assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,905
- 4,054
BAKWATA wasing'ang'anie kutoa habari za mwezi tu na kama wanavodai wao huwatetea waislamu wote.
Suala la kulazimisha ndoa mpaka miaka 18 ni kinyume na imani ya dini.
Mtu akibaleghe hio ndio alert kuwa mtu husika ameanza kua mtumzima.
Tunaomba mtoe tamko immediately kabla hukumu haijapoa.
Suala la kulazimisha ndoa mpaka miaka 18 ni kinyume na imani ya dini.
Mtu akibaleghe hio ndio alert kuwa mtu husika ameanza kua mtumzima.
Tunaomba mtoe tamko immediately kabla hukumu haijapoa.