ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #41
Soma hii cv,huyu hakuokotezwa from no where 😁😁Nikajua hoja ya maana kumbe nae ni mlamba asali tu basi anatosha kwake yye na bwana wake na vitoto vyake mie kwangu simuoni kma anavuomuona yye ila huo ni mtazamo wake na WAZO LA MTU HALIPIGWI RUNGU
Na wewe acha uwongo,alimshinda Magufuli kwa influence na power gani alivyokuwa nayo kwenye siasa za nchi hii?
Kidogo ungesema January Makamba alipindua meza ungeeleweka!!!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Kwamba huyu alimshinda Magufuli?, unaakili timamu kweli?kwanza hajulikaniHuyu alimgaragaza Mzilankende kutoka Chato Hadi ikapidi Wakuu wa Kitengo wapindue Meza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu hakuikotwa from no where kama yule mwingine Bali alikuwa Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Afrika (AU) huko United Nations Marekani.
Sio mwingine Bali ni Balozi Amina Salum Ally ,Wana ccm na Wazalendo wa Chato wanamuelewa sana huyu Kwa kile alichomfanyia Mzilankende.
====
View attachment 2763764
ZANZIBAR; MWANASIASA mkongwe visiwani Zanzibar, Balozi Amina Salum Ali amesema hana mpango wa kuendelea kutia nia ya kugombea urais kwani Rais Samia Suluhu Hassan anatosha.
-
Mwanasiasa huyo aliyezaliwa Unguja Oktoba 24, 1957, alichukua fomu ya urais wa Zanzibar mwaka 2000 na mwaka 2015 fomu za kuomba kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
-
Balozi Amina anasema aliomba kugombea urais ili kuvunja mfumo wa kuwa na marais wa jinsi moja.
-
“Mimi niligombea urais wa Zanzibar, akateuliwa Karume (Amani Abeid). Michakato yote ilikuwa migumu,” anasema Balozi Amina.
-
Aliongeza: “Sigombei tena, sasa yupo mama (Rais Samia Suluhu Hassan). Anafanya kazi vizuri. Tunamuunga mkono. Tunasifu kazi yake inaonekana,” alisema wakati anazungumza katika mahojiano maalumu na waandishi wa magazeti ya HabariLEO na Daily News yaliyofanyika nyumbani kwake Mbweni, Unguja.
-
Umesoma CV ya Amina Ally kwanza?Au Permanent to United NationsKwamba huyu alimshinda Magufuli?, unaakili timamu kweli?kwanza hajulikani
Umejitwisha zigo la kumbana na marehemu?.Kwa nini unisemee? Hakuna mtu nsemkubali Kwa Sasa huko ccm kushinda Samia na mkimbadikisha mtaona nyuzi zangu za kupinga Mwanzo mwisho kama nilivyofanya Kwa Mwendazake.
Ndio naweka rekodi sawa sawaUmejitwisha zigo la kumbana na marehemu?.
Kazi ipoo
Hamjasema kwa Bahati mbaya hii kauli!!Huyu alimgaragaza Mzilankende kutoka Chato Hadi ikapidi Wakuu wa Kitengo wapindue Meza 🤣🤣🤣
Huyu hakuikotwa from no where kama yule mwingine Bali alikuwa Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Afrika (AU) huko United Nations Marekani.
Sio mwingine Bali ni Balozi Amina Salum Ally ,Wana ccm na Wazalendo wa Chato wanamuelewa sana huyu Kwa kile alichomfanyia Mzilankende.
====
View attachment 2763764
ZANZIBAR; MWANASIASA mkongwe visiwani Zanzibar, Balozi Amina Salum Ali amesema hana mpango wa kuendelea kutia nia ya kugombea urais kwani Rais Samia Suluhu Hassan anatosha.
-
Mwanasiasa huyo aliyezaliwa Unguja Oktoba 24, 1957, alichukua fomu ya urais wa Zanzibar mwaka 2000 na mwaka 2015 fomu za kuomba kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
-
Balozi Amina anasema aliomba kugombea urais ili kuvunja mfumo wa kuwa na marais wa jinsi moja.
-
“Mimi niligombea urais wa Zanzibar, akateuliwa Karume (Amani Abeid). Michakato yote ilikuwa migumu,” anasema Balozi Amina.
-
Aliongeza: “Sigombei tena, sasa yupo mama (Rais Samia Suluhu Hassan). Anafanya kazi vizuri. Tunamuunga mkono. Tunasifu kazi yake inaonekana,” alisema wakati anazungumza katika mahojiano maalumu na waandishi wa magazeti ya HabariLEO na Daily News yaliyofanyika nyumbani kwake Mbweni, Unguja.
-