Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🔨🔨🔨Upumbavu wako unazidi kujidhihirisha kila uchao, you asss hole...
Kumbe ww ni mvaaa pedi ndio maaana hoja zako za hovyo kweliRoho mbaya tuu ya Wanaume kama mnavyomfanyia fitina Samia Kwa sasa.
Unapiga kampeni za kimya kimya.... Mimi niko kanda ya ziwa, Mwanza.... Ndio kwanza huyo mama ninamskia leo, unasema alimuangusha chuma cha Chato kivipi wakati hata Tanzania Bara hajulikani, huku Mwanza ndio kabisaa... Labda akapigiwe kura Zanzibar, huko ndio wanawake upatia kuraHuyu alimgaragaza Mzilankende kutoka Chato Hadi ikapidi Wakuu wa Kitengo wapindue Meza 🤣🤣🤣
Sio mwingine Bali ni Balozi Amina Salum Ally ,Wana ccm na Wazalendo wa Chato wanamuelewa sana huyu Kwa kile alichomfanyia Mzilankende.
====
View attachment 2763764
ZANZIBAR; MWANASIASA mkongwe visiwani Zanzibar, Balozi Amina Salum Ali amesema hana mpango wa kuendelea kutia nia ya kugombea urais kwani Rais Samia Suluhu Hassan anatosha.
-
Mwanasiasa huyo aliyezaliwa Unguja Oktoba 24, 1957, alichukua fomu ya urais wa Zanzibar mwaka 2000 na mwaka 2015 fomu za kuomba kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
-
Balozi Amina anasema aliomba kugombea urais ili kuvunja mfumo wa kuwa na marais wa jinsi moja.
-
“Mimi niligombea urais wa Zanzibar, akateuliwa Karume (Amani Abeid). Michakato yote ilikuwa migumu,” anasema Balozi Amina.
-
Aliongeza: “Sigombei tena, sasa yupo mama (Rais Samia Suluhu Hassan). Anafanya kazi vizuri. Tunamuunga mkono. Tunasifu kazi yake inaonekana,” alisema wakati anazungumza katika mahojiano maalumu na waandishi wa magazeti ya HabariLEO na Daily News yaliyofanyika nyumbani kwake Mbweni, Unguja.
-
Utajua wapi wewe kwani wewe ni mnec?Unapiga kampeni za kimya kimya.... Mimi niko kanda ya ziwa, Mwanza.... Ndio kwanza huyo mama ninamskia leo, unasema alimuangusha chuma cha Chato kivipi wakati hata Tanzania Bara hajulikani, huku Mwanza ndio kabisaa... Labda akapigiwe kura Zanzibar, huko ndio wanawake upatia kura
Kuimba taarabu au kuongoza nchi ambako alimshinda mzilakende, mbona sioni yaliyomo?Huyu alimgaragaza Mzilankende kutoka Chato Hadi ikapidi Wakuu wa Kitengo wapindue Meza 🤣🤣🤣
Sio mwingine Bali ni Balozi Amina Salum Ally ,Wana ccm na Wazalendo wa Chato wanamuelewa sana huyu Kwa kile alichomfanyia Mzilankende.
====
View attachment 2763764
ZANZIBAR; MWANASIASA mkongwe visiwani Zanzibar, Balozi Amina Salum Ali amesema hana mpango wa kuendelea kutia nia ya kugombea urais kwani Rais Samia Suluhu Hassan anatosha.
-
Mwanasiasa huyo aliyezaliwa Unguja Oktoba 24, 1957, alichukua fomu ya urais wa Zanzibar mwaka 2000 na mwaka 2015 fomu za kuomba kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
-
Balozi Amina anasema aliomba kugombea urais ili kuvunja mfumo wa kuwa na marais wa jinsi moja.
-
“Mimi niligombea urais wa Zanzibar, akateuliwa Karume (Amani Abeid). Michakato yote ilikuwa migumu,” anasema Balozi Amina.
-
Aliongeza: “Sigombei tena, sasa yupo mama (Rais Samia Suluhu Hassan). Anafanya kazi vizuri. Tunamuunga mkono. Tunasifu kazi yake inaonekana,” alisema wakati anazungumza katika mahojiano maalumu na waandishi wa magazeti ya HabariLEO na Daily News yaliyofanyika nyumbani kwake Mbweni, Unguja.
-
Huoni au hutaki kuona? 🤣🤣Kuimba taarabu au kuongoza nchi ambako alimshinda mzilakende, mbona sioni yaliyomo?
Huyo shosti yako... Hajulikani bwana, usianze kumpa umaarufu wa kijinga...Utajua wapi wewe kwani wewe ni mnec?
Hajulikani na nani?Huyo shosti yako... Hajulikani bwana, usianze kumpa umaarufu wa kijinga...
Uacha kuwasingizia watu mamba yasiyokweli.Huoni au hutaki kuona? 🤣🤣
Na wananchi... Hata hapo mtaani kwenu hakuna anayemfahamu, kapige naye promo tu huko kwenu... Ila husimlinganishe na chuma cha Chato, huyo akigombea urais labda agombee uraisi wa ZanzibarHajulikani na nani?
Haleluya.Masikini wewe
Kulamba assli raha.Kwa nini unisemee? Hakuna mtu nsemkubali Kwa Sasa huko ccm kushinda Samia na mkimbadikisha mtaona nyuzi zangu za kupinga Mwanzo mwisho kama nilivyofanya Kwa Mwendazake.
Asali ipi nayolamba? Labda ya jasho langu kaziniKulamba assli raha.
Nyerere alishatusimulia watu aina yako. Mnamuona anafaa kwa sababu anawafaa nyie
Wadanganye watu wa jimbo unalotoka na siyo sisi raia pacha wa CubaAsali ipi nayolamba? Labda ya jasho langu kazini
Amina Salum Alli Hakuwa na uwezo hata wa kuingi 5 Bora. Aliwekwa kama msindikizaji ili Magufuli aliyeletwa kuziba Ufa wa mgawanyiko wa kambi ya Membe na ya Lowasa aweze kupita kirahisi. Wafuasi wa Lowasa walipogindua njama hiyo wakaamua kumwaga ugali Kwa kumpigia Kura Amina Salum Alli.Huyu alimgaragaza Mzilankende kutoka Chato Hadi ikapidi Wakuu wa Kitengo wapindue Meza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio mwingine Bali ni Balozi Amina Salum Ally ,Wana ccm na Wazalendo wa Chato wanamuelewa sana huyu Kwa kile alichomfanyia Mzilankende.
====
View attachment 2763764
ZANZIBAR; MWANASIASA mkongwe visiwani Zanzibar, Balozi Amina Salum Ali amesema hana mpango wa kuendelea kutia nia ya kugombea urais kwani Rais Samia Suluhu Hassan anatosha.
-
Mwanasiasa huyo aliyezaliwa Unguja Oktoba 24, 1957, alichukua fomu ya urais wa Zanzibar mwaka 2000 na mwaka 2015 fomu za kuomba kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
-
Balozi Amina anasema aliomba kugombea urais ili kuvunja mfumo wa kuwa na marais wa jinsi moja.
-
“Mimi niligombea urais wa Zanzibar, akateuliwa Karume (Amani Abeid). Michakato yote ilikuwa migumu,” anasema Balozi Amina.
-
Aliongeza: “Sigombei tena, sasa yupo mama (Rais Samia Suluhu Hassan). Anafanya kazi vizuri. Tunamuunga mkono. Tunasifu kazi yake inaonekana,” alisema wakati anazungumza katika mahojiano maalumu na waandishi wa magazeti ya HabariLEO na Daily News yaliyofanyika nyumbani kwake Mbweni, Unguja.
-
She is good!. Nilizungumza nae hapo juzi katiZANZIBAR; MWANASIASA mkongwe visiwani Zanzibar, Balozi Amina Salum Ali amesema hana mpango wa kuendelea kutia nia ya kugombea urais kwani Rais Samia Suluhu Hassan anatosha.
-
Mwanasiasa huyo aliyezaliwa Unguja Oktoba 24, 1957, alichukua fomu ya urais wa Zanzibar mwaka 2000 na mwaka 2015 fomu za kuomba kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
-
Balozi Amina anasema aliomba kugombea urais ili kuvunja mfumo wa kuwa na marais wa jinsi moja.
-
“Mimi niligombea urais wa Zanzibar, akateuliwa Karume (Amani Abeid). Michakato yote ilikuwa migumu,” anasema Balozi Amina.
-
Aliongeza: “Sigombei tena, sasa yupo mama (Rais Samia Suluhu Hassan). Anafanya kazi vizuri. Tunamuunga mkono. Tunasifu kazi yake inaonekana,” alisema wakati anazungumza katika mahojiano maalumu na waandishi wa magazeti ya HabariLEO na Daily News yaliyofanyika nyumbani kwake Mbweni, Unguja.
-
Na wewe acha uwongo,alimshinda Magufuli kwa influence na power gani alivyokuwa nayo kwenye siasa za nchi hii?Huyu alimgaragaza Mzilankende kutoka Chato Hadi ikapidi Wakuu wa Kitengo wapindue Meza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio mwingine Bali ni Balozi Amina Salum Ally ,Wana ccm na Wazalendo wa Chato wanamuelewa sana huyu Kwa kile alichomfanyia Mzilankende.
====
View attachment 2763764
ZANZIBAR; MWANASIASA mkongwe visiwani Zanzibar, Balozi Amina Salum Ali amesema hana mpango wa kuendelea kutia nia ya kugombea urais kwani Rais Samia Suluhu Hassan anatosha.
-
Mwanasiasa huyo aliyezaliwa Unguja Oktoba 24, 1957, alichukua fomu ya urais wa Zanzibar mwaka 2000 na mwaka 2015 fomu za kuomba kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
-
Balozi Amina anasema aliomba kugombea urais ili kuvunja mfumo wa kuwa na marais wa jinsi moja.
-
“Mimi niligombea urais wa Zanzibar, akateuliwa Karume (Amani Abeid). Michakato yote ilikuwa migumu,” anasema Balozi Amina.
-
Aliongeza: “Sigombei tena, sasa yupo mama (Rais Samia Suluhu Hassan). Anafanya kazi vizuri. Tunamuunga mkono. Tunasifu kazi yake inaonekana,” alisema wakati anazungumza katika mahojiano maalumu na waandishi wa magazeti ya HabariLEO na Daily News yaliyofanyika nyumbani kwake Mbweni, Unguja.
-