Balimi zangu naomba apewe mheshimiwa Rais ili akiongezea na zake apate 14

Balimi zangu naomba apewe mheshimiwa Rais ili akiongezea na zake apate 14

Balimi moja yauzwaje?

Na kwa mahesabu ya sasa kila mtanzania inabidi apate tshs ngapi?

Natanguliza shukrani.
Kwa mahesabu ya sasa kila mtanzania anapata sh 14,000/=. Tepewa ahadi hewa (maana tayari washasema hiyo hela ya kutupa hawana (siyo kwamba hawana hela, ila hela ya kutupa/ya show of good will hawana) ya 700 bilioni na tukiigawana watxnzania milioni 50 tunaambulia hizo elf 14 kila mmoja! Hazitoshi hata kadi ya single kwenye arusi!!! Ila kwa wanywaji wa "Pombe" hizo balimi 7 zinapatikana! Mimi nitanunulia kilo 2 za nyama!
 
Wadau mmeona wenyewe tumefanikiwa kwelikweli, yani badala ya Noah sasa kila mtanzania anaweza kupata balimi saba.
Acha tulewe..., tulewe tuu..
Tuleeeewe...., tulewe tu!

Ila balimi zangu, kama zikitoka naomba apewe mheshimiwa rais ili akiongezea na zake basi anywe 14. Angalau anaweza kulewa.
Alewe tu!
Mazungumzo miezi minne unapata bia saba?
Naheri ulewe.

Lisu hajawahi kukosea!!
Alikosea wapi kwa mfano?
Makinikia yanasafiri , hakuna cha trillion 400 ,
Na wala hizo bia za kishika uchumba hazipo!
Yani ni ahadi ya bia na tunaweza pewa moja moja kila mwaka.

Leo gari imepakwa rangi inapigiwa gwaride. Kwakweli hili taifa ntakuja nihame.
Watu wanafanya magwaride kuonyesha mizinga mipya duniani, sisi tunafanya gwaride la kufanikisha kukaza gari bolt?
Kweli jameni tunadhalilishana hivi?
Mmebaki kulewa balimi na kuongea kipare. Na mtalewa sana mpaka mtapike, hapa kazi tu.
 
Wadau mmeona wenyewe tumefanikiwa kwelikweli, yani badala ya Noah sasa kila mtanzania anaweza kupata balimi saba.
Acha tulewe..., tulewe tuu..
Tuleeeewe...., tulewe tu!

Ila balimi zangu, kama zikitoka naomba apewe mheshimiwa rais ili akiongezea na zake basi anywe 14. Angalau anaweza kulewa.
Alewe tu!
Mazungumzo miezi minne unapata bia saba?
Naheri ulewe.

Lisu hajawahi kukosea!!
Alikosea wapi kwa mfano?
Makinikia yanasafiri , hakuna cha trillion 400 ,
Na wala hizo bia za kishika uchumba hazipo!
Yani ni ahadi ya bia na tunaweza pewa moja moja kila mwaka.

Leo gari imepakwa rangi inapigiwa gwaride. Kwakweli hili taifa ntakuja nihame.
Watu wanafanya magwaride kuonyesha mizinga mipya duniani, sisi tunafanya gwaride la kufanikisha kukaza gari bolt?
Kweli jameni tunadhalilishana hivi?
Yaani lile dingi litazima chakali!

Balimi 14 sio mchezo
 
Balimi zangu nipewe tu kila MTU afe na chake balimi 7 nisawa na chapati ngapi wana mahesabu nisaidieni ili nikafanye exchange nipewe vyapati afu supu nitaongezea kaela kangu niliko tunzaga enzi za kikweteeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom