Ballon D’or ni kati ya Alvarez na Martineź

Ballon D’or ni kati ya Alvarez na Martineź

Kwanini hastaili??
Amefanya vizuri upande mmoja tu wakati kuna wengine wamefanya vema kwingi zaidi yake.

Hata mwaka juzi Messi alichukua ktk mazingira tatanishi nyakati ambazo Lewandowsk na Jorginho walikuwa wamefanya vizuri zaidi yake.

Hii tuzo itaanza kwenda kwa anayestahili kuanzia msimu ujao maana Cr7 na Messi hawatakuwepo Ulaya.
 
Mimi ni Messi fan ila naona mtu kama alvarez ananafasi kubwa mpaka sasa ana Worldcup, ana EPL bado ananafasi ya kushinda Uefa na FA. Messi ana WC na Ligue 1.

Yaani alvarez achukue ballon d or mbele ya halland[emoji28][emoji23] kisa tu ana world cup unaichukuliaje ballon dor, hio sio kama player of the month.
Halland anastahili kuchukua ballon d or huyo lautaro ndo kabisa mtoe hana hata chance hiyo . Ingekuwa kuchukua world cup ndo kigezo modric hasingekuwa na ballon dor tungempa varane[emoji38]
 
kama sio ni msimu ambao kuna World cup ndani yake.. tuzo kwa asilimia kubwa inaeza kwenda kwa mchezaji wa Man city hususani de bruyne..

ila kwa kuwa msimu ulikuwa na World cup.. tuzo kwa asilimia kubwa itambeba messi.

2006 beki fabio cannavaro alichukua tuzo kutokana na kuwa na msimu mzuri kwenye mashindano ya WC kwa kuiongoza Italy kuwa mabingwa.

Vipi kuhusu 2010 ? Sneijdner alichukua treble na inter ( uefa champion serie A , copa italia)world cup alikua top scorer na magoli yake mengi ndo yaliipeleka uholanzi final!! Lakini alipewa Messi aliyeishia robo fainali.
Mwaka huu halland amefanya vitu vingi, he deserves to be ballon d o r winner
 
Mwaka jana wakati benzema anakabidhiwa tuzo pale ufaransa wakatangaza kwamba tuzo zinazofuata zitabase sana kwenye WC , kwahiyo hata halaand angefunga magoal 150 msimu huu tuzo itabaki kwa mchezaji bora wa WC
 
Hata mimi naona kabisa Alvarez ndio anastahili kubeba kama atabeba UEFA. Kama watampa Messi basi itakua ni ukatili mwingine wa soka baada ya ule dhidi ya Sneijder. Kama mwaka jana Benzema alibeba kwasababu ya kubeba LaLiga na UCL basi hata mwaka huu Alvarez anaweza kubeba
 
Amefanya vizuri upande mmoja tu wakati kuna wengine wamefanya vema kwingi zaidi yake.

Hata mwaka juzi Messi alichukua ktk mazingira tatanishi nyakati ambazo Lewandowsk na Jorginho walikuwa wamefanya vizuri zaidi yake.

Hii tuzo itaanza kwenda kwa anayestahili kuanzia msimu ujao maana Cr7 na Messi hawatakuwepo Ulaya.

Mdomana nikasema Martinez na Alvarez wanastahili wamefanya vzr kote. Halaand na De bruyne WC itawaumbua.
 
Yaani alvarez achukue ballon d or mbele ya halland[emoji28][emoji23] kisa tu ana world cup unaichukuliaje ballon dor, hio sio kama player of the month.
Halland anastahili kuchukua ballon d or huyo lautaro ndo kabisa mtoe hana hata chance hiyo . Ingekuwa kuchukua world cup ndo kigezo modric hasingekuwa na ballon dor tungempa varane[emoji38]

Uzuri WC statistics mwakahuu zitaangaliwa sidhani kama Halland ananafasi tupo hapa.
 
Vipi kuhusu 2010 ? Sneijdner alichukua treble na inter ( uefa champion serie A , copa italia)world cup alikua top scorer na magoli yake mengi ndo yaliipeleka uholanzi final!! Lakini alipewa Messi aliyeishia robo fainali.
Mwaka huu halland amefanya vitu vingi, he deserves to be ballon d o r winner

WC itamwangusha trust me. Amefanya vzr ila yuko wakati mbaya sana, kumbuka WC ndo kila kitu achana na hzo UEFA
 
Hata mimi naona kabisa Alvarez ndio anastahili kubeba kama atabeba UEFA. Kama watampa Messi basi itakua ni ukatili mwingine wa soka baada ya ule dhidi ya Sneijder. Kama mwaka jana Benzema alibeba kwasababu ya kubeba LaLiga na UCL basi hata mwaka huu Alvarez anaweza kubeba

Hakukuwa na WC
 
Mtoa mada uko ndotoni yani Balon dor apewe lautaro au alvarez? Adidas na Nike ndio wanaamua izo tuzo nani apewe siyo Vikura vyenu mnavyopiga tuzo inaenda kwa messi amtoweza kuhamini ila ndio ivyo inaenda kwake..
 
Mtoa mada uko ndotoni yani Balon dor apewe lautaro au alvarez? Adidas na Nike ndio wanaamua izo tuzo nani apewe siyo Vikura vyenu mnavyopiga tuzo inaenda kwa messi amtoweza kuhamini ila ndio ivyo inaenda kwake..

Messi ana nafasi coz ana WC na Ligue 1 ila naona kama city atashinda UEFA, FA atakua na Vikombe 4. Alvarez ananafasi
 
Sema mchawi ni WC tu ila hio tuzo msimu huu ilipendezea sana ielekezwe kwa mwamba mwenyewe kabisa Kelvin De bruyne.
newFile.jpg
 
Back
Top Bottom