chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Balozi Ami Mpungwe ni moja ya makuwadi maarufu wa soko huria akianza awamu ya Mwinyi, Mkapa, Kikwete. Ni mtu ambaye anajihisi ana ukubwa wa tembo, na kuna watu wenye akili kama zake wanamuona gwiji.
Alianza kufanya ukuwadi wa Tanzanite yetu wakati akiwa balozi wa Tanzania Afrika Kusini. Baadae akaingia kwenye ukuwadi wa viwanda vya sukari.
Aliingizwa katika Bodi kadhaa za kampuni ili awe anapenya penya kwenye korido za watawala kwa kuwa huwa anawaahidi kwamba yeye anajuana na watu, hivyo mambo hayatakwama.
Juzi nimemuona katika sakata la sukari, hakika kuwadi amechoka haswa, kimwili ana mvi mpaka kwenye kope, hoja zake zimechakaa.
Hakuna lenye mwanzo lisilo ncha
Alianza kufanya ukuwadi wa Tanzanite yetu wakati akiwa balozi wa Tanzania Afrika Kusini. Baadae akaingia kwenye ukuwadi wa viwanda vya sukari.
Aliingizwa katika Bodi kadhaa za kampuni ili awe anapenya penya kwenye korido za watawala kwa kuwa huwa anawaahidi kwamba yeye anajuana na watu, hivyo mambo hayatakwama.
Juzi nimemuona katika sakata la sukari, hakika kuwadi amechoka haswa, kimwili ana mvi mpaka kwenye kope, hoja zake zimechakaa.
Hakuna lenye mwanzo lisilo ncha