Uchaguzi 2020 Balozi Adadi Rajabu tafuta chama (CHADEMA au ACT Wazalendo) uendelee na ubunge wako

Uchaguzi 2020 Balozi Adadi Rajabu tafuta chama (CHADEMA au ACT Wazalendo) uendelee na ubunge wako

2015 Adadi alipata ushindani mkali kutoka Chadema, ilibidi atumie nguvu ya ziada kupunguza makali ya Chadema ilipelekea mgombea kujitoa dakika za mwisho.
Ok, nilikuwa sijui. Basi kijan wa Chadema acha akae! Nilidhani CDM Muheza haina nguvu kihivyo!
 
Kilichomponza Adadi Rajabu ni ule ukweli aliouleza Bungeni kuhusu namna Polisi wanatakiwa kukamata mtuhumiwa! Duh Kuna watu wana visasi sana aiseee
Uko sahihi, pia na ripoti ya Lisu kuigwa risasi! iliibana serikali kufanya jambo.... Jiwe hakutaka kitu hicho
 
Tunataka kiti kiende upinzani kwa vile Adad ana ushawishi mkubwa usivyotegemea! najua huji Muheza iko wapi in terms of Adad command! CDM itakuwa kubahatisha maana haina nguvu sana ki hivyo!
Watu hata siasa hamjui CHADEMA ishatoa wagombea kote mwezi sasa
 
Muheza wako na wewe, ushawishi wako Muheza hauna mashaka. Kila mmoja hilo analijua! Tafuta chama kati ya CHADEMA au ACT ujinyakulie ubunge kiulaini!
Halaf Magufuli ana chuki kubwa sana na Adadi Rajabu sijui kwanini
 
Kaka Adadi kama mtu mbobezi wa vyombo vya ulinzi na usalama, tuliza roho yako ushukuru Mungu tu. Jamaa ni mtu wa visasi unamjuwa vizuri japo kuna chance kubwa mara hii hatoki kwenye kinywa cha mamba.

Itakuwa wanakufuatilia mwenendo wako kwa karibu sana. Pumzika uwe na amani na hata ujidai kuwapigia debe pia. Mambo yako yatakwenda na pengine utatupwa ubalozini wakupoteze kwenye ramani. Dhulma uliikemea kwa mdomo na sote tunajuwa. Kwa sasa tunajuwa unaikemea kwa moyo wako wote. Good luck!
 
Muheza wako na wewe, ushawishi wako Muheza hauna mashaka. Kila mmoja hilo analijua! Tafuta chama kati ya CHADEMA au ACT ujinyakulie ubunge kiulaini!

Ifike wakati upinzani ukomae kiasi kuwa ikatae kuchukua watu kisa wamekataliwa CCM. Sera na utashi binafsi ndiyo uwalete watu kwenye chama na hao ndiyo watu wa kuwapa dhamana ya kukiwakilisha chama.

Adadi si ndiyo kwa miaka mingi alikuwa Balozi wetu Zimbabwe? Kutokana na background yake, kuna uwezekano alihusika sana ktika mafunzo, mipango na harakati za Mugabe kupambana na wapinzani. Kwa maana hiyo, anaweza kuwa bado ni mtumishi!

Hiki siyo kipindi cha kupokea watu kama hao.
 
Nafasi ya pili... margin ya kura ilikuwa kubwa... Adad 567 Vs 260???? (kitu kama hicho). Wakati Lisu alipopigwa risasi, alikemea sana bungeni kuonyesha kutopenda kupigwa risasi na ripoti yake haikufanyiwa kazi baada ya kunyofoa. Jiwe hakupenda!
Ishu sio hiyo ripoti ya lisu wala magufuli hana chuki na jamaa personal, tatizo jamaa katembeza sana mlungula kwenye kura za maoni mpka kupata hizo kura nawadau wa wengi jimboni hawamkubali jamaa wanasema hana ishu wala ukaribu na wapiga kura wake.

Na kuachwa wameachwa wengi tuu sio ishu yeye kuwekwa pembeni.
 
Sijui ACT Muheza ikoje, ila Chadema I guess could be the right choice. Lakini vyovyote, anabebwa na Jina lake na wala siyo chama! Hivyo popote atakapo kwenda atapita kwenye lami to Mjengoni!
Chadema walishapitisha majina ya wagombea kwahiyo hawafanyi usajili wa wagombea xaiv akajiunge na chauma
 
Back
Top Bottom