Online Pastor
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,948
- 1,523
Hahaa, mnanunua ndege kwa cash kumbe mnadeni kwa mangi bwnNa zangu mkuu ziuzwe tukakomboe Bombadia letu [emoji574]
Balimi zangu 7 utakunywa wewe mkuu.halafu kuna matahira wanasema hakuna uhuru wa maoni
Je wewe ni nani ..ulishawahi kujiulizawere kilaza kweli
Hahaaha wewe hapo una rasilimali? Ipi hiyo?Tuliambiwa hii ni vita ya kiuchumi... kupigania rasilimali zetu dhidi ya wezi na mabeberu
hata kwa hizo balimi 7 inabidi kujipongeza tu...
Amekosea....alisema tutashitakiwa je tumeshitakiwa? namm nakupa balimi zangu uleweeee....ulewe tuuuFaru John moja na sigara
Wadau mmeona wenyewe tumefanikiwa kwelikweli, yani badala ya Noah sasa kila mtanzania anaweza kupata balimi saba.
Acha tulewe..., tulewe tuu..
Tuleeeewe...., tulewe tu!
Ila balimi zangu, kama zikitoka naomba apewe mheshimiwa rais ili akiongezea na zake basi anywe 14. Angalau anaweza kulewa.
Alewe tu!
Mazungumzo miezi minne unapata bia saba?
Naheri ulewe.
Lisu hajawahi kukosea!!
Alikosea wapi kwa mfano?
Makinikia yanasafiri , hakuna cha trillion 400 ,
Na wala hizo bia za kishika uchumba hazipo!
Yani ni ahadi ya bia na tunaweza pewa moja moja kila mwaka.
Leo gari imepakwa rangi inapigiwa gwaride. Kwakweli hili taifa ntakuja nihame.
Watu wanafanya magwaride kuonyesha mizinga mipya duniani, sisi tunafanya gwaride la kufanikisha kukaza gari bolt?
Kweli jameni tunadhalilishana hivi?
Tutashtakiwaje wakati hakuna tulichokikomalia kisheria?Amekosea....alisema tutashitakiwa je tumeshitakiwa? namm nakupa balimi zangu uleweeee....ulewe tuuu
Alisema kitendo cha kuzuia tu makinikia ni mashitaka tosha. ....je tumeshitakiwa au wameomba poo? chukua balimi zangu uleweee ....ulewe tuuuTutashtakiwaje wakati hakuna tulichokikomalia kisheria?
Ile kodi hatupewi!
Makinikia yanasepa!
Na hata hizi bia hatuwezi kuzidai maana tumepewa 'in good faith'.
Hivi hujui kama Acacia walishatufungulia bill kwenye arbitration?Alisema kitendo cha kuzuia tu makinikia ni mashitaka tosha. ....je tumeshitakiwa au wameomba poo? chukua balimi zangu uleweee ....ulewe tuuu
Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
Hizo b700 tu ni kuomba poo....hapo bado zile hela zetu za Noah bado hazijajadiliwa .....muhudumu.....muongeze balimi....aleweeee alewe tuuTutashtakiwaje wakati hakuna tulichokikomalia kisheria?
Ile kodi hatupewi!
Makinikia yanasepa!
Na hata hizi bia hatuwezi kuzidai maana tumepewa 'in good faith'.
Yani heri bia za sherehe uliyochangia unaweza ukazikomalia.
Hizi hata zisipokuja hatuna pakwenda.
Kwahiyo idadi imeshapunguaHivi hujui kama Acacia walishatufungulia bill kwenye arbitration?
Naona balimi zinazidi kukukolea jombaa....kunywa na za mwanangu.....muhudumuuu muongeze balimi...aleweee.....alewe tuHivi hujui kama Acacia walishatufungulia bill kwenye arbitration?