Umeshamgeuka mwamba mwenda zake?teh tehTunazungumzia Tanzania, inakuaje unahamisha Magoli?
Kama kuhamisha Magoli nami ntakwambia Southern of Sahara, Latin America, Mauaji ya weusi huko US na kwingineko
Tunazungumzia Tanzania, kwanini nyinyi ni makatili sana? Hata maeneo yenye record za kuuana, kuchinjana hapa nchini ni kwenu?
Kila Jumapili upo kanisani kuhutubia na kuomba uombewe ukitoka hapo unakwenda kuvamia Account binafsi za watu unakomba pesa halafu unasoma takwimu za kuongezeka kodi
Naskia mpaka Dau anaondoshwa pale NSSF mpaka wafagizi walikuwa wana udini(ofisi za wakiristo hawafagii...ni kweli?)Kama uliapply na unaitwa Christian, Michael, au Patrick ni lazima ingekula kwako tu
Mkuu kwani hujui narrative ya udini humaanisha nini....udini kwa Tanzania ni kiongozi msilamu kuajiri msilamu...kwa hiyo hata wewe mkuu ukikaa pahala halafu ikatokea kwenye ajira ukaajiri msilamu basi wewe ni mdini mkuu...lakini kama wewe ni mkiristo basi siyo mdini, umetenda kwa jina la baba...Waislam gan Tena,na nyinyi mnasema kuwa waislam hawana shule...
Hao alokuwa anawapendelea hapo Nssf ni wepi sass,maana huko Taasisi zingine zoote zimejaa makanisa tuh
Unasikia kwa nani?Naskia mpaka Dau anaondoshwa pale NSSF mpaka wafagizi walikuwa wana udini(ofisi za wakiristo hawafagii...ni kweli?)
Kwenye mitandao mkuu mfano hapa JF....naskia Dau mdini sana yaani...anapendelea wasilamu na miaka aliyokaa NSSF hakuwahi kuajiri mkiristo hata mmoja mkuu....ni kweli...?Unasikia kwa nani?
Huyo mtaalamu labda awe Hana dini. Lakini akiwa na Dini wabongo hawatamuacha salama.Ni wakati wa kuajiri expert wa uendeshaji wa bandari kutoka nje. Hasa wale waliowahi simamia bandari kubwakubwa duniani.
Ha ha si ndio watasema mama mdiniInawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?
Jawabu linatafutwa?Inawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?
Kama huyu ndio muarobaini wa uendeshaji mbovu wa bandari aletwe tu.Inawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?
Tanzania haina tofauti na Chad, Mali na Naigeria kwa udini,ila iko siku embe litaiva na kupasukaHuyo jamaa hapana, ni Mdini sana na Mbaguzi, aliwatesa sana Wakristo alipokuwa NSSF.
Wakristo walikuwa wakiapply kazi NSSF hata kama wana sifa timilifu anawaengua na kuwajaza Waislam wenzie mpaka alipokuja kushtukiwa
Kilichombeba ni vile alikuwa rafiki na business partner wa Magufuli, akahusika kwenye kuijenga Kigamboni bridge na majengo mengine kupitia ile kampuni ya JPM ya uhandisi
Baada ya kushtukiwa J.P Magufuli akampatia Ubalozi na kuahidi kumlinda
Tutapishana sana na mikeka kwenye corridor za bandarini
Amekula sana keki ya Taifa inatosha.
Si tayari tunawaajiri DP World.Ni wakati wa kuajiri expert wa uendeshaji wa bandari kutoka nje. Hasa wale waliowahi simamia bandari kubwakubwa duniani.
Huyu mtu kajaaliwa uongozi. Binaadam tumejaaliwa vipaji vya kila aina, Ramadhan Dau kajaaliwa kipaji cha uongozi uliojaa uaminifu. Ma shaa Allah ni super intelligent.Inawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?
Kampeni za hovyoWampe Trouble shooter hiyo kitu.
Balozi Dau atawaanyoosha na watanyooka wote na mafanikio yataonekana.
Acha chuki za kidini, hazina tija kwa maslahi mapana ya nchi.Kampeni za hovyo