Ballon d'Or 2015 ni Messi,Neymar au Cristiano?

Ballon d'Or 2015 ni Messi,Neymar au Cristiano?

...wacha mbwembwe wewe, magoli yakupasia nyavu siku hizi hayauzi gazeti....
nenda kawaulize bayern, Messi aliwafunga goli gani!!!

Kabla ya kuongea utumbo, nenda Google jaribu kuangalia What's Ballon D'Or? Vigezo gani vinatumika kupata candidates wa Ballon D'Or? Je magoli ya kupasia nyavu hayahesabiki kwenye Ballon D'Or? Hizo habari za kuuza gazeti kaongee na wauza magazeti wenzio.
 
Kabla ya kuongea utumbo, nenda Google jaribu kuangalia What's Ballon D'Or? Vigezo gani vinatumika kupata candidates wa Ballon D'Or? Je magoli ya kupasia nyavu hayahesabiki kwenye Ballon D'Or? Hizo habari za kuuza gazeti kaongee na wauza magazeti wenzio.

Punguza jazba Tuzo ni ya King Messi
 
Kabla ya kuongea utumbo, nenda Google jaribu kuangalia What's Ballon D'Or? Vigezo gani vinatumika kupata candidates wa Ballon D'Or? Je magoli ya kupasia nyavu hayahesabiki kwenye Ballon D'Or? Hizo habari za kuuza gazeti kaongee na wauza magazeti wenzio.

...mama uko kwenye hedhi au?!
 

Christiano In His Worst Year! #AmazingStats


11219620_1109164212441671_4670397715280300891_n.jpg

...tuzo ya mpasia nyavu bora amepewa huyo, ila tuzo ya mshambuliaji bora kapewa Messi, kama una akili timamu lazima ujiulize sababu, hapo ndipo utapojua Messi ana mautundu zaidi ya huyo mpasia nyavu.
 
Mimi ni mshabiki hazard tu lkn angalizo messi mwaka wake huu wa kuweka record asipo chukua ntalia sana
 
Back
Top Bottom