"Ball Boys" ni chaka jipya la kuingiza ushirikina viwanjani

"Ball Boys" ni chaka jipya la kuingiza ushirikina viwanjani

Yanga ni timu inayoongoza kwa kupigwa faini kwenye derby miaka nenda rudi kwa sababu ya kufanya ushirikina. Kila derby lazima mruke ukuta na kuvunja milango.

Baadae mkaanza kuwatumia wachezaji kuiba mataulo ya magolikipa. Kuna siku mtawavua bukta wapinzani wenu na kukimbia nazo. Mnapoelekea siyo kuzuri.
Auna point ya msingi zaidi ya uchuro tu,,kwaiyo siku zote yanga anashinda kutokana na kuwatumia ball boys?
 
ball boys,ndo akina nani? ni ushamba tu uliokithiri kuendelea kuwatumia hawa watoto,ni ushamba na upunguani kiwanja cha mpira kuwekewa et sijui running ways. ni ushamba na uzamani uliokithiri. nitajie nchi yeyote ya ulaya inayotumia ball boys ktk football.
 
Auna point ya msingi zaidi ya uchuro tu,,kwaiyo siku zote yanga anashinda kutokana na kuwatumia ball boys?
Mwanzo mlikuwa mnawatumia kina Kibwana kuiba mataulo, sasa hivi mmeadvansi zaidi.
 
Mbona wachezaji wa yanga na benchi la ufundi uhuni walio fanyiwa kule kongo hujaukemea mkuu wacha wachezaji na mashabiki pia hawakuuzia hata maji ya kunywa Imagine!!

Acha ushabiki usikuwa na manufaa kwa Taifa Simba na Ynga wakiwa ugenini wanafanyiwa unyama sana wla sijawahi ona unalalamika hapa.
Nyie si ndiyo mligeuka waarabu kwenye lile suala la viti? Unaenda vitani halafu unategemea adui akupetipeti? Inakuwaje mnyimwe maji huko Congo wakati mlijinadi mna matawi yenu?
 
Uchawi hauna nafasi kwenye football acha ushamba unaongoza kwa uchawi ila hujawahi kuchukua Ubingwa hata wa shirikisho, Tuwekeze kwenye football uswahili hautatufikisha watu wameweka hela matokeo yanaonekana
Anayeamini katika uchawi ni yule anayeiba vifaa vya golikipa wa timu pinzani akiamini ndiyo vinazuia magoli yasiingie. Kumbuka ni huyo huyo anayeruka ukuta na kuvunja milango isiyo rasmi kwa sababu ya imani za kishirikina.
 
Yanga ni timu inayoongoza kwa kupigwa faini kwenye derby miaka nenda rudi kwa sababu ya kufanya ushirikina. Kila derby lazima mruke ukuta na kuvunja milango.

Baadae mkaanza kuwatumia wachezaji kuiba mataulo ya magolikipa. Kuna siku mtawavua bukta wapinzani wenu na kukimbia nazo. Mnapoelekea siyo kuzuri.
HIvi mlimtumaga Gadiel Michael akafanye nini? Tusisahau na ile ya basi kurudi kinyumenyume km 13
 
HIvi mlimtumaga Gadiel Michael akafanye nini? Tusisahau na ile ya basi kurudi kinyumenyume km 13
Basi kurudi kinyumenyume alaumiwe mzungu kwa kuweka gia ya rivasi.
Kama unaamini basi limerudi kinyumenyume km 13 basi una tatizo kubwa kuliko nilivyodhani.

Siku hizi TFF wanawapiga faini kabla hata ya mechi ya derby maana wanajua tu mtaenda kufanya ulozi waziwazi.
 
Umri wa mwisho wa kuwa ball boy ni miaka mingapi?
Mbona huyo jamaa kama 25+?
 
Umri wa mwisho wa kuwa ball boy ni miaka mingapi?
Mbona huyo jamaa kama 25+?
Hilo na lenyewe nimeliona nikaamua kuwazoom tu. Kuna siku watamuingiza Mzee Mpili awe ball boy
 
Back
Top Bottom