Balozi Amina Salum Ali amesema hana mpango wa kuendelea kutia nia ya kugombea urais kwani Rais Samia Suluhu Hassan anatosha

Balozi Amina Salum Ali amesema hana mpango wa kuendelea kutia nia ya kugombea urais kwani Rais Samia Suluhu Hassan anatosha

Nikajua hoja ya maana kumbe nae ni mlamba asali tu basi anatosha kwake yye na bwana wake na vitoto vyake mie kwangu simuoni kma anavuomuona yye ila huo ni mtazamo wake na WAZO LA MTU HALIPIGWI RUNGU
 
Huyu alimgaragaza Mzilankende kutoka Chato Hadi ikapidi Wakuu wa Kitengo wapindue Meza 🤣🤣🤣

Sio mwingine Bali ni Balozi Amina Salum Ally ,Wana ccm na Wazalendo wa Chato wanamuelewa sana huyu Kwa kile alichomfanyia Mzilankende.

====
View attachment 2763764
ZANZIBAR; MWANASIASA mkongwe visiwani Zanzibar, Balozi Amina Salum Ali amesema hana mpango wa kuendelea kutia nia ya kugombea urais kwani Rais Samia Suluhu Hassan anatosha.
-
Mwanasiasa huyo aliyezaliwa Unguja Oktoba 24, 1957, alichukua fomu ya urais wa Zanzibar mwaka 2000 na mwaka 2015 fomu za kuomba kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
-
Balozi Amina anasema aliomba kugombea urais ili kuvunja mfumo wa kuwa na marais wa jinsi moja.
-
“Mimi niligombea urais wa Zanzibar, akateuliwa Karume (Amani Abeid). Michakato yote ilikuwa migumu,” anasema Balozi Amina.
-
Aliongeza: “Sigombei tena, sasa yupo mama (Rais Samia Suluhu Hassan). Anafanya kazi vizuri. Tunamuunga mkono. Tunasifu kazi yake inaonekana,” alisema wakati anazungumza katika mahojiano maalumu na waandishi wa magazeti ya HabariLEO na Daily News yaliyofanyika nyumbani kwake Mbweni, Unguja.
-
Unapiga kampeni za kimya kimya.... Mimi niko kanda ya ziwa, Mwanza.... Ndio kwanza huyo mama ninamskia leo, unasema alimuangusha chuma cha Chato kivipi wakati hata Tanzania Bara hajulikani, huku Mwanza ndio kabisaa... Labda akapigiwe kura Zanzibar, huko ndio wanawake upatia kura
 
Unapiga kampeni za kimya kimya.... Mimi niko kanda ya ziwa, Mwanza.... Ndio kwanza huyo mama ninamskia leo, unasema alimuangusha chuma cha Chato kivipi wakati hata Tanzania Bara hajulikani, huku Mwanza ndio kabisaa... Labda akapigiwe kura Zanzibar, huko ndio wanawake upatia kura
Utajua wapi wewe kwani wewe ni mnec?
 
Huyu alimgaragaza Mzilankende kutoka Chato Hadi ikapidi Wakuu wa Kitengo wapindue Meza 🤣🤣🤣

Sio mwingine Bali ni Balozi Amina Salum Ally ,Wana ccm na Wazalendo wa Chato wanamuelewa sana huyu Kwa kile alichomfanyia Mzilankende.

====
View attachment 2763764
ZANZIBAR; MWANASIASA mkongwe visiwani Zanzibar, Balozi Amina Salum Ali amesema hana mpango wa kuendelea kutia nia ya kugombea urais kwani Rais Samia Suluhu Hassan anatosha.
-
Mwanasiasa huyo aliyezaliwa Unguja Oktoba 24, 1957, alichukua fomu ya urais wa Zanzibar mwaka 2000 na mwaka 2015 fomu za kuomba kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
-
Balozi Amina anasema aliomba kugombea urais ili kuvunja mfumo wa kuwa na marais wa jinsi moja.
-
“Mimi niligombea urais wa Zanzibar, akateuliwa Karume (Amani Abeid). Michakato yote ilikuwa migumu,” anasema Balozi Amina.
-
Aliongeza: “Sigombei tena, sasa yupo mama (Rais Samia Suluhu Hassan). Anafanya kazi vizuri. Tunamuunga mkono. Tunasifu kazi yake inaonekana,” alisema wakati anazungumza katika mahojiano maalumu na waandishi wa magazeti ya HabariLEO na Daily News yaliyofanyika nyumbani kwake Mbweni, Unguja.
-
Kuimba taarabu au kuongoza nchi ambako alimshinda mzilakende, mbona sioni yaliyomo?
 
Utajua wapi wewe kwani wewe ni mnec?
Huyo shosti yako... Hajulikani bwana, usianze kumpa umaarufu wa kijinga...

Chuma cha Chato ni levo za kina Vladimir Putin, Kim Jong UN, na rais wa China.... Rais asiyeyumbishwa kiboya boya
 
Kwa nini unisemee? Hakuna mtu nsemkubali Kwa Sasa huko ccm kushinda Samia na mkimbadikisha mtaona nyuzi zangu za kupinga Mwanzo mwisho kama nilivyofanya Kwa Mwendazake.
Kulamba assli raha.

Nyerere alishatusimulia watu aina yako. Mnamuona anafaa kwa sababu anawafaa nyie
 
Huyu alimgaragaza Mzilankende kutoka Chato Hadi ikapidi Wakuu wa Kitengo wapindue Meza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sio mwingine Bali ni Balozi Amina Salum Ally ,Wana ccm na Wazalendo wa Chato wanamuelewa sana huyu Kwa kile alichomfanyia Mzilankende.

====
View attachment 2763764
ZANZIBAR; MWANASIASA mkongwe visiwani Zanzibar, Balozi Amina Salum Ali amesema hana mpango wa kuendelea kutia nia ya kugombea urais kwani Rais Samia Suluhu Hassan anatosha.
-
Mwanasiasa huyo aliyezaliwa Unguja Oktoba 24, 1957, alichukua fomu ya urais wa Zanzibar mwaka 2000 na mwaka 2015 fomu za kuomba kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
-
Balozi Amina anasema aliomba kugombea urais ili kuvunja mfumo wa kuwa na marais wa jinsi moja.
-
“Mimi niligombea urais wa Zanzibar, akateuliwa Karume (Amani Abeid). Michakato yote ilikuwa migumu,” anasema Balozi Amina.
-
Aliongeza: “Sigombei tena, sasa yupo mama (Rais Samia Suluhu Hassan). Anafanya kazi vizuri. Tunamuunga mkono. Tunasifu kazi yake inaonekana,” alisema wakati anazungumza katika mahojiano maalumu na waandishi wa magazeti ya HabariLEO na Daily News yaliyofanyika nyumbani kwake Mbweni, Unguja.
-
Amina Salum Alli Hakuwa na uwezo hata wa kuingi 5 Bora. Aliwekwa kama msindikizaji ili Magufuli aliyeletwa kuziba Ufa wa mgawanyiko wa kambi ya Membe na ya Lowasa aweze kupita kirahisi. Wafuasi wa Lowasa walipogindua njama hiyo wakaamua kumwaga ugali Kwa kumpigia Kura Amina Salum Alli.
 
ZANZIBAR; MWANASIASA mkongwe visiwani Zanzibar, Balozi Amina Salum Ali amesema hana mpango wa kuendelea kutia nia ya kugombea urais kwani Rais Samia Suluhu Hassan anatosha.
-
Mwanasiasa huyo aliyezaliwa Unguja Oktoba 24, 1957, alichukua fomu ya urais wa Zanzibar mwaka 2000 na mwaka 2015 fomu za kuomba kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
-
Balozi Amina anasema aliomba kugombea urais ili kuvunja mfumo wa kuwa na marais wa jinsi moja.
-
“Mimi niligombea urais wa Zanzibar, akateuliwa Karume (Amani Abeid). Michakato yote ilikuwa migumu,” anasema Balozi Amina.
-
Aliongeza: “Sigombei tena, sasa yupo mama (Rais Samia Suluhu Hassan). Anafanya kazi vizuri. Tunamuunga mkono. Tunasifu kazi yake inaonekana,” alisema wakati anazungumza katika mahojiano maalumu na waandishi wa magazeti ya HabariLEO na Daily News yaliyofanyika nyumbani kwake Mbweni, Unguja.
-
She is good!. Nilizungumza nae hapo juzi kati

View: https://youtu.be/Li8Yu29CwV4?si=2HW5DiK8MJI-dRVy
P.
 
Huyu alimgaragaza Mzilankende kutoka Chato Hadi ikapidi Wakuu wa Kitengo wapindue Meza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sio mwingine Bali ni Balozi Amina Salum Ally ,Wana ccm na Wazalendo wa Chato wanamuelewa sana huyu Kwa kile alichomfanyia Mzilankende.

====
View attachment 2763764
ZANZIBAR; MWANASIASA mkongwe visiwani Zanzibar, Balozi Amina Salum Ali amesema hana mpango wa kuendelea kutia nia ya kugombea urais kwani Rais Samia Suluhu Hassan anatosha.
-
Mwanasiasa huyo aliyezaliwa Unguja Oktoba 24, 1957, alichukua fomu ya urais wa Zanzibar mwaka 2000 na mwaka 2015 fomu za kuomba kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
-
Balozi Amina anasema aliomba kugombea urais ili kuvunja mfumo wa kuwa na marais wa jinsi moja.
-
“Mimi niligombea urais wa Zanzibar, akateuliwa Karume (Amani Abeid). Michakato yote ilikuwa migumu,” anasema Balozi Amina.
-
Aliongeza: “Sigombei tena, sasa yupo mama (Rais Samia Suluhu Hassan). Anafanya kazi vizuri. Tunamuunga mkono. Tunasifu kazi yake inaonekana,” alisema wakati anazungumza katika mahojiano maalumu na waandishi wa magazeti ya HabariLEO na Daily News yaliyofanyika nyumbani kwake Mbweni, Unguja.
-
Na wewe acha uwongo,alimshinda Magufuli kwa influence na power gani alivyokuwa nayo kwenye siasa za nchi hii?
Kidogo ungesema January Makamba alipindua meza ungeeleweka!!!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom