Baloteli asema msimfananishe tena Messi na mchezaji namba 7 wa Juve

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Wakati mtanange wa Jana wa Barcelona na Liverpool ukiendelea huku Messi aking'aa mchezaji mtukuku Maria Baloteli kupitia Instagram alipost alisema " kwa mapenzi ya Mungu naomba msimfananishe tena Messi na yule mchezaji namba 7 wa juvestus".
 

Ngozi nyeusi tuna matatizo sana, ni umbea umbea na majungu kwa sana.
Ngozi nyeusi unajidharau wewe huo ni udhaifu wako,angesema ngozi nyeupe ungekata hadi mauno hata kama si point
 
Mm sio shabiki wa messi ila goli la pili na ile free kick it was an attempt to kill. Beki bora alibaki ameshika kiuno pumbavu sana messi. Sasa sijui tunaweza kuwapiga Barcelona 4 bila pale anflied?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…