TANZIA Balozi Dkt. Deodorus Kamala afariki dunia

TANZIA Balozi Dkt. Deodorus Kamala afariki dunia

Alikuwa mtu wa kitengo huyu Mzee...


Kafia 'Mzena'


Sema Siku Moja kwenye kampeini zake hapo Kiziba, wananchi walimlilia kuwa tumbili au ngedele kama sijakosea jina la wale wanyama wanafanana na nyani lkn wanakula sana mahindi n.k

Wakamwambia Mhe. Huku tumbili/ngedele wanatusumbua sana tunaomba msaada wako na serikali.

Akawaambia nawashauli muwe mnawala! Mkikamata kama wawili watatu mkawala hamtawaona tena.

Nilijizuia kucheka kwasbabu... Lkn dah Leo ndo nacheka ahahahahhaha Toka halo hakupata Ubunge tena...nshomile wakamzingua ahahah

RIP mdogo wangu Kamala kyoma!

Nakukumbuka sana pale Sinza Kijiweni na hapo Victoria kwa Mzee Kingunge.....
Hii ya Nyani ,wananchi wale Nyani badala ya kuwapa vifaa vya kuwinda iliwafanya wananchi wamchukie.
 
Huyu bwana hamna kitu alifanya jimboni, hata kulala walau usiku mmoja alikuwa hataki anajikuta busy sana. Akimaliza uchaguzi anaweza kanyaga jimboni mara tatu hivi kabla ya uchaguzi mwingine, ila siku anazolala uko hazifiki tano miaka mitano.

Alikuwa mpole, haongei, hasikilizi watu, hana muda wa kujua shida za wananchi anapita na V8 tinted mwanzo mwisho hata habari za kusalimia wapiga kura hana.

Mama yake alifariki mwaka jana mwanzoni hivi.

Nje ya siasa alikuwa mtu mzuri kiraia, kisiasa sidhani hata kwenye ubalozi na uwaziri alikuwa na mchango wa maana kitaifa.
namfahamu fikka, nilimfundisha sekondari, coming from the same locality, zero metres apart. Amekufa hana kitu kabisa.
 
Alikuwa jamaa yake na Mzee wangu , mara nyingi alipatikana Morogoro kwenye lodge yake ya VANNILA pale jirani na Roundabout ya SUA

Pia alikuwa na Shamba lake kule Sangsanga kama unaelekea Mzumbe

Huyu Mzee alikuwa tayari keshayatimba kupitia kupenda kule chini , alikuwa anaendesha gari bila kuchukua tahadhari
wewe sasa unamfahamu vyema✋
 
Moja ya PhD iliyoleta shida nchini, kipindi cha JK Kila mbunge au Waziri alitakwa kuitwa Dr huyu naye ya kwake ilihojiwa sana ni kama aliipata kwa mchongo
Dogo unaijua Dk. Kamala kweli au unaropoka tu? Je, unajua kuwa alikuwa ni mwanafunzi mwenye ufaulu mkubwa Bukoba Sekondari kidato cha nne mwaka 1988 na akachaguliwa kwenda Ihungo Sekondari kidato cha tano akisomea HGE? Unajua kwa kipaji chake akiwa Ihungo Sekondari alichaguliwa kuwa Chief Secretary of Students Government Mwenyekiti wake akiwa Smart Daniel mtu mwenye uwezo mkubwa wa akili?

Je, unajua alichaguliwa kujiunga na IDM - MZUMBE ambalo alikuwa na extraordinary performance hadi akabakishwa hapo chuoni kuwa Tutorial Assistant? Unajua kuwa akiwa hapo alienda kusoma ughaibuni Masters akarudi na PHD? Unayajua haya Dogo?

Je, unajua mwaka 2000 alipewa "Kazi Maalum" na Mzee Mkapa ya kutafuta CCM Members of Parliament Right Candidates nchi nzima. Na cha kushangaza kwenye Jimbo la Nkenge anapotoka yeye alimpendekeza Mwalimu Rugashoborara (RIP) awe ndiye Mgombea Ubunge, lakini Mzee Che Nkapa akalikata hilo jina na kuweka la Dk. Kamala kwa kigezo kuwa kama ameweza kutambua right candidates, he was obviously the right candidate for his constitution?

Dogo, tafuta habari sahihi kutoka vyanzo sahihi kabla ya kujifanya mjuaji!
 
Dogo unaijua Dk. Kamala kweli au unaropoka tu? Je, unajua kuwa alikuwa ni mwanafunzi mwenye ufaulu mkubwa Bukoba Sekondari kidato cha nne mwaka 1988 na akachaguliwa kwenda Ihungo Sekondari kidato cha tano akisomea HGE? Unajua kwa kipaji chake akiwa Ihungo Sekondari alichaguliwa kuwa Chief Secretary of Students Government Mwenyekiti wake akiwa Smart Daniel mtu mwenye uwezo mkubwa wa akili?

Je, unajua alichaguliwa kujiunga na IDM - MZUMBE ambalo alikuwa na extraordinary performance hadi akabakishwa hapo chuoni kuwa Tutorial Assistant? Unajua kuwa akiwa hapo alienda kusoma ughaibuni Masters akarudi na PHD? Unayajua haya Dogo?

Je, unajua mwaka 2000 alipewa "Kazi Maalum" na Mzee Mkapa ya kutafuta CCM Members of Parliament Right Candidates nchi nzima. Na cha kushangaza kwenye Jimbo la Nkenge anapotoka yeye alimpendekeza Mwalimu Rugashoborara (RIP) awe ndiye Mgombea Ubunge, lakini Mzee Che Nkapa akalikata hilo jina na kuweka la Dk. Kamala kwa kigezo kuwa kama ameweza kutambua right candidates, he was obviously the right candidate for his constitution?

Dogo, tafuta habari sahihi kutoka vyanzo sahihi kabla ya kujifanya mjuaji!
huenda ulikua bado.unanyonya...kipindi cha nyuma ilisemekana hivyo mkuu
 
Heri yao sana wanaofikia umri miaka 70+

Vijana wengi sana kwa sasa wanaishia 40 na kidogo, kuufikia uzee imekuwa ni sawa na kutafuta samaki kwenye bomba la maji ya kisima
Kweli kabisa, vifo vingi sasa hivi ni vijana kati ya miaka 30 na 40. Tushukuru kwa yote kwa wanaofika miaka 70+
 
Dogo unaijua Dk. Kamala kweli au unaropoka tu? Je, unajua kuwa alikuwa ni mwanafunzi mwenye ufaulu mkubwa Bukoba Sekondari kidato cha nne mwaka 1988 na akachaguliwa kwenda Ihungo Sekondari kidato cha tano akisomea HGE? Unajua kwa kipaji chake akiwa Ihungo Sekondari alichaguliwa kuwa Chief Secretary of Students Government Mwenyekiti wake akiwa Smart Daniel mtu mwenye uwezo mkubwa wa akili?

Je, unajua alichaguliwa kujiunga na IDM - MZUMBE ambalo alikuwa na extraordinary performance hadi akabakishwa hapo chuoni kuwa Tutorial Assistant? Unajua kuwa akiwa hapo alienda kusoma ughaibuni Masters akarudi na PHD? Unayajua haya Dogo?

Je, unajua mwaka 2000 alipewa "Kazi Maalum" na Mzee Mkapa ya kutafuta CCM Members of Parliament Right Candidates nchi nzima. Na cha kushangaza kwenye Jimbo la Nkenge anapotoka yeye alimpendekeza Mwalimu Rugashoborara (RIP) awe ndiye Mgombea Ubunge, lakini Mzee Che Nkapa akalikata hilo jina na kuweka la Dk. Kamala kwa kigezo kuwa kama ameweza kutambua right candidates, he was obviously the right candidate for his constitution?

Dogo, tafuta habari sahihi kutoka vyanzo sahihi kabla ya kujifanya mjuaji!

Dogo unaijua Dk. Kamala kweli au unaropoka tu? Je, unajua kuwa alikuwa ni mwanafunzi mwenye ufaulu mkubwa Bukoba Sekondari kidato cha nne mwaka 1988 na akachaguliwa kwenda Ihungo Sekondari kidato cha tano akisomea HGE? Unajua kwa kipaji chake akiwa Ihungo Sekondari alichaguliwa kuwa Chief Secretary of Students Government Mwenyekiti wake akiwa Smart Daniel mtu mwenye uwezo mkubwa wa akili?

Je, unajua alichaguliwa kujiunga na IDM - MZUMBE ambalo alikuwa na extraordinary performance hadi akabakishwa hapo chuoni kuwa Tutorial Assistant? Unajua kuwa akiwa hapo alienda kusoma ughaibuni Masters akarudi na PHD? Unayajua haya Dogo?

Je, unajua mwaka 2000 alipewa "Kazi Maalum" na Mzee Mkapa ya kutafuta CCM Members of Parliament Right Candidates nchi nzima. Na cha kushangaza kwenye Jimbo la Nkenge anapotoka yeye alimpendekeza Mwalimu Rugashoborara (RIP) awe ndiye Mgombea Ubunge, lakini Mzee Che Nkapa akalikata hilo jina na kuweka la Dk. Kamala kwa kigezo kuwa kama ameweza kutambua right candidates, he was obviously the right candidate for his constitution?

Dogo, tafuta habari sahihi kutoka vyanzo sahihi kabla ya kujifanya mjuaji!
PhD kaipatia hapo Mzumbe. Masters ndio nje ya nchi.
 
Back
Top Bottom