BekaNurdin
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,267
- 2,043
Babu shikamoo!Nilimtwaa akiwa na miaka 14 kamili, leo tuko kwenye ndoa ni miaka 48 imetimu. Hajawahi rudi kwao kunishitakia lolote. Mbona wengine waliooa wenye miaka 23 na hawakumaliza 4 yrs weshaachana??
Msiwaumize Bakwata. Nadhani serekali ilikuwa sahihi kabisa. Miaka 15 tosha kabisa. Akiwa kishamaliza kisomo chake cha ngumbaru, machizi wamchukue kwa mipango yote ya desturi zao.
Ichezwe ngoma, tumtoe mwali
Mwanaharakati aliepigania hio sheria hana tofauti na mtu anaemtoa samaki kwenye maji akidhan kamuokoa.BAKWATA wasing'ang'anie kutoa habari za mwezi tu na kama wanavodai wao huwatetea waislamu wote.
Suala la kulazimisha ndoa mpaka miaka 18 ni kinyume na imani ya dini.
Mtu akibaleghe hio ndio alert kuwa mtu husika ameanza kua mtumzima.
Tunaomba mtoe tamko immediately kabla hukumu haijapoa.
Kwani mbona serikali inang'ang'ania miaka 15 lakini mahakama yamesema ni miaka 18 kama ilivyo kwenye sheria ya sasa? Chini ya miaka 18 bado anakuwa na utoto mwingi, na hawezi kukata viuno.
Na kibaya zaidi aliyempa mimba afungwe miaka 30.Muongozo wa Waislam ni Qur an sio Bakwata
Mungu alipoamua Binti avunje ungo na aanze kupata hedhi na Nyege maana yake tayari kapevuka sasa kuna tafiti gani ya Ki Sayansi iliyofanyika kusema miaka 18 anakuwa tayari kapevuka kiakili na miaka 17 na miezi Tisa anakuwa hajapevuka?
Kuna Wadada mpaka miaka 30 bado kichomi akili hazijakaa sawa jee nao waolewe at 30?
Upuuzi wa Wanaharakati
Mama Zetu wameolewa na Miaka 15 na bado walikuwa Mama bora
Waanze na chanjo ya kuahirisha Nyege mpaka miaka 18 otherwise ni upuuzi
Akipata mimba shuleni taratibu zinasema afukuzwe shule halafu taratibu zinasema tena marufuku kuolewa mpaka afikishe miaka 18, sasa hapo katikati atakuwa anafanya nini?
unamzungumzia binti wa ileje,mafinga,siyo binti wa pwani(tanga,pwani,dar,lindi,mtwara)..mtu amalize la saba akiwa 14,inabidi atiwetiwe mtaani hadi afike 18 ndo aolewe,yaani akishapata uzoefuBinti wa miaka 14 ulaya anakuwa anajitambua kuliko binti wa miaka 20 Tanzania
Wenzetu ulaya mtoto anafundishwa Elimu ya jinsia kuanzia ngazi ya familia akiwa mdogo kabisa
Hivi unawajua mabinti wa miaka 14&16 Tanzania,wengi sana wanakuwa hata usafi wa mwili hawewezi kujifanyia
Sasa mtoto km Huyu aingie kwenye ndoa akifikisha miaka 21 wakati anakomaa kiakili na kutambua haki zake za kupendwa na kupenda ndoa itaendelea?
Naona wengi ni kwa sababu ya Dini, eti hii sheria wanaona kama ni tusi kubwa kwa mtume MuhammadCha ajabu hawa wanaume wanaotaka umri uwe 14 years hawatataka mabinti zao waolewe huo umri tena ukipeleka posa kuoa binti yake wa 14 yrs utatolewa na panga ila yeye anataka kuharibu future ya mtoto wa mwingine. Watu wako selfish sana
Hii sheria mpya inaenda kuongeza idadi ya single mother kwa kasi ya 4G.unamzungumzia binti wa ileje,mafinga,siyo binti wa pwani(tanga,pwani,dar,lindi,mtwara)..mtu amalize la saba akiwa 14,inabidi atiwetiwe mtaani hadi afike 18 ndo aolewe,yaani akishapata uzoefu
Sio dini ni ubinfsi trust wengi hawatakubali binti zao waolewe huo umri nakumbuka jirani yangu alikuwa na wake 3 ila binti yake kipenzi alivyotaka kuolewa kama mke wa 2 alipinga vibaya sana akimwambia ndoa za mitala ni mbaya sana hatakiwa na amani maisha ni mwake kote alikataa kata kataNaona wengi ni kwa sababu ya Dini, eti hii sheria wanaona kama ni tusi kubwa kwa mtume Muhammad
MarahabaaBabu shikamoo!
Kuna 25+ years hawajakomaa kiakili bado pia na wapo kwenye ndoa.Mwanamke anatakiwa aolewe akiwa anajitambua kwa kuridhia kuishi na mwenza wake
Mtoto wa miaka 14 kuolewa ni ufisadi kwenye ndoa Kwasababu anakuwa hajakomaa kiakili
Hawa wanaharakati wanafikir kuolewa ni fashion tu hawaangalii takwa la kifamilia na heshimaKimsingi hii Sheria mpya inayotaka binti aolewe akiwa na umri wa 18 \18+ Itakuwa inawabana baadhi ya Mabinti waliokosa nafasi ya kuendelea na masomo ambalo kundi hili ili lipate salama inabidi liingie kwenye ndoa
Bakwata ipingane na sheria za nchi?BAKWATA wasing'ang'anie kutoa habari za mwezi tu na kama wanavodai wao huwatetea waislamu wote.
Suala la kulazimisha ndoa mpaka miaka 18 ni kinyume na imani ya dini.
Mtu akibaleghe hio ndio alert kuwa mtu husika ameanza kua mtumzima.
Tunaomba mtoe tamko immediately kabla hukumu haijapoa.
Hahaa wananishangaza sana, Kuna wengine hapa jukwaani wanasema elimu inamuharibu mtoto wa kike, mtoto wa kike anatakiwa afundishwe tu jinsi ya kwenda kumtumikia mume tu, lakini cha ajabu watoto wao wa kike wanawapeleka hadi vyuo vikuuSio dini ni ubinfsi trust wengi hawatakubali binti zao waolewe huo umri nakumbuka jirani yangu alikuwa na wake 3 ila binti yake kipenzi alivyotaka kuolewa kama mke wa 2 alipinga vibaya sana akimwambia ndoa za mitala ni mbaya sana hatakiwa na amani maisha ni mwake kote alikataa kata kata
Future ? Are you serious ?Cha ajabu hawa wanaume wanaotaka umri uwe 14 years hawatataka mabinti zao waolewe huo umri tena ukipeleka posa kuoa binti yake wa 14 yrs utatolewa na panga ila yeye anataka kuharibu future ya mtoto wa mwingine. Watu wako selfish sana