K11
JF-Expert Member
- Oct 15, 2014
- 3,447
- 11,274
Amefanya vizuri upande mmoja tu wakati kuna wengine wamefanya vema kwingi zaidi yake.Kwanini hastaili??
Hata mwaka juzi Messi alichukua ktk mazingira tatanishi nyakati ambazo Lewandowsk na Jorginho walikuwa wamefanya vizuri zaidi yake.
Hii tuzo itaanza kwenda kwa anayestahili kuanzia msimu ujao maana Cr7 na Messi hawatakuwepo Ulaya.