"Ball Boys" ni chaka jipya la kuingiza ushirikina viwanjani

"Ball Boys" ni chaka jipya la kuingiza ushirikina viwanjani

Kuna jambo limenishangaza jana la kitendo cha ball boys kuiba begi la golikipa wa TP Mazembe na kukimbia nalo.

Kilichonishangaza zaidi ni kitendo cha Rais wa Yanga Hersi Said ambaye pia ni kiongozi anayetafuta heshima Afrika akiwa anashikilia cheo cha Mwenyekiti wa Taasisi ya Vilabu kuwapongeza ball boys hao. Hii inaleta picha gani kwa mpira wa Afrika?

View attachment 3193255

Kesho keshokutwa hawa ball boys watatumika kuvamia viwanja na kuwamwagia "maji" wachezaji wa timu pinzani. Watatumika kuondoa upepo kwenye mipira na uhuni mwingine ambao akili yangu bado haijapevuka kubuni.

NYONGEZA: Sisemi msifanye uhuni ila kuna njia za kufanya uhuni bila kuonekana washamba.
Viti viling'olewa.
 
Tumeji
mkuu hawa vijana wanasaidia sana upande wa fitina kila mechi pale taifa wnachelewa kuleta mipira uwanjani sio simba sio yanga wananufaika sana na hawa home boys wanasaidia sana mkuu fitina kwenye soka la afrika ni muhimu sana
Tumejifunza toka kwa waarabu
 
Mbona wachezaji wa yanga na benchi la ufundi uhuni walio fanyiwa kule kongo hujaukemea mkuu wacha wachezaji na mashabiki pia hawakuuzia hata maji ya kunywa Imagine!!

Acha ushabiki usikuwa na manufaa kwa Taifa Simba na Ynga wakiwa ugenini wanafanyiwa unyama sana wla sijawahi ona unalalamika hapa.
 
Dogo muokota mipira uwanja wa Liverpool alipewa offer ya kupewa jezi bure na kuingia bure ule uwanja baada ya kuwahisha mpira na kumwambia beki Arnold Barcelona wamejisahau alichokifanya Arnold ni kupiga kona haraka sana iliyozaa goli la nne na kuitoa Barcelona kwenye mtoano wa Uefa kule Spain Liverpool walikufa goli tatu..
 
Uchawi hauna nafasi kwenye football acha ushamba unaongoza kwa uchawi ila hujawahi kuchukua Ubingwa hata wa shirikisho, Tuwekeze kwenye football uswahili hautatufikisha watu wameweka hela matokeo yanaonekana
 
Kuna jambo limenishangaza jana la kitendo cha ball boys kuiba begi la golikipa wa TP Mazembe na kukimbia nalo.

Kilichonishangaza zaidi ni kitendo cha Rais wa Yanga Hersi Said ambaye pia ni kiongozi anayetafuta heshima Afrika akiwa anashikilia cheo cha Mwenyekiti wa Taasisi ya Vilabu kuwapongeza ball boys hao. Hii inaleta picha gani kwa mpira wa Afrika?

View attachment 3193255

Kesho keshokutwa hawa ball boys watatumika kuvamia viwanja na kuwamwagia "maji" wachezaji wa timu pinzani. Watatumika kuondoa upepo kwenye mipira na uhuni mwingine ambao akili yangu bado haijapevuka kubuni.

NYONGEZA: Sisemi msifanye uhuni ila kuna njia za kufanya uhuni bila kuonekana washamba.
Waafrika mlilogwa na nani?ndoa maana Trump alisema inabidi tutawaliwe tena.baada ya kuwaza vitu tangible nyingi mnawaza kuloga sasa begi linafanya nini golini?au ndoa nyie mnaologa mpaka wachezaji ati washindwe kucheza? fanyeni vitu vya kimaendeleo acheni mambo ya giza.
 
Kuna jambo limenishangaza jana la kitendo cha ball boys kuiba begi la golikipa wa TP Mazembe na kukimbia nalo.

Kilichonishangaza zaidi ni kitendo cha Rais wa Yanga Hersi Said ambaye pia ni kiongozi anayetafuta heshima Afrika akiwa anashikilia cheo cha Mwenyekiti wa Taasisi ya Vilabu kuwapongeza ball boys hao. Hii inaleta picha gani kwa mpira wa Afrika?

View attachment 3193255

Kesho keshokutwa hawa ball boys watatumika kuvamia viwanja na kuwamwagia "maji" wachezaji wa timu pinzani. Watatumika kuondoa upepo kwenye mipira na uhuni mwingine ambao akili yangu bado haijapevuka kubuni.

NYONGEZA: Sisemi msifanye uhuni ila kuna njia za kufanya uhuni bila kuonekana washamba.
Kwaiyo umeona mechi ya yanga tu,,mbona Simba inawatumia sana hao vijana kwenye mambo yao ya kishirikina ukuwai kuliona ilo? Ushabiki mandazi kama huu atuutaki!
 
Utapigwa Faini wengine ni magelo Sio boi pekee na wengine Ni Watu wazima.
Ball assistants.
 
Watu huwa wanaona ni sawa lakini ni hatari sana kukuza Vijana kwa kuwaaminisha kwamba hakuna ushindi au mafanikio bila kudhulumu au kuvunja sheria.Baadae hawa ndio wanaenda kuwa Viongozi, Polis,Madaktari n.k alafu tukiwa na Watu wa hovyo kwenye Jamii tunahangaa wametokea wapi?.Ningetamani sana tuwalee Wana wetu kwenye njia halali za kutafuta wakitakacho na si shortcut.Hata huyo Hersi kamwe hatamani Mwanae kufanya mambo ya kihuni kufikiia mafanikio.Na iko hivyo kwa Mzazi yeyote.
 
Ball Boys hata huko Ulaya kuna mchango wanatoa kwenye home games. Wadau wametoa mifano kadhaa hapo juu, binafsi nakumbuka Ball Boy wa Spurs ambaye kuwahisha kwake mpira ilichukuliwa kama assist na alisifiwa sana na vyombo vya habari.
 
Makolo bhana
Mmesahau skendo zenu za kuwawekea dawa wapinzani wenu mpaka mnakuja kujisifu humu
Mmesahau uchawi wenu hadharani mpaka mkapigwa faini ya Dola 10000
Ila mkiendelea kuteseka sisi tunafurahi
 
Kuna jambo limenishangaza jana la kitendo cha ball boys kuiba begi la golikipa wa TP Mazembe na kukimbia nalo.

Kilichonishangaza zaidi ni kitendo cha Rais wa Yanga Hersi Said ambaye pia ni kiongozi anayetafuta heshima Afrika akiwa anashikilia cheo cha Mwenyekiti wa Taasisi ya Vilabu kuwapongeza ball boys hao. Hii inaleta picha gani kwa mpira wa Afrika?

View attachment 3193255

Kesho keshokutwa hawa ball boys watatumika kuvamia viwanja na kuwamwagia "maji" wachezaji wa timu pinzani. Watatumika kuondoa upepo kwenye mipira na uhuni mwingine ambao akili yangu bado haijapevuka kubuni.

NYONGEZA: Sisemi msifanye uhuni ila kuna njia za kufanya uhuni bila kuonekana washamba.
Kolo umeumia sana na matokeo ya yanga,dunduka amechoma Hadi viwanja mbona husemi?
 
Kuna jambo limenishangaza jana la kitendo cha ball boys kuiba begi la golikipa wa TP Mazembe na kukimbia nalo.

Kilichonishangaza zaidi ni kitendo cha Rais wa Yanga Hersi Said ambaye pia ni kiongozi anayetafuta heshima Afrika akiwa anashikilia cheo cha Mwenyekiti wa Taasisi ya Vilabu kuwapongeza ball boys hao. Hii inaleta picha gani kwa mpira wa Afrika?

View attachment 3193255

Kesho keshokutwa hawa ball boys watatumika kuvamia viwanja na kuwamwagia "maji" wachezaji wa timu pinzani. Watatumika kuondoa upepo kwenye mipira na uhuni mwingine ambao akili yangu bado haijapevuka kubuni.

NYONGEZA: Sisemi msifanye uhuni ila kuna njia za kufanya uhuni bila kuonekana washamba.
Kati ya kuiba begi lenye mindumba na kuchoma uwanja katikati ya watu elfu 60 na ushee upi ni ushamba tena wa wazi kabisa
 
"Soka la Bongo, Simba na Yanga" 🎶

Soka la Africa kiujumla limenishinda kabisa, figisu nyingi sana. Kwa Bongo ni bora niangalie amateur football kuliko kuangalia madudu ya kwenye pro football.

Uchawi hauna nafasi kwenye football acha ushamba unaongoza kwa uchawi ila hujawahi kuchukua Ubingwa hata wa shirikisho, Tuwekeze kwenye football uswahili hautatufikisha watu wameweka hela matokeo yanaonekana

Kwaiyo umeona mechi ya yanga tu,,mbona Simba inawatumia sana hao vijana kwenye mambo yao ya kishirikina ukuwai kuliona ilo? Ushabiki mandazi kama huu atuutaki!

Makolo bhana
Mmesahau skendo zenu za kuwawekea dawa wapinzani wenu mpaka mnakuja kujisifu humu
Mmesahau uchawi wenu hadharani mpaka mkapigwa faini ya Dola 10000
Ila mkiendelea kuteseka sisi tunafurahi

Kolo umeumia sana na matokeo ya yanga,dunduka amechoma Hadi viwanja mbona husemi?

Kati ya kuiba begi lenye mindumba na kuchoma uwanja katikati ya watu elfu 60 na ushee upi ni ushamba tena wa wazi kabisa
Yanga ni timu inayoongoza kwa kupigwa faini kwenye derby miaka nenda rudi kwa sababu ya kufanya ushirikina. Kila derby lazima mruke ukuta na kuvunja milango.

Baadae mkaanza kuwatumia wachezaji kuiba mataulo ya magolikipa. Kuna siku mtawavua bukta wapinzani wenu na kukimbia nazo. Mnapoelekea siyo kuzuri.
 
Back
Top Bottom