sasa Mkuu hivi kwa vigezo hivi itakuja kutokea kweli golikipa akachukua hiyo tuzo ?. Maana naona vigezo karibia vyote ni vya mchezaji wa ndani .
1. Pass accuracy
2. Goal created
3. Dribbling
4. Goals
5. Tacklings
6. Shoots on target
7.goal assist.
Sasa kwa vigezo hivyo kuna golikipa atakuja kubeba hiyo tuzo?