BalimiI/kirkuu a.k.a fastjet bei ndogo majibu fastaa

UNYWAJI WA BIA UNALETA UMASIKINI....Tuliza akili yako... Bia moja inanunua tofali mbili... Kama mtu unakunywa bia nane (8) kwa wiki ni sawa na bia 32 kwa mwezi sawa na bia 384 kwa mwaka= tofali 768..hii inatosha kujenga msingi wa nyumba ndogo ya vyumba viwili na sebule na kupandisha kidogo... Kwahyo usije ukalalamika maisha magumu wakati matumizi yako ndo mabaya..
 
Una Nyumba ngapi mpaka sasa ukilinganisha na umri wako??
 
Hv nyumba inajengwa na tofali pekee??

Mambo yangerahisi hvyo basi wanywa novida na milinda orane wengi wangekuwa wameshajenga tayar


Acha ukoma ponda rahaaaa
 
Jana nimekunywa haina shida yaani poa kwa radha na poa kiuchumi
 
Bila shaka umeandika post hii ukiwa umeFastJet.
 
Hii bia inauzika sana kanda ya ziwa slogani yake ni Bia yetu kanda yetu..."FastJet" kiboko ukipiga tatu tu baaas unaenda home
 
Hii bia inauzika sana kanda ya ziwa slogani yake ni Bia yetu kanda yetu..."FastJet" kiboko ukipiga tatu tu baaas unaenda home
Kwasasa sasa ishatambaa tz nzima kwa fujo ya ajabu kmscendo mbaya vile

Dar nimeyakuta
Mbeya nimeyakua
Iringa nk

BIA YANGU KANDA.YENU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…