Balali alishakufa hatukuambiwa?

Balali alishakufa hatukuambiwa?

Sidhani kwa hilo kama lina ukwelii hata ndugu zake wasijue jamani??si wangekuja hapaa na kusema kuwa ndugu yao amefariiki???give me a break
 
Kama kafa marekani inatakiwa kutuambia kwasababu hata kwenye magazeti itakuwa ilichapishwa!Hiyo ni public information ambayo everybody is entitled to!
Huyu mtu yuko hai!
 
kakindo, mtu aliyekufa hawezi kurudi nyumbani isipokuwa akibebwa kwenye jeneza..!

Kwa maana hiyo Balali hatoweza kurudi mpaka ajifilie?ahaa nimekuelewa mwanakijiji.Lakini mbona watu wa Boston hawataki kujiusisha na habari za Gavana huyu wa zamani,mie niliwahi kumchokoza dada mmoja maarufu tu katika mambo ya habari lakini akatupilia mbali habari yangu ilokua inahusu huyuhuyu,hivo najua watu mlioko Masachss.mnajua alipo fisadi huyu na ndio maana mko kimya.Ole wenu kama nanyi mnashiriki na mafisadi........
 
Kwa maana hiyo Balali hatoweza kurudi mpaka ajifilie?ahaa nimekuelewa mwanakijiji.Lakini mbona watu wa Boston hawataki kujiusisha na habari za Gavana huyu wa zamani,mie niliwahi kumchokoza dada mmoja maarufu tu katika mambo ya habari lakini akatupilia mbali habari yangu ilokua inahusu huyuhuyu,hivo najua watu mlioko Masachss.mnajua alipo fisadi huyu na ndio maana mko kimya.Ole wenu kama nanyi mnashiriki na mafisadi........

Mchafuzi kwa nini wewe usiende huko MA kujua aliko Balali kama kweli una uchungu na nchi ya Tanzania?
 
Nenda MA ukatafute habari za Balali na sio kuwashikia bango watanzania wa MA kuwa ni mafisadi kwa vile hawakupi habari za Balali.
Wewe kweli mjumbe wa shetwani!
Nani kasema watanzania wa MA kuwa ni mafisadi?
Mbona unajihisi?
Nimegusa maslahi?
 
Wewe kweli mjumbe wa shetwani!
Nani kasema watanzania wa MA kuwa ni mafisadi?
Mbona unajihisi?
Nimegusa maslahi?

Soma kilichoandikwa hapa..

Kwa maana hiyo Balali hatoweza kurudi mpaka ajifilie?ahaa nimekuelewa mwanakijiji.Lakini mbona watu wa Boston hawataki kujiusisha na habari za Gavana huyu wa zamani,mie niliwahi kumchokoza dada mmoja maarufu tu katika mambo ya habari lakini akatupilia mbali habari yangu ilokua inahusu huyuhuyu,hivo najua watu mlioko Masachss.mnajua alipo fisadi huyu na ndio maana mko kimya.Ole wenu kama nanyi mnashiriki na mafisadi........

Ukiwa mtu unayechukia ufisadi kiasi hiki basi unatakiwa kuwa unatafuta kujua aliko fisadi Balali na sio kutegemea watu wa MA wakutafutie na wasipofanya hivyo unawalinganisha na mafisadi.
 
Soma kilichoandikwa hapa..



Ukiwa mtu unayechukia ufisadi kiasi hiki basi unatakiwa kuwa unatafuta kujua aliko fisadi Balali na sio kutegemea watu wa MA wakutafutie na wasipofanya hivyo unawalinganisha na mafisadi.

Hii quote hapa chini ambayo unataka wana JF waamini kuwa ni yangu si yangu!

Kwa maana hiyo Balali hatoweza kurudi mpaka ajifilie?ahaa nimekuelewa mwanakijiji.Lakini mbona watu wa Boston hawataki kujiusisha na habari za Gavana huyu wa zamani,mie niliwahi kumchokoza dada mmoja maarufu tu katika mambo ya habari lakini akatupilia mbali habari yangu ilokua inahusu huyuhuyu,hivo najua watu mlioko Masachss.mnajua alipo fisadi huyu na ndio maana mko kimya.Ole wenu kama nanyi mnashiriki na mafisadi........

Sasa Mods huyu jamaa ananiwekea quotes ambazo si zangu si ni ugaidi huu?
 
Kama yuko Mass na alilazwa hospitali za uko si ni mwendo wa kutafuta records kwenye hizo hospitali....
 
Kama yuko Mass na alilazwa hospitali za uko si ni mwendo wa kutafuta records kwenye hizo hospitali....
Si ndio hapo jamaa yangu!
Sasa hizi rumours kuwa kafa zina serve interests za nani?
Halafu inajulikana hapa Marekani...
Ukifa ni public info
Ukinunua nyumba
ukifile bankruptcy
Ukioa
ukifungwa jela nk
Sasa huu usiri siri wa wapi aliko una misingi ipi zaidi ya kutuyeyusha sisi wananchi?
 
I know what happened to Balali...! Kama hadi hivi hujagundua basi hutogundua tena.
 
Mzee Mwanakijiji jana nimeona hiyo "picha yako" (avatar?) kwenye gazeti nikaikumbuka, nikacheka sana! Bora umeirudisha!
 
Mwanakijiji Chukua Tano Mkuu.

Mkjj,
Mbona unaifanya kazi yetu wengine ya kujinasua hapa Jambo iendelee kuwa ngumu hivi?

Kila ninapodhani nimekwishaona na kusoma mengi ya maana ninayoweza kuyapata Jambo; mara.........Mkjj huyo anakuja na 'masterpiece' kama makala hii!

Sasa kama wazugaji wangekuwa na akili kidogo, baada ya kusoma taarifa kama hii wangejiuliza mara mbili mbili ni mbinu zipi zinafaa sasa.......maanake upuuzi wao wa siku zote, wapumbavu wamekwishaustukia!

Kwa mwendo huu, nadhani tunaelekea kwenye machafuko.
 
Roast in Pug (RIP) Balali..... fisadi na mwizi mkubwa wewe!

Now I believe we are misdirecting our anger by projecting Balali as the mastermind of the entire plot. It is not Daudi Balali we should be venting our anger about....Balali was just a tool, which obliged and facilitated the grand plot from the people who are currently doing everything to divert our attention.

Now, we almost know the archtects...., let us not let them off the hook.
 
kinauma sana mtu kufariki na deni.
Halafu kwa taarifa yenu, hata mpige kelele vipi hakuna atakayeshtakiwa, na ikitokea ujue uchaguzi upo jirani na watatumia hayo mashtaka kujisafisha........

TATIZO WAPINZANI wanagombea fito badala ya spade ya ujenzi
 
Back
Top Bottom