Pundit
JF-Expert Member
- Feb 4, 2007
- 3,733
- 141
Mwanakijiji,
Tatizo linakuja katiba yetu inampa nguvu sana rais na sisi tuna utamaduni wa patronism. Hao IGP na DPR ni watu waliochaguliwa na Kikwete kuangalia usalama wa status quo, unategemea wanaweza kufanya kitu cha maana kweli?
Si ndiyo mambo haya haya tunalalamika kila siku tume ya uchaguzi inachaguliwa na mwenyekiti wa CCM (rais) halafu tunategemea objectivity?
Mawazo yako ni mazuri karatasini lakini katika hali halisi ya Tanzania yatakwamishwa na system yetu.Halafu isitoshe unaweza kuweka precedent mbaya, kwamba watu wakafikiri ukiiba halafu ukawa so central baadaye utapewa kinga utaje wenzako halafu na wewe unapeta.Message gani tutatuma kwa wafisadi wachanga?
Tatizo linakuja katiba yetu inampa nguvu sana rais na sisi tuna utamaduni wa patronism. Hao IGP na DPR ni watu waliochaguliwa na Kikwete kuangalia usalama wa status quo, unategemea wanaweza kufanya kitu cha maana kweli?
Si ndiyo mambo haya haya tunalalamika kila siku tume ya uchaguzi inachaguliwa na mwenyekiti wa CCM (rais) halafu tunategemea objectivity?
Mawazo yako ni mazuri karatasini lakini katika hali halisi ya Tanzania yatakwamishwa na system yetu.Halafu isitoshe unaweza kuweka precedent mbaya, kwamba watu wakafikiri ukiiba halafu ukawa so central baadaye utapewa kinga utaje wenzako halafu na wewe unapeta.Message gani tutatuma kwa wafisadi wachanga?