Mkuu naona unanipotezea muda wangu bure nimeshasema hapo sina maana kua Messi ni mbovu, hoja hapa ilikua ni mchezaji gani anayecheza kwa kuzungukwa kati ya Ronaldo na Messi na wala sio kumfananisha Ibrahimovich na Messi,,
Ebu soma hapo juu unielewe vizuri kuna sehemu nimesema Messi alikua mbovu?, nimesema Iniesta na Xavi walikua wanamrahisishia kazi uwanjani tofauti na sasa hivi na ndio maana hata sasa hivi barcelona ina struggle tofauti na ile ya kina Xavi na Iniesta, japo Messi bado ana shine ila ni kwa ku struggle tofauti na awali (kumbuka hapa hoja ilikua ni nani anaecheza kwa kuzungukwa)
Afu mkuu wewe ni moja kati ya watu ninaowaheshimu sana humu jf so tuwekeane heshima yetu issue za kuanza mambo ya nimerogwa it's sound like insult to me cause hunifahamu wala sikufahamu