BAKWATA Watoe tamko umri wa mtoto kuolewa

BAKWATA Watoe tamko umri wa mtoto kuolewa

Nilimtwaa akiwa na miaka 14 kamili, leo tuko kwenye ndoa ni miaka 48 imetimu. Hajawahi rudi kwao kunishitakia lolote. Mbona wengine waliooa wenye miaka 23 na hawakumaliza 4 yrs weshaachana??
Msiwaumize Bakwata. Nadhani serekali ilikuwa sahihi kabisa. Miaka 15 tosha kabisa. Akiwa kishamaliza kisomo chake cha ngumbaru, machizi wamchukue kwa mipango yote ya desturi zao.
Ichezwe ngoma, tumtoe mwali
Babu shikamoo!
 
BAKWATA wasing'ang'anie kutoa habari za mwezi tu na kama wanavodai wao huwatetea waislamu wote.

Suala la kulazimisha ndoa mpaka miaka 18 ni kinyume na imani ya dini.

Mtu akibaleghe hio ndio alert kuwa mtu husika ameanza kua mtumzima.

Tunaomba mtoe tamko immediately kabla hukumu haijapoa.
Mwanaharakati aliepigania hio sheria hana tofauti na mtu anaemtoa samaki kwenye maji akidhan kamuokoa.

Na hayo ni matokeo ya kukurupuka tu kwenye maswala ya muhimu kama haya. Kwa sheria ya sasa binti alie kidato cha pili(13yrs to 15yrs) akipewa mimba basi hawezi endelea na shule na pia sheria ya sasa bado inamkataza kuolewa. Huyo akikaa mtaani kusubiria hio 18 atakua ameshaliwa sana na anaweza hata kudharaulika na akakosa mtu wa kumuoa.

Af wanavyoifurahia hio sheria kama vle iko sawa lkn hawajui kwamba wanajiharibia wenyewe. Hii impact yake itakua ni kuongeza makahaba tu kitaa coz kama msichana mwenye umri 13+ hasomi na hajaolewa af anakaa tu mtaani unategemea nn hapo.

Mabaharia hoyeeee!
 
Aiseee
Kwani mbona serikali inang'ang'ania miaka 15 lakini mahakama yamesema ni miaka 18 kama ilivyo kwenye sheria ya sasa? Chini ya miaka 18 bado anakuwa na utoto mwingi, na hawezi kukata viuno.
 
Muongozo wa Waislam ni Qur an sio Bakwata

Mungu alipoamua Binti avunje ungo na aanze kupata hedhi na Nyege maana yake tayari kapevuka sasa kuna tafiti gani ya Ki Sayansi iliyofanyika kusema miaka 18 anakuwa tayari kapevuka kiakili na miaka 17 na miezi Tisa anakuwa hajapevuka?

Kuna Wadada mpaka miaka 30 bado kichomi akili hazijakaa sawa jee nao waolewe at 30?

Upuuzi wa Wanaharakati

Mama Zetu wameolewa na Miaka 15 na bado walikuwa Mama bora

Waanze na chanjo ya kuahirisha Nyege mpaka miaka 18 otherwise ni upuuzi

Akipata mimba shuleni taratibu zinasema afukuzwe shule halafu taratibu zinasema tena marufuku kuolewa mpaka afikishe miaka 18, sasa hapo katikati atakuwa anafanya nini?
Na kibaya zaidi aliyempa mimba afungwe miaka 30.
 
Mnataka wakimaliza shule wana 14 na tayari wamepevuka waanze kuuza k mitaani mpaka wafikishe miaka 18 ndo waolewe? Ni upuuzi hakika.
 
Binti wa miaka 14 ulaya anakuwa anajitambua kuliko binti wa miaka 20 Tanzania

Wenzetu ulaya mtoto anafundishwa Elimu ya jinsia kuanzia ngazi ya familia akiwa mdogo kabisa

Hivi unawajua mabinti wa miaka 14&16 Tanzania,wengi sana wanakuwa hata usafi wa mwili hawewezi kujifanyia

Sasa mtoto km Huyu aingie kwenye ndoa akifikisha miaka 21 wakati anakomaa kiakili na kutambua haki zake za kupendwa na kupenda ndoa itaendelea?
unamzungumzia binti wa ileje,mafinga,siyo binti wa pwani(tanga,pwani,dar,lindi,mtwara)..mtu amalize la saba akiwa 14,inabidi atiwetiwe mtaani hadi afike 18 ndo aolewe,yaani akishapata uzoefu
 
Cha ajabu hawa wanaume wanaotaka umri uwe 14 years hawatataka mabinti zao waolewe huo umri tena ukipeleka posa kuoa binti yake wa 14 yrs utatolewa na panga ila yeye anataka kuharibu future ya mtoto wa mwingine. Watu wako selfish sana
 
Cha ajabu hawa wanaume wanaotaka umri uwe 14 years hawatataka mabinti zao waolewe huo umri tena ukipeleka posa kuoa binti yake wa 14 yrs utatolewa na panga ila yeye anataka kuharibu future ya mtoto wa mwingine. Watu wako selfish sana
Naona wengi ni kwa sababu ya Dini, eti hii sheria wanaona kama ni tusi kubwa kwa mtume Muhammad
 
unamzungumzia binti wa ileje,mafinga,siyo binti wa pwani(tanga,pwani,dar,lindi,mtwara)..mtu amalize la saba akiwa 14,inabidi atiwetiwe mtaani hadi afike 18 ndo aolewe,yaani akishapata uzoefu
Hii sheria mpya inaenda kuongeza idadi ya single mother kwa kasi ya 4G.
 
Naona wengi ni kwa sababu ya Dini, eti hii sheria wanaona kama ni tusi kubwa kwa mtume Muhammad
Sio dini ni ubinfsi trust wengi hawatakubali binti zao waolewe huo umri nakumbuka jirani yangu alikuwa na wake 3 ila binti yake kipenzi alivyotaka kuolewa kama mke wa 2 alipinga vibaya sana akimwambia ndoa za mitala ni mbaya sana hatakiwa na amani maisha ni mwake kote alikataa kata kata
 
Wanaume wa kiislamu mnanishangaza sana. Hizo element za pedophilia zinawasumbua. Mtoto wa miaka 14 anakutamanisha nini wewe jibaba wa 30+ kweli? Ndo maana kesi za kulawiti na kubaka watoto madrasa haziishi. Sio kama nawakashifu hapana. Sijawahi kusikia papa/ padre/mchungaji wa kikristo analazimisha au kushawishi watoto waolewe. Mnayumba sana.
 
Mi nadhani sheria ingeweka msisitizo katika kufanya matusi, sio kuolewa.
 
katika muongozo wa dini yetu sisi waislam,mtoto akoivunja ungo tu ni halali kuolewa,ata mtume wetu mtukufu MOHAMAD(s.a.w)alimuowa Bi AISHA akiwa na miaka 9 na ndoa ilikuwa ni halali,sasa nyie na sheria zenu haramu mnataka nn jamani?
 
Mwanamke anatakiwa aolewe akiwa anajitambua kwa kuridhia kuishi na mwenza wake

Mtoto wa miaka 14 kuolewa ni ufisadi kwenye ndoa Kwasababu anakuwa hajakomaa kiakili
Kuna 25+ years hawajakomaa kiakili bado pia na wapo kwenye ndoa.

***siungi mkono hoja yakuolewa na 14 years****
 
Kimsingi hii Sheria mpya inayotaka binti aolewe akiwa na umri wa 18 \18+ Itakuwa inawabana baadhi ya Mabinti waliokosa nafasi ya kuendelea na masomo ambalo kundi hili ili lipate salama inabidi liingie kwenye ndoa
Hawa wanaharakati wanafikir kuolewa ni fashion tu hawaangalii takwa la kifamilia na heshima
 
BAKWATA wasing'ang'anie kutoa habari za mwezi tu na kama wanavodai wao huwatetea waislamu wote.

Suala la kulazimisha ndoa mpaka miaka 18 ni kinyume na imani ya dini.

Mtu akibaleghe hio ndio alert kuwa mtu husika ameanza kua mtumzima.

Tunaomba mtoe tamko immediately kabla hukumu haijapoa.
Bakwata ipingane na sheria za nchi?
Chini ya miaka 18 hawapigi kura. Sheria inaona no wadogo. Lakini ndoa iwe halali under 18?
 
Mudi si kuna katoto ka miaka 6 aliwahi kukaoa?
 
Sio dini ni ubinfsi trust wengi hawatakubali binti zao waolewe huo umri nakumbuka jirani yangu alikuwa na wake 3 ila binti yake kipenzi alivyotaka kuolewa kama mke wa 2 alipinga vibaya sana akimwambia ndoa za mitala ni mbaya sana hatakiwa na amani maisha ni mwake kote alikataa kata kata
Hahaa wananishangaza sana, Kuna wengine hapa jukwaani wanasema elimu inamuharibu mtoto wa kike, mtoto wa kike anatakiwa afundishwe tu jinsi ya kwenda kumtumikia mume tu, lakini cha ajabu watoto wao wa kike wanawapeleka hadi vyuo vikuu
 
Cha ajabu hawa wanaume wanaotaka umri uwe 14 years hawatataka mabinti zao waolewe huo umri tena ukipeleka posa kuoa binti yake wa 14 yrs utatolewa na panga ila yeye anataka kuharibu future ya mtoto wa mwingine. Watu wako selfish sana
Future ? Are you serious ?
 
Back
Top Bottom