Tetesi: Balozi Dkt. Wilbroad Slaa afichua siri mpya ya mikakati ya Mbowe kushinda uenyekiti. Apewa mapesa zaidi na Rais Samia na M/kiti CCM kummaliza Lissu

Tetesi: Balozi Dkt. Wilbroad Slaa afichua siri mpya ya mikakati ya Mbowe kushinda uenyekiti. Apewa mapesa zaidi na Rais Samia na M/kiti CCM kummaliza Lissu

The Palm Beach

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2015
Posts
1,967
Reaction score
4,267
Duuh, mimi sikuwahi kufikiri wala kudhani kabisa kuwa kamanda wa anga na mwanaharakati wa siasa za mageuzi Tanganyika ndugu Freeman Mbowe kuwa ni shetani wa CCM - kijani aliyejificha kwenye gwanda la khaki la CHADEMA...!!

Katika VideoAudio Clip hiyo, Balozi Dr. Wilbroad Slaa aliyewahi kuwa katibu mkuu wa CHADEMA kwa miaka 12 (2003 - 2015) na kufanya kazi chini ya uenyekiti wa Freeman Mbowe anafichua siri ya vikao kati ya Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa CCM (Taifa) ambaye pia ni Rais wa JMT Bi. Samia Suluhu Hassan...

Dr Wilbroad Slaa anasema, amepewa taarifa na vijana wake ndani ya Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) juu ya kikao kati Rais Samia/CCM na Freeman Mbowe kujadili namna atakavyosaidiwa kushinda uenyekiti...

Anaendelea kusema kuwa, Rais Samia amekubali kumuongezea pesa Freeman Mbowe ili kugharamia mikakati ya ushindi wake na kwa hiyo wajumbe wajiandae kula pesa za bure za Samia Suluhu Hassan...

Aidha ameitahadharisha kambi ya Tundu Lissu kufahamu kuwa, Freeman Mbowe atapata msaada toka TISS, polisi na UVCCM wengi wataingia kama wajumbe wapiga kura na watavalishwa magwanda au jezi rasmi za CHADEMA...

Je, wajumbe 1,200 watashindwa kufahamiana na kudhibitiana ndani ya ukumbi? Timu Tundu Lissu fahamuni hili, jiandaeni kwa mapambano. Fanyeni kama TLS walivyofanya kumpigani Boniface Mwabukusi na kuibuka mshindi wa u - Rais wa TLS


 
Huyo jamaa yupo kinafiki sana

Kilindi yeye anachota za Edo na za Mwendazake nani alimuuliza?

Kuna kipindi JK alimuita mnafiki na mzandiki nimeamini.

Vijana wa Usalama anaowasema ni kina nani?

Anapukiwa majungu ya hear say za kutosha na yeye mkuku mkuku anazileta public kwa wapiga makofi wake wa Clubhouse...

Anatamani sana Lissu awe chairman na yeye arud CDM kwa mgongo wa nyuma kama KM.

It will bever happen granny.
 
timu ya lisu iandae mikakati ya kuhakiki wajumbe wapigakura kabla ya zoezi la uchaguzi
Slaa siyo balozi
Siyo padre
Siyo chadema
Siyo ccm

Mtu Hatari sana kwenye unafiq na ni mtu anayependa sana kulitaja neno TISS

old dog same old tricks…. Alipohamia ccm baada ya kukubali Lowassa agombee was enough to tell who he really is

 
Huyo jamaa yupo kinafiki sana

Kilindi yeye anachota za Edo na za Mwendazake nani alimuuliza?

Kuna kipindi JK alimuita mnafiki na mzandiki nimeamini.

Vijana wa Usalama anaowasema ni kina nani?

Anapukiwa majungu ya hear say za kutosha na yeye mkuku mkuku anazileta public kwa wapiga makofi wake wa Clubhouse...

Anatamani sana Lissu awe chairman na yeye arud CDM kwa mgongo wa nyuma kama KM.

It will bever happen granny.
Usijidanganye kumuamini mwanaume anayepigwa na mke wake humu chini ya jua.

Alishachapwa na Mkewe hadi akakimbilia kulala nje kwenye gari. Usimuamini kabisa.
 
Wanajua wanachokifanya, Yes, ila Padre naye,
Hivi Fr kitima mbona kimya sana?
Padre kitima apongezwe endapo kama kweli alihusika kwenye suala hili la kuwapatanisha mbowe na lisu. kupatanisha watu ni ibada takatifu ya kumtukuza Mungu, kufarakanisha watu ni ibada ya Shetani. Padre kitima amefanya kazi ya Mungu, apongezwe, viongozi wengine wa kiroho waige mfano huu mzuri kutoka kwa Padre kitima
 
Slaa siyo balozi
Siyo padre
Siyo chadema
Siyo ccm

Mtu Hatari sana kwenye unafiq na ni mtu anayependa sana kulitaja neno TISS

old dog same old tricks…. Alipohamia ccm baada ya kukubali Lowassa agombee was enough to tell who he really is

Mwenzio walau umemtambua kwa hayo, wewe ni nani sasa?

Mbowe ni pandikizi lenu ndani ya Chadema, hana hata haya

Libaba lizima linang'ang'ania madaraka kitu ambacho kimemshinda zaidi ya miaka 20 sasa

Kipi kipya atafanya sasa?
 
Usijidanganye kumuamini mwanaume anayepigwa na mke wake humu chini ya jua.

Alishachapwa na Mkewe hadi akakimbilia kulala nje kwenye gari. Usimuamini kabisa.
Ukimsikiliza kwa makini anasema Rushwa haina ushahidi ila yeye ni kuchafua watu na kila mtu kwa hoja kwamba amehongwa bila ushahidi wala mazingira yenye mashaka sana...

Chafua kila mtu kwa kutumiwa msg... Dah .. Birds of a feather

TL anaweza vip kuendesha chama kwa kuchafua kila mtu?

Hizi siasa chafu CDM hawa ndio waanzilishi wake, Rushwa na Ufisadi wa uwongo uwongo.... Tabia chafu sana mwanaume kumchafua mwanaume mwenzako kutaka madaraka....

Mnafiki na Mzandiki... Babu mzima hovyo
 

View: https://youtu.be/lU_QbyAtMUM?si=Qdt19WOd_IGi962F

Duuh, mimi sikuwahi kufikiri wala kudhani kabisa kuwa kamanda wa anga na mwanaharakati wa siasa za mageuzi Tanganyika ndugu Freeman Mbowe kuwa ni shetani wa CCM - kijani aliyejificha kwenye gwanda la khaki la CHADEMA...!!

Katika VideoAudio Clip hiyo, Balozi Dr. Wilbroad Slaa aliyewahi kuwa katibu mkuu wa CHADEMA kwa miaka 12 (2003 - 2015) na kufanya kazi chini ya uenyekiti wa Freeman Mbowe anafichua siri ya vikao kati ya Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa CCM (Taifa) ambaye pia ni Rais wa JMT Bi. Samia Suluhu Hassan...

Dr Wilbroad Slaa anasema, amepewa taarifa na vijana wake ndani ya Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) juu ya kikao kati Rais Samia/CCM na Freeman Mbowe kujadili namna atakavyosaidiwa kushinda uenyekiti...

Anaendelea kusema kuwa, Rais Samia amekubali kumuongezea pesa Freeman Mbowe ili kugharamia mikakati ya ushindi wake na kwa hiyo wajumbe wajiandae kula pesa za bure za Samia Suluhu Hassan...

Aidha ameitahadharisha kambi ya Tundu Lissu kufahamu kuwa, Freeman Mbowe atapata msaada toka TISS, polisi na UVCCM wengi wataingia kama wajumbe wapiga kura na watavalishwa magwanda au jezi rasmi za CHADEMA...

Je, wajumbe 1,200 watashindwa kufahamiana na kudhibitiana ndani ya ukumbi? Timu Tundu Lissu fahamuni hili, jiandaeni kwa mapambano. Fanyeni kama TLS walivyofanya kumpigani Boniface Mwabukusi na kuibuka mshindi wa u - Rais wa TLS...

Slaa awe makini asije kupewa kesi ya uchochezi ...

Slaa karudi Chadema kinyemela mpaka kuibuka kama Pro-Lissu kwenye hiki kinyanganyiro ?..........huu uchaguzi ni mtihani mzito kwa uhai wa Chadema

zitto junior Fundi Mchundo Retired JokaKuu
 
Back
Top Bottom