Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Mtazamo wako uheshimiwe.Julian Alvarez amekuwa na wakati mzuri sana akiwa na Mancity pamoja na Argentina. Kwenye kombe la Dunia aliweza pachika goli 4 na kushinda Kombe la Dunia. Kama atashinda Uefa Alverez atakua na Advantage ya WC. Kura yangu nampa Alvarez, Haaland nje na Club hana mafanikio na Timu ya Taifa.
Lautaro Martinez licha ya kuwa na wakati mbaya kwenye Worldcup ila ana advantage ya kupewa tuzo kama atashinda Uefa Champions league. Ameisaidia sana Inter mpaka kutinga Final ya Uefa 2023, kama inter atachukua ubingwa bhas Martinez anastahili kupewa tuzo hii.
Alvarez au Martinez naona ni chaguo sahihi ya kupewa tuzo ya Ballon D’or 2023 na sio nje ya hapo.
Mkuu,
Lionel messi ndie pekee katika hao
waargentina wawili aliyekuwa na wasaa mzuri katika World Cup.
Huyo dogo Julian Alvarez alifanya vizuri World Cup lakini Messi ndiye aliyetamba zaidi.
Ukitoa Mechi dhidi ya Saudi Arabia mechi zilizobaki mpaka ya fainali Messi alikuwa Man of the Match.
Mwenye nafasi ya kuchukua hiyo tuzo ni Messi.
Hii balon door ya mwaka huu inamhusu debryune au halaand
Bado haimfanyi yeye kutwaa tuzo. Uwezo binafsi na umashuhuri wa mchezaji huwa unaamua!!Mimi ni Messi fan ila naona mtu kama alvarez ananafasi kubwa mpaka sasa ana Worldcup, ana EPL bado ananafasi ya kushinda Uefa na FA. Messi ana WC na Ligue 1.
Sema kulikua kuna WCHii balon door ya mwaka huu inamhusu debryune au halaand
Mkuu balloon d'or ni kwa ajili ya team ama individual player?Mimi ni Messi fan ila naona mtu kama alvarez ananafasi kubwa mpaka sasa ana Worldcup, ana EPL bado ananafasi ya kushinda Uefa na FA. Messi ana WC na Ligue 1.
Mpaka Sasa Nan anastahili kubeba mkuu?Messi akibeba ballon dor utakua utapeli katika soka.
Mbona ilo wazi kabisa ni ya Messi
Wampe halland tu asee
Sema Fifa hawana tofauti na Tifutifu yetu, hivyo tupende au tusipende watampa Messi wao japo hasitahili.Hii balon door ya mwaka huu inamhusu debryune au halaand
Sema Fifa hawana tofauti na Tifutifu yetu, hivyo tupende au tusipende watampa Messi wao japo hasitahili.