Balile: Magufuli katutenda, deni la nje lafikia shilingi Trillion 78

Balile ni Yuda Iskariote
Zuzu wewe.
 
Kwa hiyo waandishi wote walikaa kimya? Kusema kwamba tumekopa iwe shida? Mbona BoT walikuwa wakiweka kwenye website yao, mbona wap hawakupata shida? Unafiki tu
BOT ni chombo cha serikali. Alikuwa anaamua yeye habari gani itoke na habari gani isitoke. Kuhusu waandishi wa habari, kuna walipigwa kama Makonda alivyovamia vituo vya Clouds kuwapiga waandishi wa habari, wengine hawajulikani walipo na wengine kama Ansbert Ngurumo wameikimbia nchi kuokoa maisha yao.
 
Sukuma gang limepata maumivu kuona jini lake limebagazwa
 
Salaleh we jamaa unaishi kwenye dunia yako kutokana na huo uchambuzi ulioleta. Like I said much of your interpretation is based on face value of the articles perused and limited understanding of finance applications in general (leave alone cluelessness of public finances).

Ndio maana nimekwambia una unga unga tu; some of us can tell. Why so?

Ni hivi kuna finances and economics (are mainly governed with social sciences rules) which yield international practice and norms kutokana na historical context (past experience) na ndivyo ilivyo kwenyr public finance policies.

On historical context ni hivi madeni ya late 70’s na 80’s (duniani) yalitokana na Private Banks kukopesha nchi maskini recklessly especially in Latin America without proper checks. Mainly kwa sababu walikuwa wanapata hizo hela za kukopesha kirahisi kutoka kwa Investor’s wa nchi za kiarabu.

That’s normal practice in banking kuwa na middleman kwenye kukopesha nchi kupitia hela za watu wengine even IMF and WD are doing the same thing (actually na ili pia ni tatizo ata kwenye sakata la Mozambique has I will explain in a short while).

Sasa kumaliza matatizo ya defaults za mikopo kipindi hiko yaani (kuanzia late 70-80’s) kwa kuelewa private banks ndio mzozo wa tatizo because they were unregulated and the cause of high debt. IMF na WD walishauri mikopo inayowezekana ifutwe waanze on clean slate kwa kuhakikisha wana regulate mikopo ya nchi maskini kwenda mbele to miniminise the risks of default.

What you also need to know source ya IMF na WB capital ni hela ambazo zinatolewa na nchi tajiri kusaidia nchi maskini but only on specific social project na ndio mikopo yenye riba ndogo; also kuna hela za private banks ambazo zinariba kubwa kidogo.

Additional as source of national capital kuna private banks wanaotoa mikopo bila ya kupitia IMF na WB kwa riba kubwa zaidi.

Kutatua matatizo ya mikopo ya zama hizo (late 70-80’s) nchi tajiri zilifuta mikopo yake; however private banks zikakataa wote including wale wanaotoa hela kupitia International funds na individual banks.

kwenye kutatua changamoto za mikopo ya private banks IMF/WB wakaja na two new loan restructuring solutions.

Banks zinazoambatana na ‘Paris Club’ wao waliona shida ya madeni kama short term liquity issue wakaenda na mtindo wa kutaka kulipwa mbele kwa kushusha riba, na private banks zinazoambatana na ‘London Club’ wakafuata ushauri wa marekani kupitia ‘Brady Bonds’.

Either way hayo matatizo ya kulimbikizia nchi madeni ilibidi yatafutiwe suluhisho la moja kwa moja yasijirudie tena.

Ndipo hapo IMF/WB wakaja na mapendekezo kila nchi katika wizara yake ya fedha lazima iwe na DMO yenye jukumu la kuangalia madeni yote ya nchi i.e kwa kujumuisha madeni ya serikali kuu, taasisi zake na serikali za mitaa. Hii itasaidia kujua risk za default on guaranteed loans based on nations cash flow.

Sasa nini kimetoka Mozambique serikali iliyopita ilivuka hizo fire wall za international supervisors; hilo deni lilifichwa kwa kusaidiwa na Credit Suisse, kwa sababu waliokopa ni taasisi ambao wanalipa wenyewe kwa mapato ya shughuli zao (ndio maana nikakupa mfano wa TANESCO)



Hiyo mikopo ilipita without firewalls za nchi (Mozambique) as recommended by IMF stress tastes, between 2012 and 2015

Waliotoa siri ni serikali mpya iliyoingia madarakani late 2015 baada ya kuona kuna mikopo wanalipa ambayo aifuata process sahihi za kimataifa.



Kilichofuata based on what IMF can do baada ya kugundua kumbe kuna watu wamekopesha Mozambique without adhering to due process; given their influence position. Wanachoweza fanya ni kusitishs mkopo wao uliokuwa njiani (based on their risk assessment) na wakifanya ivyo hakuna atakae kukopa.



Hiko ndio IMF inachoweza fanya baada ya kutoa taarifa.

Kilichofuata ndio mlolongo wa cascading events FCA watatumia ‘Companies Act 2006’ and ‘Governance code of conduct 2010’ kutoa adhabu kutokana na matendo Credit Suisse based on their jurisdiction kwa sababu subsidiary company iliyosajiliwa ipo nchini kwao; so it’s subjected to those rules. Ndio maana wametoa adhabu kutokana mambo husika yanayohusiana na sheria zao za rushwa mainly money laundering and so forth.

Alikadhalika US wanahusika kwa sababu hela za hiyo mikopo wafadhali wake wametoka kwao (ni hela za U.S Investor’s ndio zimetumika kutoa huo mkopo kupitia Credit Suisse). Kama nilivyokwambia awali ata private banks can source loans outside just IMF/WD as middlemen.

Kwa sababu hizo hela ni za Investor’s kutoka US hiyo inatoa nafasi kwa US regulators ‘Security Exchange Council’ kutumia sheria zao zinazowapa mamlaka ya kumlinda investor wao amongst them ni ‘Sarbanes Oxley Act 2002’.

Ndio maana nakwambia hujui; unaandika ujinga mtupu, so far uelewi hata hilo deni lilikopwa na taasisi za serikali sio wizara ndio maana alikuonekana kwenye budget.

Sasa najiuliza hivi unaelewa kweli mziki wa Bandari ya Bagamoyo na LNG (hizo ni business finance mziki wake ni mnene maradufu from public finance) kama unasoma vitu vyepesi ata historical context hujui.

Hayo mambo unayorukia hesabu zake shyt is very complicated tofauti na ujinga unaoandikaga, sema na njaa zako.
 
Kukopa is inevitable, mataifa yote yanakopa ili mambo yao yaende.

Ndugu muandishi angejikita zaidi kwenye matumizi ya huo mkopo ili tuone thamani yake, atufahamishe pia sehemu ya mkopo iliyomegwa na mwendazake kwa matumizi binafsi ili tupate uhalali wa kulitupia mawe kaburi.

Tsh 1.5 trillion na Tsh 1.9 trillion zilizoripotiwa na CAG ASSAD !!!
 
Umeeleza vyema sana mkuu

Vp kama tukikataa kulipa hili deni letu hao creditors watachkua hatua gani?
 
Umeeleza vyema sana mkuu

Vp kama tukikataa kulipa hili deni letu hao creditors watachkua hatua gani?
Provided umepitia IMF/WB kinachofuata ni SAP (Structural Adjustment Policies).

Ukigoma SAP wao washakufanyia analysis ya mapato yako ni kama tairi la F1 car (lina laps zake before its worn out) ukizidisha lap linapasuka.

In other words wana control monetary policies za nchi maskini; you can’t just print new money like US can or manipulate the gold standard as they wish with their central bank.

To get credit you have to go through them. Ukiaribu chamoto utakiona. Tuwaulize hao hao Msumbiji nini kiliwakuta baada ya IMF yakubaini mkopo wa siri na kusitisha mkopo na wafadhili kuacha kwa ushauri wa IMF.

Kuna upuuzi mwingine unasoma humu unajisemea, mweh. Mimi tu mkaidi Max angeweza ku protect wachangiaji kwa asilimia JF ingekuwa na wamwaga nondo. Kuna watu nawajua wana uwezo wakudadavua hayo mambo zaidi; at the same time kuna watu ukiwasoma unaona huyu sio tu kwamba unga unga bali hata elementary knowledge hana.
 
Mkuu mimi nadhani kukopa sio ishu tukope tu ili mambo yaende. USA inadaiwa $ 17.6 tril na mambo yao ni supa, Japs $ 9 tril nao wako byee .... Sisi haka ka $ 33.7 bill naona bado tuko njema tu kulingana na gali yetu.

Shida ipo kwenye kusimamia na kudhibiti matumizi ya hii mikopo!
 
Mkuu mimi sipo kwenye battle yenu wewe na Mkuu Chige 🙌, maana mimi sio financial expert, I'm just curious to know how big boys role dice.

Ningependa unijibu in layman terms, watatufanya nini hawa mabwana kama tukiwakataa? Kama Zimbabwe??
 
Kam
Kwa hiyo waandishi wote walikaa kimya? Kusema kwamba tumekopa iwe shida? Mbona BoT walikuwa wakiweka kwenye website yao, mbona wap hawakupata shida? Unafiki tu
Kama kutetea uhai ni jambo la kinafki basi mimi naona iko vyema tu mkuu.

07 September 2017, bwana mmoja alinyeshewa mvua ya risasi(magazine nzima) kwasababu hizohizo. Mungu wake mkubwa sana ndio maana bado tupo naye hadi leo hii.
 
Hakuna jitu la hovyo na nafiki kama Balile. Lenyewe hufikiria kulakula tu. Huyu hana tofauti na Msiba aka Musiba. Wanafikiri kwa matumbo badala ya vichwa au tuseme makalio.
 
Mkuu mimi sipo kwenye battle yenu wewe na Mkuu Chige 🙌, maana mimi sio financial expert, I'm just curious to know how big boys role dice.

Ningependa unijibu in layman terms, watatufanya nini hawa mabwana kama tukiwakataa? Kama Zimbabwe??
Nimekuelezea kama ukuelewa

What ‘structural adjustment policies’ are.

Utaki kwa lugha rahisi mfano F1 tyre niliokupa kama ujauelewa ni hivi.

Wewe una mapato ya tsh elfu 30 kwa week (for simplification pursposes) kwa siku unatumia tsh elfu 10 minimum; sasa utamaliza week kwa mapato hayo bila ya kukopa au kuongeza uzalishaji. Dunia ndio imekubana hapo.

To get out of that rat trap in the long run you need plan on ways to add value on what you can produce; sasa kuingia kwenye mjadala huo tunahama kutoka kwenye finance kwenda kwenye uchumi.

Alamsiki.
 
Man,

Mimi sina matatizo na kukopa, nina matatizo na wale wanaoona fahari kukopa kwenye benki za kibiashara wakati kila mfuatiliaji wa haya mambo, anafahamu makali ya kukopa benki za kibiashara...

Na wanaonea fahari kukopa benki za kibiashara sio kwa sababu za kitaalamu, bali kwavile aliyekopa hiyo mipesa ni JPM, na kwao JPM IS ALWAYS RIGHT, basi hata kama alichokifanya kinaonekana wazi sio sawa, WAO WATATETEA TU...

Mchukulie huyo Kilatha, yaani bila aibu anafikia kusema:-
Unadhani mzungu mjinga, JK na Mkapa sio kwamba walikua awataki kukopa, sema walikuwa awakopesheki na hela ilikuwa aifanyi kazi iliyokopewa.
Hivi kuna mwenye akili timamu anayeweza kuamini porojo kama hizo?

Yaani Western Financial Institutions ziwe na imani zaidi na JPM ambae alikuwa wala hatabiriki kesho ataamuka na balaa gani, halafu wasimuamini Kijana Wao Mpendwa Benjamin Mkapa?!

Lakini kwanini kaongea hayo... kwa sababu tu hiyo mikopo imechukuliwa na "JPM" na yupo tyari kutetea na ku-justify lolote hata kama ni la kijinga!!
 
Arrghh JPM alifanya bogus deals

nmeona post umeandika mama nae atanunua madege kwa style hiohio, vp kuna faida nyingine ambazo sisi raia hatuzijui ama
ni yaleyale ya kujikosha?
 
Kumeshakucha mkuu!
 
PUNGUZA MBWEMBWE ZA KUJITIA UJUAJI WAKATI MWEUPE...
Ni hivi kuna finances and economics (are mainly governed with social sciences rules) which yield international practice and norms kutokana na historical context (past experience) na ndivyo ilivyo kwenyr public finance policies.
Wakati unajugamba kusoma Public Finance, nimesoma Uchumi, kwahiyo hayo mambo unayoyasikia juu juu, mwenzako ninayasomea
Narudia... Brady Bond ni matokeo ya 80's Financial Crisis na sio 70's!
That’s normal practice in banking kuwa na middleman kwenye kukopesha nchi kupitia hela za watu wengine even IMF and WD are doing the same thing (actually na ili pia ni tatizo ata kwenye sakata la Mozambique has I will explain in a short while).
Middlemen are everywhere in a modern business... hapa tunazungumzia CORRUPTION THROUGH MIDDLEMEN...

Kwenye Sakata la Radar.... Middleman alipiga za kutosha...

Kwenye mkopo wa Stanbic, Middle Man alipiga mabilion...

Kwenye sakata la Msumbimbi... Middle Men walipiga mabilioni!! Hicho ndicho kinazungumziwa!
Naona unahangaika kunielezea kuhusu Brady Bond ingawaje sio msingi wa mjadala huu!!! Narudia... suala la Brady Bond nimelisoma mara kadhaa! Sijaanza kulisoma jana wala juzi unlike wewe unaehangaika sasa kunipa historia inayofahamika nachumi yeyote yule!!
What you also need to know source ya IMF na WB capital ni hela ambazo zinatolewa na nchi tajiri kusaidia nchi maskini but only on specific social project na ndio mikopo yenye riba ndogo; also kuna hela za private banks ambazo zinariba kubwa kidogo.
Hapa naachana rasmi na wewe....

Mara kadhaa nimekuambia huna ufahamu na haya mambo, ndo maana mara kadhaa unaongea vitu vya ajabu, nikikukosoa, unaenda ku-Google na kurudi na hoja nyingine! Matokeo yake, tunafanya kazi ya kuzunguka kuzunguka tu mle mle!!

Kama umesahau, hiki ndicho uliongea:-
Besides if you do not know ata hela wanazotoa IMF na WD asilimia kubwa ni za private banks; sema zinakuwa channeled through them ili ku control mikopo ya nchi na kuminimise risk za default.
Huna cha kuniambia "if you don't know" wakati ni mwenyewe ndje hujui!!

Unajisahaulisha kwamba juzi tu hapa ulisemama the main source ya fedha za IMF ni:-
Besides if you do not know ata hela wanazotoa IMF na WD asilimia kubwa ni za private banks; sema zinakuwa channeled through them ili ku control mikopo ya nchi na kuminimise risk za default.
NIkakupinga, halafu unarudi kujifanya kunielimisha kwa kitu ambacho nilikuwa nakifahamu na ni wewe mwenyewe ndie ulkuwa hufahamu!!

Halafu narudia... mambo mengine unatakiwa kutumia akili!!!

Hivi unaamini kabisa IMF wana uwezo wa ku-control mikopo kulinganisha na private banks wenyewe?

Yaani IMF hawa hawa ambao kila siku wanadindishiwa na Wakopaji ndo wawe na uwezo wa kusimamia mikopo ya wengine wakati hata ya kwao wenyewe maji yakizidi unga, wanaamua kusamehe!!!

We all know dunianiani kuna multilateral agreements zinazolinda hizi private institutions, na serikali nyingi zimewahi kupelekwa MiGA! Umeshawahi kusikia kuna nchi imefikishwa MIGA na IMF?
 
Look at you

Hivi unadhani private banks wanajikopeshea tu nchi za Africa au ata wachina tukienda kukopa.

Hujui ata misingi ya ring fence walizopewa DMO na analysis frameworks such as:

To name a few.

Kukusaidia tu personal nina ‘public finance’ module nzima mbele yangu endorsed by all international donors stakeholder IMF, WD and the rest na nishaisoma yote kitambo.

Not only does it contain the history of policy evolution bali ata complicated various ecomoic formulas and variants to use in computation; all of which I know. Thiugh the chances of evolving to such discussion were small with your understanding on the subject matter, ila tungefika huko utakutana na mziki mwingine kabisa sidhani kama midundo yake unaweza cheza.

So given any case study and the standard reasoning related to public finance norms I know what to google to get the right articles to answer any query of yours and dig even deeper to challenge you are understanding on the same issue.

On this Creddit Suisse saga (ndio maana nikakwambia unahitaji foundation of the discipline to argue).

Kwa sababu hujui ata tofauti ya varying government debts na shughuli za DMO kwa tafsiri za IMF and why wahusika wa huo ufisadi Mozambique officials thought it was import to bypass the international set firewall.

Like I told you public finance reasoning is based on social science and it is influenced by historical events leading to formulation of IMF/WB policies on risk assesments which every nation has to adhere too.

In addition to that kuelewa sababu za fines walizopewa hao watu nje ya box you need to have studied accountancy (aspects of auditing) na sheria zake kwa nchi husika ndio zilizotumika kuwaadhibu.

As far as national debt is concerned it is not a good idea to hide it from IMF and WB kwa sababu likija hadharani kuna consequences zake ata nchi za ulaya; just ask Greece bila EU na Angela Merkel mziki wao ungekuwa mwingine.

Eti $200 million kwa mujibu wako ilifutwa kupunguzwa interest ya deni; hivi interest inafutwa kwa kupunguza amount of loan au interest rate set; sasa huko sina files isipokuwa finance ni uwanja wangu nilikuacha kwa sababu ningesema nijibu kila upuuzi wako tungekesha.

Kilatha 👋 done with this thread.
 
Mwendazake alisema anapenda umbeya sana kama alivyoupata wa bandai kupitia jamhuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…