Wanahesbia msimu wa 2014/2015 we mchezaji hajacheza timu ya taifa mwaka mzima anigiaje
..hivyo vigezo vipo au ni mapenzi yako tu!
...wacha mbwembwe wewe, magoli yakupasia nyavu siku hizi hayauzi gazeti....
nenda kawaulize bayern, Messi aliwafunga goli gani!!!
Kabla ya kuongea utumbo, nenda Google jaribu kuangalia What's Ballon D'Or? Vigezo gani vinatumika kupata candidates wa Ballon D'Or? Je magoli ya kupasia nyavu hayahesabiki kwenye Ballon D'Or? Hizo habari za kuuza gazeti kaongee na wauza magazeti wenzio.
Kabla ya kuongea utumbo, nenda Google jaribu kuangalia What's Ballon D'Or? Vigezo gani vinatumika kupata candidates wa Ballon D'Or? Je magoli ya kupasia nyavu hayahesabiki kwenye Ballon D'Or? Hizo habari za kuuza gazeti kaongee na wauza magazeti wenzio.
Vigezo vipo km ulikuwa ujui basi jua
Christiano In His Worst Year! #AmazingStats
...kwangu Suarez ni zaidi ya Ronaldo.
CR 7 =(mss + Nymr)
anaxtahl mess 2
mess anastahl coz hakn mchezaj wa kulnganshw nae
We bibi unatafutwa jukwaa la siasa kule.
...mama uko kwenye hedhi au?!
Kwani mamaako hajavunja ungo?
...kanunue pedi baby, ujifungie chumbani na mihasira yako!!
Mkumbushe na mamaako asisahau kuvaa pedi