndio yana upofu bali ni mioyo. Chuki na kiburi chako juu ya haki zitakufanya uje ujute sana siku ya mwisho.
 
Sasa kama binti hasomi ana kaa nyumbani unamzuia kuolewa ili aje akuletee mimba nyumbani ?

Hata nchi iliyo endelea kama Japan miaka 14 sheria zao zinaruhusu aolewe.
Kwa hiyo kama hasomi ina maana ndiyo last option ni kuozwa tu? Huko ni kukwepa majukumu ya watoto tunaoamua kuwaleta wenyewe duniani bila hiyari yao.

Pili, kwa hiyo kila linafonywa na wenzetu nasi tuige? Na huoni mfano wako na watu wa Japan hauna tija, unafananisha upeo wa wajapan na taifa lenye wajinga zaidi ya 80%? Kweli kabisa?
 
hoja ya kipumbavu na wenye vibamia ,,,hivi kweli miaka 14 unaweza kupiga mashine ya kueleweka??? unamgeuza kweli???acheni ushetani
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…