umeona eh?Hapo napo pana neno! You are absolutely right!
Aende kwenye chama ambacho tayari kina mtaji bahati nzuri CHADEMA wanamgombea mwanamama Muheza hivyo ni rahisi kufanya conciliation mama akabaki kwenye viti maalumu ambako alishinda pia.Sijui ACT Muheza ikoje, ila CDM I guess could be the right choice. Lakini vyovyote, anabebwa na Jina lake na wala siyo chama! Hivyo popote atakapo kwenda atapita kwenye lami to Mjengoni!
Kwahiyo mnataka kurudia makosa ya akina Dr Mollel na Cecil Mwambe?!Simdharau, ushawishi wake hauingii kwa Adadi kama kutaka kiti kiende upinzani asubuhi na mapema! Muheza na Adad ni kama wewe na Jiwe. kama usivyoambiwa chochote kuhusu Jiwe na Muheza hivyo hivyo kwa Adad
Yupo Yosepher KombaKwani Chadema hamna mgombea hapo Muheza?
Hapana, hakuna anyemchuuza. Adadi ni Muheza na Muheza ni Adadi! Ubunge wake uko pale pale! Achana na mambo ya vyeo alivypata, mbona aliviacha akja kugombea Ubunge? Muheza siyoWadigo, wadigo ni Tanga!Msimchuuze mwenzenu Tanga upinzani bado. Pia Adadi ameshika nyadhifa nyingi nyeti pamoja na ubalozi kwa hiyo kwa vyovyote atapatiwa nafasinyingine mda wowote,hata Kama atakuwa hajapatiwa nafasi nyingine yoyote bado anayo Hela ya mboga ataishi vizuri tu ,uzuri sisi watu watanga hasa Wadigo huwa hatuna Tamamaa chidide Ni chehuuu' yaani kidogo Ni cheti.
Aje, aachangie chama miaka 5, akiondoka basi! who cares! Chama ni watu, hii ni train wanapanda wanashuka ili mradi dereva awe mwaminifu chombo kisiende mrama. ....Dereva ni Mbowe/Lisu/ Lema/Mnyika/ Kigaila/Mdee etc etc etc (na wengine wafia chama, kufa na kuzika yupo! Nafasi hizo haruhusiwi mtu! DEREVA!Kwahiyo mnataka kurudia makosa ya akina Dr Mollel na Cecil Mwambe?!
ACT imepata wapi nguvu Muheza?Tunataka kiti kiende upinzani kwa vile Adad ana ushawishi mkubwa usivyotegemea! najua huji Muheza iko wapi in terms of Adad command! Chadema itakuwa kubahatisha maana haina nguvu sana ki hivyo!
Sioni sababu ya kumkataa mtu! akija, anachangia chama, akiondoka basi!Chama ni wanachama
2015 chadema walisimamisha Mgombea pia.Tunataka kiti kiende upinzani kwa vile Adad ana ushawishi mkubwa usivyotegemea! najua huji Muheza iko wapi in terms of Adad command! CDM itakuwa kubahatisha maana haina nguvu sana ki hivyo!
Huo ndio upuuzi wa vyama vya upinzani, hawa wanaokuja kipindi hiki baada ya kukatwa huwa ni ulafi tu wa madaraka, akishapata muda ukifika tayari anarudi tena huko, waacheni tu wafia vyama, kuliko kuchukua hayo makapi, kumpa huyo nafasi agombee kwake ni faida sana ila kwa chama faida ni ndogo. Na hata mkimpokea akashindwa utasikia anarudi tena huko alikotoka, si upuuzi huo!!Muheza wako na wewe, ushawishi wako Muheza hauna mashaka. Kila mmoja hilo analijua! Tafuta chama kati ya CHADEMA au ACT ujinyakulie ubunge kiulaini!
Adadi anabebwa na jina lake, si chama! Chama ni vehicle of movement...siyo chama! Muheza na Adadi hutenganishi.ACT imepata wapi nguvu Muheza ?
Mbona lijuwakali hamshauriBalozi Adadi, wananchi wa muheza wanakupenda,wanakujali,unawapenda. Tutakao kupigia Kura ni sisi wananchi wa muheza na sio CCM.utatuongoza sisi wa muheza na sio CCM.chukua fomu ya chama chochote sisi na wewe,wewe na sisi.
Uko sahihi! Lakini chama ni watu. acha aje achangie chama mika 5, ikiisha akiondoka, let him go! who cares? Kama alivyosema Mbowe, chama ni watu! Train wanapanda na kushuka.Huo ndio upuuzi wa vyama vya upinzani, hawa wanaokuja kipindi hiki baada ya kukatwa huwa ni ulafi tu wa madaraka, akishapata muda ukifika tayari anarudi tena huko, waacheni tu wafia vyama, kuliko kuchukua hayo makapi, kumpa huyo nafasi agombee kwake ni faida sana ila kwa chama faida ni ndogo. Na hata mkimpokea akashindwa utasikia anarudi tena huko alikotoka, si upuuzi huo!!
Alipata kura 2... hana ushawishi! adad ana ushawishi mkubwaMbona lijuwakali hamshauri
Ukweli ule ndio umewasababisha kumkata. Yaani uhusika wa jiwe na ccm katika shambulio LA Lissu uko wazi kutokana na wanavyo shughulikiwa wale wote walio onyesha kuchukizwa na tukio lile.Nafasi ya pili... margin ya kura ilikuwa kubwa... Adad 567 Vs 260???? (kitu kama hicho). Wakati Lisu alipopigwa risasi, alikemea sana bungeni kuonyesha kutopenda kupigwa risasi na ripoti yake haikufanyiwa kazi baada ya kunyofoa. Jiwe hakupenda!
Kweli kabisa. Mama Salma hagombei kwa vile ana njaa au kutafuta kinga maana vyote anavyo, kinga na ukwasiYou have a point! But, Siasa ni hoby, kuwa Mjengoni ni hobby... si njaa maana Adadi hana njaa! Ana vicosta kama 10 pale Muheza! Vijumba kama 5 pale muheza etc!
2015 Adadi alipata ushindani mkali kutoka Chadema, ilibidi atumie nguvu ya ziada kupunguza makali ya Chadema ilipelekea mgombea kujitoa dakika za mwisho.Hapana, hakuna anyemchuuza. Adadi ni Muheza na Muheza ni Adadi! Ubunge wake uko pale pale! Achana na mambo ya vyeo alivypata, mbona aliviacha akja kugombea Ubunge? Muheza siyoWadigo, wadigo ni Tanga!..