Hakainde
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 2,401
- 2,872
katolewa kwa sababu gani,Hamis alikuwa nafasi ya ngapi?
Ripoti yake Bungeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
katolewa kwa sababu gani,Hamis alikuwa nafasi ya ngapi?
CHADEMA VYUMBA VIMEJAAMuheza wako na wewe, ushawishi wako Muheza hauna mashaka. Kila mmoja hilo analijua! Tafuta chama kati ya CHADEMA au ACT ujinyakulie ubunge kiulaini!
CHADEMA washatoa majina ya wagombea wao nchi nzimaSijui ACT Muheza ikoje, ila CDM I guess could be the right choice. Lakini vyovyote, anabebwa na Jina lake na wala siyo chama! Hivyo popote atakapo kwenda atapita kwenye lami to Mjengoni!
Ok, nilikuwa sijui. Basi kijan wa Chadema acha akae! Nilidhani CDM Muheza haina nguvu kihivyo!2015 Adadi alipata ushindani mkali kutoka Chadema, ilibidi atumie nguvu ya ziada kupunguza makali ya Chadema ilipelekea mgombea kujitoa dakika za mwisho.
Adad akienda chama chochote atapita! Anabebwa na jina lake! si chamaCHADEMA washatoa majina ya wagombea wao nchi nzima
Uko sahihi, pia na ripoti ya Lisu kuigwa risasi! iliibana serikali kufanya jambo.... Jiwe hakutaka kitu hichoKilichomponza Adadi Rajabu ni ule ukweli aliouleza Bungeni kuhusu namna Polisi wanatakiwa kukamata mtuhumiwa! Duh Kuna watu wana visasi sana aiseee
Watu hata siasa hamjui CHADEMA ishatoa wagombea kote mwezi sasaTunataka kiti kiende upinzani kwa vile Adad ana ushawishi mkubwa usivyotegemea! najua huji Muheza iko wapi in terms of Adad command! CDM itakuwa kubahatisha maana haina nguvu sana ki hivyo!
Wenye pesa ya kula wengi Muheza hawana mpango na CCM, kule ambako CCM imeshamiri ni kule ambako umasikini umeshamiri na katibu wa CCM ndiye boss kijijini. Wengi huku hata vichinjio hawana.Ok, nilikuwa sijui. Basi kijan wa Chadema acha akae! Nilidhani CDM Muheza haina nguvu kihivyo!
Tunajua, si tunabadilisha gia ngani kupata jimbo kiulaini!Watu hata siasa hamjui CHADEMA ishatoa wagombea kote mwezi sasa
Kabarishe kigamboniTunajua, si tunabadilisha gia ngani kupata jimbo kiulaini!
umenena! Naijua Muheza fika!Wenye pesa ya kula wengi Muheza hawana mpango na CCM, kule ambako CCM imeshamiri ni kule ambako umasikini umeshamiri na katibu wa CCM ndiye boss kijijini. Wengi huku hata vichinjio hawana.
Ndungulile si rahisi kumbadilisha, pale ni kwake! Lkn lazima apate ushindani!Kabarishe kigamboni
Alikuwa mwkt wa tume ya kuchunguza tukio la lisu akapigwa stopkatolewa kwa sababu gani,Hamis alikuwa nafasi ya ngapi?
Halaf Magufuli ana chuki kubwa sana na Adadi Rajabu sijui kwaniniMuheza wako na wewe, ushawishi wako Muheza hauna mashaka. Kila mmoja hilo analijua! Tafuta chama kati ya CHADEMA au ACT ujinyakulie ubunge kiulaini!
Muheza wako na wewe, ushawishi wako Muheza hauna mashaka. Kila mmoja hilo analijua! Tafuta chama kati ya CHADEMA au ACT ujinyakulie ubunge kiulaini!
Ishu sio hiyo ripoti ya lisu wala magufuli hana chuki na jamaa personal, tatizo jamaa katembeza sana mlungula kwenye kura za maoni mpka kupata hizo kura nawadau wa wengi jimboni hawamkubali jamaa wanasema hana ishu wala ukaribu na wapiga kura wake.Nafasi ya pili... margin ya kura ilikuwa kubwa... Adad 567 Vs 260???? (kitu kama hicho). Wakati Lisu alipopigwa risasi, alikemea sana bungeni kuonyesha kutopenda kupigwa risasi na ripoti yake haikufanyiwa kazi baada ya kunyofoa. Jiwe hakupenda!
Chadema walishapitisha majina ya wagombea kwahiyo hawafanyi usajili wa wagombea xaiv akajiunge na chaumaSijui ACT Muheza ikoje, ila Chadema I guess could be the right choice. Lakini vyovyote, anabebwa na Jina lake na wala siyo chama! Hivyo popote atakapo kwenda atapita kwenye lami to Mjengoni!
Duuh, hizi chuki ni za kuwekwa wazi na wahusika. wako watu wanaonewa kibabeAlikuwa mwkt wa tume ya kuchunguza tukio la lisu akapigwa stop