Hakutenguliwa alihamishiwa CairoHili Jambo la Nchimbi kutenguliwa Ubalozi ni la siku nyingi. Kuanza yupo nchini tangu December 2021. Hizi habari za kuachishwa ubalozi kwani zimeibuka upya tena Jana?
Je mwanzo walimwona tishu au hafai na Sasa anafaa na taarifa kutolewa rasmi ili kumpa jukumu muhimu?
Kwa sasa ni mtu muhimu kwa chama kuelekea uchaguzi2021 baada ya Magu kufariki alirudishwa TZ kutoka Brazil, kituo chake cha kwanza cha Kazi, yakaongewa mengi ila mwisho wa siku akapelekwa Egypt.
Hata sasa usishangae ukaja sikia jamaa anapangiwa kituo kingine cha kazi. Kuna watu hawamtaki kabisa hapa nchini.
Alihamishwa kwenda Egypt na sasa amerejeshwa nyumbaniNakumbuka alikuwa Brazil baadae karudishwa
Umeongea utumbo alafu unajiona mjanja mwenyewe. Nchimbi alipotoka Brazil alienda kuwa balozi Misri. Sasa anarudi nchini kutokea MisriHili Jambo la Nchimbi kutenguliwa Ubalozi ni la siku nyingi. Kuanza yupo nchini tangu December 2021. Hizi habari za kuachishwa ubalozi kwani zimeibuka upya tena Jana?
Je mwanzo walimwona tishu au hafai na Sasa anafaa na taarifa kutolewa rasmi ili kumpa jukumu muhimu?
Serikali ya hilo Libibi imejaa vichwa matopeHili Jambo la Nchimbi kutenguliwa Ubalozi ni la siku nyingi. Kuanza yupo nchini tangu December 2021. Hizi habari za kuachishwa ubalozi kwani zimeibuka upya tena Jana?
Je mwanzo walimwona tishu au hafai na Sasa anafaa na taarifa kutolewa rasmi ili kumpa jukumu muhimu?
Kituo kinachofuata ni POLEPOLEUmeongea kitu kweli kabisa ,hizi comments za watu wengi sijui huyu ni jasusi yaani zinatia kinyaa sana .Pamoja na ujasusi wake uchwara kazi zao ni kuneemeka tu na shida za wananchi yaani Tanzania hii niyakisenge sana maana wanaosifiwa niwapuuzi puuzi tu na wazalendo hata hawafaamiki
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Ukishatumikia huko field vya kutosha,kinachobaki ni kukaa dawatini na kuongoza vijana na nafasi political/diplomatic Kama hizo,hao walio field wanategemea michakato na upembuzi wa waliopo ofisini,na kazi hiyo siyo ya watu wanaotaka kufa wakiwa mabilioneaAna maajab gan na huo ujasus wake..kujaza kitambi tuu kwa pesa za walipa kodi.Majasus wa nchi wajinga wajinga mnawapa headings wakat wanaohenya field daily ambao ndio haswaa majasus wenye uzalendo na maadili ya kazi zao wanakufa masikini wasio na mbele wala nyuma in the name of Tanzania..Mnakaa kuwajadili washenz shenz hawa
Kwahiyo wachambuzi ndio wafe mabilionea na vitambi juu au sio nao walio dawatini wana chambua nini kama hakuna watu field?Ukishatumikia huko field vya kutosha,kinachobaki ni kukaa dawatini na kuongoza vijana na nafasi political/diplomatic Kama hizo,hao walio field wanategemea michakato na upembuzi wa waliopo ofisini,na kazi hiyo siyo ya watu wanaotaka kufa wakiwa mabilionea
Shule ulifika level gani!?..hivi taarifa alizonazo jasusi mmoja juu ya Jambo Fulani zinazidi ilizonazo idara ya ujasusi!?..unazijua clearance levels huko idarani!?..kitambi ni tatizo na si afya,kula sembe na mchele halafu ukaekae uone Kama huvimbi tumboKwahiyo wachambuzi ndio wafe mabilionea na vitambi juu au sio nao walio dawatini wana chambua nini kama hakuna watu field?
Mbona hukusema hiyo 2021. Tukueleweje kwa mfanoHili Jambo la Nchimbi kutenguliwa Ubalozi ni la siku nyingi. Kuanza yupo nchini tangu December 2021. Hizi habari za kuachishwa ubalozi kwani zimeibuka upya tena Jana?
Je mwanzo walimwona tishu au hafai na Sasa anafaa na taarifa kutolewa rasmi ili kumpa jukumu muhimu?
we kweli una matatizo ya akili, Nchimbi ni nani nchi hii mpaka serikali itoe taarifa kutenguliwa kwake? Tumia akili epuka kutumia makalio kufikiri. Taarifa iliyotolewa siyo ya Nchimbi kutenguliwa ni ya kupangwa vituo mabalozi wapya. Au umetumwa ili huyo Nchimbi wako ajulikane maana hakuna hata anayemkumbuka, hakuna lolote alilofanyia nchi hii zaidi ya kwamba kuna wakati alikuwa waziri.Hili Jambo la Nchimbi kutenguliwa Ubalozi ni la siku nyingi. Kuanza yupo nchini tangu December 2021. Hizi habari za kuachishwa ubalozi kwani zimeibuka upya tena Jana?
Je mwanzo walimwona tishu au hafai na Sasa anafaa na taarifa kutolewa rasmi ili kumpa jukumu muhimu?
we unasikiliza taarifa za mtaani hizo, siku hizi kila mtu mjuaji ye amjuaje km ni jasusi, ushabiki wa kipuuzi tu. Hizo story za kijiweni.Ana maajab gan na huo ujasus wake..kujaza kitambi tuu kwa pesa za walipa kodi.Majasus wa nchi wajinga wajinga mnawapa headings wakat wanaohenya field daily ambao ndio haswaa majasus wenye uzalendo na maadili ya kazi zao wanakufa masikini wasio na mbele wala nyuma in the name of Tanzania..Mnakaa kuwajadili washenz shenz hawa
si akatae uteuzi mafisiem yote ni malafi tu hamna mzalendo kule wala hata kaa hatokee ni kukomoana na kila mtu atakula kwa wakati ndiyo mana kila anayepata nafasi hafanyi kosa!2021 baada ya Magu kufariki alirudishwa TZ kutoka Brazil, kituo chake cha kwanza cha Kazi, yakaongewa mengi ila mwisho wa siku akapelekwa Egypt.
Hata sasa usishangae ukaja sikia jamaa anapangiwa kituo kingine cha kazi. Kuna watu hawamtaki kabisa hapa nchini.
Hapo kwenye kujua ni papana kidogo maana nawewe unaweza jiuliza unajuaje kama mleta mada sio nchimbi mwenyewe au mtu wake wanaejuana? Maana hii ninjamii forum bwana kila mtu yupo humu..so msinginwa hija yangu umejikita katika ku assume kana kwamba ni kwel huyu mtu ni jasusi so nime respond accordngly..Ni bora ukaamin Mungu yupo af uende umkose kuliko kudhan hayupo kisha ufike umkute amekaa paleeeee πππwe unasikiliza taarifa za mtaani hizo, siku hizi kila mtu mjuaji ye amjuaje km ni jasusi, ushabiki wa kipuuzi tu. Hizo story za kijiweni.
If you signed for that shit Go blame your maker.Ana maajab gan na huo ujasus wake..kujaza kitambi tuu kwa pesa za walipa kodi.Majasus wa nchi wajinga wajinga mnawapa headings wakat wanaohenya field daily ambao ndio haswaa majasus wenye uzalendo na maadili ya kazi zao wanakufa masikini wasio na mbele wala nyuma in the name of Tanzania..Mnakaa kuwajadili washenz shenz hawa
Balaa kubwa hili!Ana maajab gan na huo ujasus wake..kujaza kitambi tuu kwa pesa za walipa kodi.Majasus wa nchi wajinga wajinga mnawapa headings wakat wanaohenya field daily ambao ndio haswaa majasus wenye uzalendo na maadili ya kazi zao wanakufa masikini wasio na mbele wala nyuma in the name of Tanzania..Mnakaa kuwajadili washenz shenz hawa
Na ndipo hapa taifa linapokwama.Watu wenye mchango mkubwa katika taifa wako nje ya system na wapumbavu mmjaa ndani ya mfumo kisa tu vigezo vya kijingaa kama hiv ambavyo wenzetu nchi zilizoendelea hawavip kipaumbele.If you signed for that shit Go blame your maker.
Hata Bahari samaki wote hawawezi kulingana
Hata porini Kuna wanayama wadogo ni chakula cha wengine
So ni wewe ujitahidi uwe kwenye Meza ya chakula au uwe kwenye menu
Chaguo ni lako
Ama ukitahidi uwe na taaluma ambayo wenzako hawana utakuwa popote unapotaka kuwa
Ukiwa ulifail 4m4 halafu ukajiunga na jeshi au idara yeyote ya usalama halafu kujiendeleza hutaki, tegemea kuhudumia Junior officers chai.
kaka umeongea lwa uchungu sana bila shaka wewe ni mzalendo halisi. Mungu akusimamieAna maajab gan na huo ujasus wake..kujaza kitambi tuu kwa pesa za walipa kodi.Majasus wa nchi wajinga wajinga mnawapa headings wakat wanaohenya field daily ambao ndio haswaa majasus wenye uzalendo na maadili ya kazi zao wanakufa masikini wasio na mbele wala nyuma in the name of Tanzania..Mnakaa kuwajadili washenz shenz hawa
Kwa wasio jua ni kwamba Balozi Nchimbi ni kijana anaye pendwa sana na Kikwete.Nakumbuka alikuwa Brazil baadae karudishwa nyumbani