Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu jitahidi upate hata uongozi wa Jumuiya ndogo ndogo. CV itaboreka kidogo.Historia ya marehemu inakua "marehemu alizaliwa akahangaika hangaika akafa"
CV imenonaMbunge wa Jamhuri, Naibu waziri wa Africa mashariki, Waziri, Balozi Ubelgiji na Uholanzi [emoji848]
R.i.p
Salt uko wapi JF sikusikiiHistoria ya marehemu inakua "marehemu alizaliwa akahangaika hangaika akafa"
He had nothing more than you, I can assure you! Alikuwa amerudi kufundisha...Miaka 56 tu? Shida nini? Cheo, ukwasi alikuwanao.
hapo inashangaza, labda alipunguza miakaKazaliwa 1968?
Alikuwa jamaa yake na Mzee wangu , mara nyingi alipatikana Morogoro kwenye lodge yake ya VANNILA pale jirani na Roundabout ya SUANdio maana alikuwa kimya Sana. Alipotea katika radar
He had nothing more than you, I can assure you! Alikuwa amerudi kufundisha...
Najitahidi niwe hata mjumbeMkuu jitahidi upate hata uongozi wa Jumuiya ndogo ndogo. CV itaboreka kidogo.
Nipo ndugu yangu nipo.....safarini to MonduliSalt uko wapi JF sikusikii
Sasa nimejua. Nilipata ripoti ambayo haikuwa inafurahisha alipokuwa kule Victoire alipokuwa anasimuliaAlikuwa jamaa yake na Mzee wangu , mara nyingi alipatikana Morogoro kwenye lodge yake ya VANNILA pale jirani na Roundabout ya SUA
Pia alikuwa na Shamba lake kule Sangsanga kama unaelekea Mzumbe
Huyu Mzee alikuwa tayari keshayatimba kupitia kupenda kule chini , alikuwa anaendesha gari bila kuchukua tahadhari
Report gani toa dodosoSasa nimejua. Nilipata ripoti ambayo haikuwa inafurahisha alipokuwa kule Victoire alipokuwa anasimulia
Iringa Peter Siyovelwa, Mzena, Hans KitineHii Hospitali ya Mzena ipo wapi?
Sasa watu wa Nkenge walimpendea nini mpaka wakawa wana mchagua.Huyu bwana hamna kitu alifanya jimboni, hata kulala walau usiku mmoja alikuwa hataki anajikuta busy sana. Akimaliza uchaguzi anaweza kanyaga jimboni mara tatu hivi kabla ya uchaguzi mwingine, ila siku anazolala uko hazifiki tano miaka mitano.
Alikuwa mpole, haongei, hasikilizi watu, hana muda wa kujua shida za wananchi anapita na V8 tinted mwanzo mwisho hata habari za kusalimia wapiga kura hana.
Mama yake alifariki mwaka jana mwanzoni hivi.
Nje ya siasa alikuwa mtu mzuri kiraia, kisiasa sidhani hata kwenye ubalozi na uwaziri alikuwa na mchango wa maana kitaifa.
Kiukweli saivi wajane wengi sana! Mungu atupe nusra!Ila pombe na 🙍 wanamaliza wanaume Kwa kweli.
Wajane Kila kona
Ni sawa na kuuliza wanaomchagua Ndugai kila uchaguzi huku hawana hata maji wanampendea nini.Sasa watu wa Nkenge walimpendea nini mpaka wakawa wana mchagua.