mtoto wa maskini
JF-Expert Member
- Jun 28, 2013
- 1,152
- 637
Acha ubatili na kujilisha upepo.Mchezaji bora ni CR7,peeiod.Ni kweli Real Madrid walibeba kombe LA uefa na ni sawa Portugal walichukua ndoo ya euro lakini kiuwezo binafsi bado Lionel Messi kamuacha mbali CR 7 kiutendaji pale uwanjani wala haina ubishi
Kuna uwezekano jamaa atachukua zote mbiliza mwaka huu zimetengana na za fifa
hizi zimetolewa na jarida la michezo la ufaransa
hivyo za fifa zitagaiwa mwakani
ziliungana mwaka 2008 zimetengana tena
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Tupe vigezo vyako au andaa tuzo zako....hukuwaona EATV?
Ushindi wangempa Messi ningeandamana, C.Ronaldo amestahili kwa vigezo vyote. na wazoefu wa soka tulishatambua kabisa hapakuwa na hoja ya kuumiza kichwa.Acheni kumfananisha King Cr 7 na mambo ya kipumbavu.
Yeye ndio mchezaj bora.
Bora we ungeandamana mi ninge choma vyeti vyangu vyoote vya elimuUshindi wangempa Messi ningeandamana, C.Ronaldo amestahili kwa vigezo vyote. na wazoefu wa soka tulishatambua kabisa hapakuwa na hoja ya kuumiza kichwa.
Khaaa!! We jamaa umechanganyikiwa na cr 7 kuchukua tuzo ee.Kwani Huyo Mmoocco yeye hajakosa Penati?
Au akikosa KING dunia inashangaa
Mkuu inawezekana haupo sawa mpaka sasa, kweli Cr 7 kakuchanganya kuchukua tuzo.Kwa hyo tuzo zenu za EATV ndio unafananisha na za FIFA?
halafu unafikir Barcelona kuna mpumbav wa kufatilia mambo ya kijinga hadi kututolea mifano ya EATV
We hujui soka kaa pembeni.Hivi wewe unajua lolote kwenye ulimwengu wa Soka kweli? Au una comment tu ili na wewe usisahauliwe uonekane upo kwenye hii Dunia?
Unazifaham data za cr 7 za 2014 wewe!!?2014 ronaldo alitoka kapa makombe yote hakuchukua hata moja huku watu walichukua worldcup nk ila tuzo akachukua yy..usije shangaa
Wewe ungekua unajua Soccer usingemponda Messi wakati Dunia nzima inamtambua!We hujui soka kaa pembeni.
Kwasababu unajua kabisa kua huna vyeti vyovyote,comment zako zinathibitisha hilo.Bora we ungeandamana mi ninge choma vyeti vyangu vyoote vya elimu
Sasa nahesabu huu kama ni uchokozi. Kama topic huioni unata tusemane mimi na wewe hayo mambo staki.Kwasababu unajua kabisa kua huna vyeti vyovyote,comment zako zinathibitisha hilo.
Dunia nzima ipi, kwani mi niko wapi, hapa jf penywe si kila mtu ana mkubali messi.Wewe ungekua unajua Soccer usingemponda Messi wakati Dunia nzima inamtambua!
Ungekua unajua soccer usingeandika huu utumbo wako hapa,kwahiyo wewe unajua zaidi kuliko hao waliompigia kura? Acha ku comment kwa mihemko ya kitoto,halafu ukijibiwa unakuja kulia lia hapa!Haaa
Hao balon d or mbona maandazi hivi !! Messi kawaje wa pili Messi alitakiwa awe wa 4 baada ya Suarez na Griez
Ungekua unajua soccer usingeandika huu utumbo wako hapa,kwahiyo wewe unajua zaidi kuliko hao waliompigia kura? Acha ku comment kwa mihemko ya kitoto,halafu ukijibiwa unakuja kulia lia hapa!
Huna hoja ndio maana unatokwa povu hovyo, jibu hoja acha kulia lia na kuleta vikashfa vya kitoto hapa,siku nyingine jaribu kua makini zaidi.Nitolee upuuzi wako, nadhani unanitafutia ban kwa makusudi sasa.
Acha ushoga huo wa kufuatilia comments zangu nisha kwambia kila mtu aendelee na yake.
Usjifanye we mjuaji sana wa maneno ****** wewe.