Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachezaji hawaendi tu ili mradi ya pesa ndio maana messi kaenda Uskwa anavyotapanya pesa kwa sasa nadhani hicho ni kitisho kwa ligi za ulaya kwa sasa.
anaweza kumchukua mbappe hata haaland au guardiola.
Mpira umeingiliwa na mdudu statistics.Halland hana mpinzani, ila mabeberu hawachelewi kufanya mchongo.
Pessi amepitwa kwa zaidi ya magoli 10 na Lagazetti kwenye famers league 😂 😂 😂
huo ni mwaka sio msimu, jua kutofautisha baina ya msimu na mwaka
Mpira umeingiliwa na mdudu statistics.
Kama wamehusisha world cup Basi lazima Messi atakuchukua.
Uliitazama Argentina WC mkuu? Unamzungumziaje Messi ktk WC?Andunje hana cha maana alichokifanya.
Wamekosea sana kuhusisha na WC.
Ila kwa sababu waandaji ni Pro Messi, basi atachukua tena.
AiseeeeHivi kwa nini wasiwaweke wachezaji toka ligi za asia. Uarabuni, america, n.k? Kwa nini hiyo tuzo wanaangalia wachezaji wa ulaya wakati wanasema ni ya dunia?
Akavunja rekod ya pele.Messi 2012 alifunga goli 91
Alivunja rekodi ya Gerd Muller ya 89 goalsAkavunja rekod ya pele.
Watu wanashindwa kuelewa hii tuzoNi kusumbua akili za wapenda soka tu Pier Liquid na Haaland ni mbingu na ardhi.
Pier Liquid ana wed kap na ni kipenzi cha wakina Gianni Infantino na wahuni wenzie.
Ilo ni kabati moja bado kuna kabati la zile aliyovaa panya Magawa zile za kuvaa shingoni,fa mchezo nini,,,!