BAKWATA yataka CASINO ya Palm Village ifungwe, inaleta Usumbufu kwa Viongozi Wastaafu

BAKWATA yataka CASINO ya Palm Village ifungwe, inaleta Usumbufu kwa Viongozi Wastaafu

Kama hapo ni hatari maana ni kama kiwanda cha mashoga wanazalishwa
Hapo bado hujaenda sinza,tbt duh

Ova

UKIKATAA CASINO HILO KUFUNGWA MOJA KWA MOJA UNASAPOTI USHOGA [emoji304]

NA KITU AMBACHO HAWAJUI KWENYE CASINO LOLOTE HAWAZUILIWI KUINGIA MASHOGA [emoji304] YAANI UKIJICHANGANYA MWANAUME KWELI KWENDA KASINO KAMA WANAONA HAUNA KITU UTAZUILIWA

ILA AKIENDA SHOGA[emoji304] HAPO MLANGONI HAKUNA MTU ANAWEZA KUMZUIA KUTOKANA NA SHERIA ZAO ZA USHOGA [emoji304] NA MAKASINO
 
UKIKATAA CASINO HILO KUFUNGWA MOJA KWA MOJA UNASAPOTI USHOGA [emoji304]

NA KITU AMBACHO HAWAJUI KWENYE CASINO LOLOTE HAWAZUILIWI KUINGIA MASHOGA [emoji304] YAANI UKIJICHANGANYA MWANAUME KWELI KWENDA KASINO KAMA WANAONA HAUNA KITU UTAZUILIWA

ILA AKIENDA SHOGA[emoji304] HAPO MLANGONI HAKUNA MTU ANAWEZA KUMZUIA KUTOKANA NA SHERIA ZAO ZA USHOGA [emoji304] NA MAKASINO
Hivi kuanzia pale nyumba alipokuwa anaishi mufti na ndy kijiwe chake mpaka sahv, hapo kwenye pub ya dida ni nyumba ngapi
Hivi bakwata hapo kinondoni si wako jirani na pub ya mdg wang ftm mchina
Hivi napo hawayaoni madudu pia hapo
Najuwa casino kuna ujinga mwingi unafanyika Sikatai ,hizo ndy casino

Ova
 
uayo haki ya kwenda mahakamani kupinga au kwa watu wamazingila hili viondolewe lakini ushie hapo tu na makanisa yanayo kesha kwa vilio na miziki watu awalali

Mwisho wa siku tunarudi pale pale, kama mtu hajavunja sheria za nchi basi aachwe na mishe zake...
 
Akiona wanacheza kamari wakati ni yeye alikuwa anawafundisha madrasa tangu wakiwa wadogo, basi hiyo ni failure kwake.

Pamoja na hayo, hakuna msikiti unaokwazwa na hakuna jirani aliyelalamika.

Akawaone na dada poa hapo mjini
Tena sio mbali na makao yao makuu Kinondoni, wamejaa malaya na mashoga wanajiuza barabarani,
Wanarukia kwa kamari tena inayochezwa ndani, huenda hata watoto wa hao viongozi wastaafu ndio wateja wakubwa wa hiyo casino.
Tuishi kwa kuvumiliana,

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Kama Kuna kitu sielewi...hivi pale mjini upande huu kanisa la kkkt upande huu casino mbona sijawahi sikia wakilalamika ..Mbona mtaani makampuni ya betting yamejaa na vijana wanajazana humo kutwa Zima wanabet hawasemi kitu ,Kwa hiyo mmonyoko wa maadili Kwa vijana wadogo ni sawa ila usumbufu Kwa wakubwa ndio kipaumbele. Pia Hii casino la palm village sidhani kama liko rough watu kuingia na kutoka Kwa kiwango kikubwa wanachosema maana wanaoenda hapo kucheza sio watu wa Hali ya chini kusema watajazana na usumbufu...

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
hao wazee wapenda sifa tu hawana lolote
 
Kwani hilo ni eneo tengefu kwa ajili ya makazi rasmi ya viongozi wastaafu linalolindwa na sheria, ili hoja yao iweze kupata nguvu zaidi, au taratibu za mipango miji katika eneo hilo haziruhusu kuwepo kwa casino hiyo...
 
Hivi kuanzia pale nyumba alipokuwa anaishi mufti na ndy kijiwe chake mpaka sahv, hapo kwenye pub ya dida ni nyumba ngapi
Hivi bakwata hapo kinondoni si wako jirani na pub ya mdg wang ftm mchina
Hivi napo hawayaoni madudu pia hapo
Najuwa casino kuna ujinga mwingi unafanyika Sikatai ,hizo ndy casino

Ova

Hapo hawezi kudmu kamati ishakaa chini soon tu anaondoka hapo
 
Wenyewe hawajalalamika, sasa ww ndo msemaji wao?[emoji1]
 
KWENYE UZI HUU NDIO UTAWEZA UKAHESABU MASHOGA [emoji304] KUPITIA COMMENT MASHOGA KIBAO HUMU KAMA UNABISHA HESABU COMMENT ZA WANAOPINGA HILO CASINO KUFUNGWA

MASHOGA [emoji304] NYOMI YAANI
TANZANIA KWA WINGI HUU WA MASHOGA USHOGA HAUWEZI KUISHA- HAYA WANAUME KAMA MABINTI ENDELEENI NA JITIHADA ZENU ZA KUENDELEZA USHOGA [emoji304]

Kwahiyo umekaa hapo unasubiri mashoga yaishe,pole sana.

Get a job.
 
WA-TANZANIA walio wengi hawana EXPOSURE ya maisha na pia elimu wanaweza kuwa wame kwenda UN au COLLEGE lkn wengi wao wanakuwa hawana ufahama wa mambo mengi ndio maana hata taasi nyingi za serikali zina watendaji wa hivyo.

CASSINO ni biashara mbaya hasa na ndio kuna kila aina ya uharamia na sikila NCHI inaruhusu hii biashara hata huku DUNIA ya kwanza huwezi pewa LESENI HOVYO wanajua mambo yanayo fanyika huko hata hao WACHINA kwao huko CHINA hakuna sheria ya kuwa na CASSINO.

LKN wacha wa fungue hayo MACASSINO ya kutosha ila mpate Akili kidogo watanzania.



Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app

Walipa kodi,wasibugudhiwe
 
Back
Top Bottom