Balimi zangu naomba apewe mheshimiwa Rais ili akiongezea na zake apate 14

Balimi zangu naomba apewe mheshimiwa Rais ili akiongezea na zake apate 14

Balimi moja yauzwaje?

Na kwa mahesabu ya sasa kila mtanzania inabidi apate tshs ngapi?

Natanguliza shukrani.
 
cc1a530da423b53d479fe9c411db33d6.jpg
 
Wadau mmeona wenyewe tumefanikiwa kwelikweli, yani badala ya Noah sasa kila mtanzania anaweza kupata balimi saba.
Acha tulewe..., tulewe tuu..
Tuleeeewe...., tulewe tu!

Ila balimi zangu, kama zikitoka naomba apewe mheshimiwa rais ili akiongezea na zake basi anywe 14. Angalau anaweza kulewa.
Alewe tu!
Mazungumzo miezi minne unapata bia saba?
Naheri ulewe.

Lisu hajawahi kukosea!!
Alikosea wapi kwa mfano?
Makinikia yanasafiri , hakuna cha trillion 400 ,
Na wala hizo bia za kishika uchumba hazipo!
Yani ni ahadi ya bia na tunaweza pewa moja moja kila mwaka.

Leo gari imepakwa rangi inapigiwa gwaride. Kwakweli hili taifa ntakuja nihame.
Watu wanafanya magwaride kuonyesha mizinga mipya duniani, sisi tunafanya gwaride la kufanikisha kukaza gari bolt?
Kweli jameni tunadhalilishana hivi?
IMG-20171022-WA0165.jpg
IMG-20171022-WA0144.jpg
 
Amekosea....alisema tutashitakiwa je tumeshitakiwa? namm nakupa balimi zangu uleweeee....ulewe tuuu
Tutashtakiwaje wakati hakuna tulichokikomalia kisheria?
Ile kodi hatupewi!
Makinikia yanasepa!
Na hata hizi bia hatuwezi kuzidai maana tumepewa 'in good faith'.

Yani heri bia za sherehe uliyochangia unaweza ukazikomalia.
Hizi hata zisipokuja hatuna pakwenda.
 
Tutashtakiwaje wakati hakuna tulichokikomalia kisheria?
Ile kodi hatupewi!
Makinikia yanasepa!
Na hata hizi bia hatuwezi kuzidai maana tumepewa 'in good faith'.
Alisema kitendo cha kuzuia tu makinikia ni mashitaka tosha. ....je tumeshitakiwa au wameomba poo? chukua balimi zangu uleweee ....ulewe tuuu

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
 
Tutashtakiwaje wakati hakuna tulichokikomalia kisheria?
Ile kodi hatupewi!
Makinikia yanasepa!
Na hata hizi bia hatuwezi kuzidai maana tumepewa 'in good faith'.

Yani heri bia za sherehe uliyochangia unaweza ukazikomalia.
Hizi hata zisipokuja hatuna pakwenda.
Hizo b700 tu ni kuomba poo....hapo bado zile hela zetu za Noah bado hazijajadiliwa .....muhudumu.....muongeze balimi....aleweeee alewe tuu
 
Mmepigwa za uso so jiliwazeni na Balimi....bia ya wakulima wazee wa kupinga kila kitu....mleweeee....mlewe tuuu
 
Japo n mawazo yako ila n nonsense
Hv hauoni aibu..
Hv roho yako haikusutiiii..
Hovyooo..
 
Mgagaa na upwa hali wali mkavu.

Hicho hicho si haba, asingekomaa nao tusingekipata

Wakiwa jeuri unakuwa jeuri zaidi yao.

Mengi yatakayotokana na michakato hii ni ya long term,

Kwa hy ni rahisi kubeza kwani immediate impacts zinaweza zisiwe kali kivile

Kwa sector ya madini walau serikali imeonyesha haitaki mzaha, mwelekeo ni mzuri
 
Back
Top Bottom