Balaa la kuazimisha gari!!!

Balaa la kuazimisha gari!!!

images (1).jpeg
 
Mwaka 2017 nilifungua salon ya kiume mitaa yetu kipindi hicho hapakuwa na salon nyingine Kwa zaidi ya Mita 700 kutoka pale ambapo nafanya biashara.
Sasa ikija ishu ya kinyozi kufanya NGONO ndani ya salon na alikuwa analala Hadi asubuhi na wanawake nakumbuka biashara ilikuwa Kwa kipindi kifupi Sana cha miezi 8
Next time room unadeki then unamwagia maji ya chumvi huku ukikemea roho chafu
 

Gari langu la kwanza lilikuwa ni carina niliipenda sana muda mwingi kivulini nalifuta vumbi na kitambaa laini, smtms naliangalia mpaka natabasam [emoji16] automatically

Laaaahaulaa balaa siku hiyo nimelewa mwamba akanimbia niazimishe ndinga nakuletea chapu kwa wenge la konyagi nikampa.(siazimagi la mtu wala sipendi kutoa gari langu)

Kesho yake napata taarifa mwamba kapinduka,kwenda mcheki yupo ICU.
Kwenda tazama ndinga daaaah! gari limepondeka kiasi kwamba unaweza kulibeba katika jaba [emoji23][emoji23]

Je ulishawahi kupata balaaa gani baada ya kuazima/ kuazimisha gari.. share nasi
Hahahah leo tu Kuna bwna kajifanya mwamba wa magari ya matual bas boss mmoja kapaki vibaya akaitwa aje azogeze ili mtu mwingine atoe gari bas boss kamuita kijana ake anuamini akalijeuza Kwan ss wengine tunaonekana hatukui magar hya ya matual bas jamaa kaingiaa kwa wengee lake kuingia kawasha mm Niko namtazamatu Cha kwaza alikrudi rivers kwa kas pasipo kutazma kuwa Kuna gari pembeni aisee aloo alilibutua gari la watu mlango wote kaushusha chini wa vanguard namtazamatu tu alivyo Rudi mbel kwa wengee Tena akliibutuaa ist nyingine[emoji23][emoji23] dah acha kbsa magar ya kuazimisha mm huwa sipendi kabsa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kitu kinaharibu na kuchakaza gari haraka kama kutumiwa na mikono mingi
Kila mtu ana uendeshaji wake.. Kwahiyo kila ukimpa mmoja atafanya settings zake nknk . lakini mbaya zaidi ni ishu za kiroho hasa kumpa mtu gari halafu akaenda kubebea matunguli ama kufanyia ngono ndani yake! Hakuna nuksi kubwa kama hiyo
Umenikumbusha nimewai kuazima gar ya mshikaji wangu kwenda kufanyia ngono

Kbla hat sijafika eneo la tukio nakatka kurudi rivers ili nipaki vzr aloo nilibutua taa nzima ya nyuma hasara kutafuta taa tabata nzima had Uganda kwani gar zenyewee Ni hz vistaa balah

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hahahah leo tu Kuna bwna kajifanya mwamba wa magari ya matual bas boss mmoja kapaki vibaya akaitwa aje azogeze ili mtu mwingine atoe gari bas boss kamuita kijana ake anuamini akalijeuza Kwan ss wengine tunaonekana hatukui magar hya ya matual bas jamaa kaingiaa kwa wengee lake kuingia kawasha mm Niko namtazamatu Cha kwaza alikrudi rivers kwa kas pasipo kutazma kuwa Kuna gari pembeni aisee aloo alilibutua gari la watu mlango wote kaushusha chini wa vanguard namtazamatu tu alivyo Rudi mbel kwa wengee Tena akliibutuaa ist nyingine[emoji23][emoji23] dah acha kbsa magar ya kuazimisha mm huwa sipendi kabsa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Gari ya Matual ndio inakuaje hio mkuu?
 
Umenikumbusha nimewai kuazima gar ya mshikaji wangu kwenda kufanyia ngono

Kbla hat sijafika eneo la tukio nakatka kurudi rivers ili nipaki vzr aloo nilibutua taa nzima ya nyuma hasara kutafuta taa tabata nzima had Uganda kwani gar zenyewee Ni hz vistaa balah

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Pole mkuu 😂😂😂
 
2010 Mwana aliipigisha mzinga gari yangu, tukafanya manuva tukaitoa police tukaipeleka mpk garage na huo ndio ukawa mwisho wa yeye kujihusisha na hio Gari(hakuchangia gharama za garage hata sh. 1) aliona nitaipambania.

Baada ya kama wiki 3 akaja akiniomba ushauri Ni Gari gani anunue kutoka Japan,nikamshauri na kumsaidia process ya kununua huko be forward(Mark X) kiroho Safi,Muda huo Niko natembeza pumbu zangu kwa miguu Gari bado iko garage au Muda mwingine Nilikua natumia kimeo kilikua kimepaki home(kilikua na shida ya gearbox) cha rav 4 kipisi kusogeza nacho siku mdogo mdogo.

Gari ilipona Ila Gari ikishapata ajali hua mzuka unakua umeisha,niliiuza kwa Bei ya kutupwa na yule mwana tangu Gari imeenda garage,nimeiuza mpk na leo hajawahi kuniuliza khs Ile Gari na bado Ni mwana tu mpk leo.

Lkn lesson learnt BIG TIME.
 
Dah nmerud home jion wife ananibia kalikwangua gari kidogo alipokuwa analitoa nje …….nlikaa nje kama lisaa hasira zipungue nsije mchenjia…..inauma sana wazeee[emoji28][emoji28] simuachii tena ndinga
[emoji23]
 
Hawa nao,mi wife kuna wakati nilikuwa na CR40 alikuwa anatoa nje akalimenya kwa ubavuni, nikamuuliza akajibu "baba nanii hilo geti dogo bana itabidi ulitanuege" [emoji23][emoji23][emoji23]
Simple ivo wala hana habari
[emoji23][emoji23]
 
Hahahah leo tu Kuna bwna kajifanya mwamba wa magari ya matual bas boss mmoja kapaki vibaya akaitwa aje azogeze ili mtu mwingine atoe gari bas boss kamuita kijana ake anuamini akalijeuza Kwan ss wengine tunaonekana hatukui magar hya ya matual bas jamaa kaingiaa kwa wengee lake kuingia kawasha mm Niko namtazamatu Cha kwaza alikrudi rivers kwa kas pasipo kutazma kuwa Kuna gari pembeni aisee aloo alilibutua gari la watu mlango wote kaushusha chini wa vanguard namtazamatu tu alivyo Rudi mbel kwa wengee Tena akliibutuaa ist nyingine[emoji23][emoji23] dah acha kbsa magar ya kuazimisha mm huwa sipendi kabsa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Aya mambo sio poa yanachekesha ila omba yaaikukute[emoji23]
 
Back
Top Bottom