unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,503
- 2,865
Nafasi ya pili... margin ya kura ilikuwa kubwa... Adad 567 Vs 260???? (kitu kama hicho). Wakati Lisu alipopigwa risasi, alikemea sana bungeni kuonyesha kutopenda kupigwa risasi na ripoti yake haikufanyiwa kazi baada ya kunyofoa. Jiwe hakupenda!
Tunataka kiti kiende upinzani kwa vile Adad ana ushawishi mkubwa usivyotegemea! najua huji Muheza iko wapi in terms of Adad command! CDM itakuwa kubahatisha maana haina nguvu sana ki hivyo!
Chauma ni below his dignity! Lakini Adad anabebwa na jina lake na siyo chama! hata Chauma atapita maana wapiga kura wanamwangalia Adad na si chamaChadema walishapitisha majina ya wagombea kwahiyo hawafanyi usajili wa wagombea xaiv akajiunge na chauma
CHADEMA muheza wana nguvu sana tu pamoja na ushawishi wa Adadi Rajabu lakini wananguvu Kubwa akihamia CHADEMA anaweza akashinda kwa kura nyingi sana.2015 Adadi alipata ushindani mkali kutoka Chadema, ilibidi atumie nguvu ya ziada kupunguza makali ya Chadema ilipelekea mgombea kujitoa dakika za mwisho.
iTAKUWA AIBU YA KARNE, NDIYO MAANA HATAFANYA HIVYO KWA SABABU ADADI NI MUELEWA NA ANAJUA KWA NGAZI YA UTUMISHI ALIYOWAHI KUFIKA KWAKE TANZANIA NI ZAIDI YA SIASAAdadi kwa ajili tu ya Ubunge haimfai kuhama chama, Balozi mzima, DCI mstaafu kuhangaika kisa Ubunge haipendezi
Da! kuna harufu kali ya ushetani kutamalaki tanzania yetu!Nafasi ya pili... margin ya kura ilikuwa kubwa... Adad 567 Vs 260???? (kitu kama hicho). Wakati Lisu alipopigwa risasi, alikemea sana bungeni kuonyesha kutopenda kupigwa risasi na ripoti yake haikufanyiwa kazi baada ya kunyofoa. Jiwe hakupenda!
Muheza wako na wewe, ushawishi wako Muheza hauna mashaka. Kila mmoja hilo analijua! Tafuta chama kati ya CHADEMA au ACT ujinyakulie ubunge kiulaini!
Je Chadema watamuamni Adamu?CHADEMA muheza wana nguvu sana tu pamoja na ushawishi wa Adadi Rajabu lakini wananguvu Kubwa akihamia CHADEMA anaweza akashinda kwa kura nyingi sana.
Sema shida hawa ccm hawaaminiki hawa tumwache Yosepher Komba akawapaganie wanamuheza.
Gambo je? CCM wote walitembeza rushwa ya ajabu! why only Adad then? Unaijua Muheza? Mzee Meta unamfahamu? R Meta unifahamu?Ishu sio hiyo ripoti ya lisu wala magufuli hana chuki na jamaa personal, tatizo jamaa katembeza sana mlungula kwenye kura za maoni mpka kupata hizo kura nawadau wa wengi jimboni hawamkubali jamaa wanasema hana ishu wala ukaribu na wapiga kura wake. Na kuachwa wameachwa wengi tuu sio ishu yeye kuwekwa pembeni.
Lucy Mageleri atampa ushindani hata 2015 alishinda kwa martin ya 56%Ndungulile si rahisi kumbadilisha, pale ni kwake! Lkn lazima apate ushindani!
yupo, lkn, to me ( and not CDM), Adad ana jina kubwa zaidi! Kushinda ni mapema mno kuliko wa CDM!Kumbe chadomo haina mgombea Muheza?
Mimi mwenyewe sitaki kumwamini Adadi Rajabu sema akiamua kuunga mkono upinzani mwanafa hatashinda.Je Chadema watamuamni Adamu?
Adadi ni mpinzani?
Basi ajiunge na mpigwa risasi mtu wa MunguNafasi ya pili... margin ya kura ilikuwa kubwa... Adad 567 Vs 260???? (kitu kama hicho). Wakati Lisu alipopigwa risasi, alikemea sana bungeni kuonyesha kutopenda kupigwa risasi na ripoti yake haikufanyiwa kazi baada ya kunyofoa. Jiwe hakupenda!
Yupo Yosepher Komba,sema jingine.Kumbe chadomo haina mgombea Muheza?
Kingine ni Intelijensia, DCI kwa miaka mingi, kuna ushauri mbalimbali anaweza kusaidia chama atakachoenda, oia contacts mbalimbali.Sijui ACT Muheza ikoje, ila CDM I guess could be the right choice. Lakini vyovyote, anabebwa na Jina lake na wala siyo chama! Hivyo popote atakapo kwenda atapita kwenye lami to Mjengoni!
Chadema wamesha wapitisha wagombea ubungeMuheza wako na wewe, ushawishi wako Muheza hauna mashaka. Kila mmoja hilo analijua! Tafuta chama kati ya CHADEMA au ACT Wazalendo ujinyakulie ubunge kiulaini!
Tanga kule upinzani kushinda ni ngumu. Wadigo wale hawana upeo wa kupiga kura nje ya CCM. Adadi kama atafanya hivyo basi itabidi afanye kazi kubwa sana.Muheza wako na wewe, ushawishi wako Muheza hauna mashaka. Kila mmoja hilo analijua! Tafuta chama kati ya CHADEMA au ACT Wazalendo ujinyakulie ubunge kiulaini!