Mimi ni msaidizi wa slaaMwenzio walau umemtambua kwa hayo, wewe ni nani sasa?
Mbowe ni pandikizi lenu ndani ya Chadema, hana hata haya
Libaba lizima linang'ang'ania madaraka kitu ambacho kimemshinda zaidi ya miaka 20 sasa
Kipi kipya atafanya sasa?
Hakuna padre paleWanajua wanachokifanya, Yes, ila Padre naye,
We are watching every step
View: https://youtu.be/lU_QbyAtMUM?si=Qdt19WOd_IGi962F
Duuh, mimi sikuwahi kufikiri wala kudhani kabisa kuwa kamanda wa anga na mwanaharakati wa siasa za mageuzi Tanganyika ndugu Freeman Mbowe kuwa ni shetani wa CCM - kijani aliyejificha kwenye gwanda la khaki la CHADEMA...!!
Katika VideoAudio Clip hiyo, Balozi Dr. Wilbroad Slaa aliyewahi kuwa katibu mkuu wa CHADEMA kwa miaka 12 (2003 - 2015) na kufanya kazi chini ya uenyekiti wa Freeman Mbowe anafichua siri ya vikao kati ya Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa CCM (Taifa) ambaye pia ni Rais wa JMT Bi. Samia Suluhu Hassan...
Dr Wilbroad Slaa anasema, amepewa taarifa na vijana wake ndani ya Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) juu ya kikao kati Rais Samia/CCM na Freeman Mbowe kujadili namna atakavyosaidiwa kushinda uenyekiti...
Anaendelea kusema kuwa, Rais Samia amekubali kumuongezea pesa Freeman Mbowe ili kugharamia mikakati ya ushindi wake na kwa hiyo wajumbe wajiandae kula pesa za bure za Samia Suluhu Hassan...
Aidha ameitahadharisha kambi ya Tundu Lissu kufahamu kuwa, Freeman Mbowe atapata msaada toka TISS, polisi na UVCCM wengi wataingia kama wajumbe wapiga kura na watavalishwa magwanda au jezi rasmi za CHADEMA...
Je, wajumbe 1,200 watashindwa kufahamiana na kudhibitiana ndani ya ukumbi? Timu Tundu Lissu fahamuni hili, jiandaeni kwa mapambano. Fanyeni kama TLS walivyofanya kumpigani Boniface Mwabukusi na kuibuka mshindi wa u - Rais wa TLS...
Propaganda ,harafu waache kumchafua Samia Kwa upuuzi wao.
View: https://youtu.be/lU_QbyAtMUM?si=Qdt19WOd_IGi962F
Duuh, mimi sikuwahi kufikiri wala kudhani kabisa kuwa kamanda wa anga na mwanaharakati wa siasa za mageuzi Tanganyika ndugu Freeman Mbowe kuwa ni shetani wa CCM - kijani aliyejificha kwenye gwanda la khaki la CHADEMA...!!
Katika VideoAudio Clip hiyo, Balozi Dr. Wilbroad Slaa aliyewahi kuwa katibu mkuu wa CHADEMA kwa miaka 12 (2003 - 2015) na kufanya kazi chini ya uenyekiti wa Freeman Mbowe anafichua siri ya vikao kati ya Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa CCM (Taifa) ambaye pia ni Rais wa JMT Bi. Samia Suluhu Hassan...
Dr Wilbroad Slaa anasema, amepewa taarifa na vijana wake ndani ya Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) juu ya kikao kati Rais Samia/CCM na Freeman Mbowe kujadili namna atakavyosaidiwa kushinda uenyekiti...
Anaendelea kusema kuwa, Rais Samia amekubali kumuongezea pesa Freeman Mbowe ili kugharamia mikakati ya ushindi wake na kwa hiyo wajumbe wajiandae kula pesa za bure za Samia Suluhu Hassan...
Aidha ameitahadharisha kambi ya Tundu Lissu kufahamu kuwa, Freeman Mbowe atapata msaada toka TISS, polisi na UVCCM wengi wataingia kama wajumbe wapiga kura na watavalishwa magwanda au jezi rasmi za CHADEMA...
Je, wajumbe 1,200 watashindwa kufahamiana na kudhibitiana ndani ya ukumbi? Timu Tundu Lissu fahamuni hili, jiandaeni kwa mapambano. Fanyeni kama TLS walivyofanya kumpigani Boniface Mwabukusi na kuibuka mshindi wa u - Rais wa TLS...
Duuh Huyu ni Wenje? Siasa zinatajirishaTetesi toka Twitter zinasema kuna mtu kalambishwa asali ya 12B+ na bado anahitaji mabilioni mengine ya kubustia 🤣🤣
Niliisikia jana nikacheka, Mwamba na Bwana Mkubwa Maji ya shingoEti Mwamba asaidiwe. Mwamba kataitiwa
Tetesi toka Twitter zinasema mwamba mwenyewe mbowe ndio kachukua hiyo 12B 🤣🤣 Dr Slaa kazungumzia hilo suala TwitterDuuh Huyu ni Wenje? Siasa zinatajirisha
Hii ni habari nyeti sana. Ina maana sasa hivi mama anahangaika na kurudi ikulu tu? Nchi ya kipuuzi sana hii.
View: https://youtu.be/lU_QbyAtMUM?si=Qdt19WOd_IGi962F
Duuh, mimi sikuwahi kufikiri wala kudhani kabisa kuwa kamanda wa anga na mwanaharakati wa siasa za mageuzi Tanganyika ndugu Freeman Mbowe kuwa ni shetani wa CCM - kijani aliyejificha kwenye gwanda la khaki la CHADEMA...!!
Katika VideoAudio Clip hiyo, Balozi Dr. Wilbroad Slaa aliyewahi kuwa katibu mkuu wa CHADEMA kwa miaka 12 (2003 - 2015) na kufanya kazi chini ya uenyekiti wa Freeman Mbowe anafichua siri ya vikao kati ya Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa CCM (Taifa) ambaye pia ni Rais wa JMT Bi. Samia Suluhu Hassan...
Dr Wilbroad Slaa anasema, amepewa taarifa na vijana wake ndani ya Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) juu ya kikao kati Rais Samia/CCM na Freeman Mbowe kujadili namna atakavyosaidiwa kushinda uenyekiti...
Anaendelea kusema kuwa, Rais Samia amekubali kumuongezea pesa Freeman Mbowe ili kugharamia mikakati ya ushindi wake na kwa hiyo wajumbe wajiandae kula pesa za bure za Samia Suluhu Hassan...
Aidha ameitahadharisha kambi ya Tundu Lissu kufahamu kuwa, Freeman Mbowe atapata msaada toka TISS, polisi na UVCCM wengi wataingia kama wajumbe wapiga kura na watavalishwa magwanda au jezi rasmi za CHADEMA...
Je, wajumbe 1,200 watashindwa kufahamiana na kudhibitiana ndani ya ukumbi? Timu Tundu Lissu fahamuni hili, jiandaeni kwa mapambano. Fanyeni kama TLS walivyofanya kumpigani Boniface Mwabukusi na kuibuka mshindi wa u - Rais wa TLS...
Hahaha pesa mlizompa zimeisha...ilikuwa ni kasungura kadogoSlaa awe makini asije kupewa kesi ya uchochezi ...
Slaa karudi Chadema kinyemela mpaka kuibuka kama Pro-Lissu kwenye hiki kinyanganyiro ?..........huu uchaguzi ni mtihani mzito kwa uhai wa Chadema
zitto junior Fundi Mchundo Retired JokaKuu
Mapesa mengi sana aisee.Tetesi toka Twitter zinasema mwamba mwenyewe mbowe ndio kachukua hiyo 12B 🤣🤣 Dr Slaa kazungumzia hilo suala Twitter
HakikaLisemwalo lipo kama halipo lipo laja
Uhai wa CHADEMA kwa sasa upo kwa wajumbe wa mkutano mkuu taifa , na wao wakajichanganya tu wakamrejesha MBOWE ndio kwenda kuizika mazima
Tetesi toka Twitter zinasema hiyo 12B ni advansi tu, bado kuna mabilioni mengine yanakuja njiani 🤣Mapesa mengi sana aisee.
Maana ya ke katubu na hataki wahongwaji wengineMbona yeye alipewa na ubalozi akahongwa!
Jiandae kisaikolojia it will happen Lissu anashindaHuyo jamaa yupo kinafiki sana
Kilindi yeye anachota za Edo na za Mwendazake nani alimuuliza?
Kuna kipindi JK alimuita mnafiki na mzandiki nimeamini.
Vijana wa Usalama anaowasema ni kina nani?
Anapukiwa majungu ya hear say za kutosha na yeye mkuku mkuku anazileta public kwa wapiga makofi wake wa Clubhouse...
Anatamani sana Lissu awe chairman na yeye arud CDM kwa mgongo wa nyuma kama KM.
It will bever happen granny.
Kukabiliana na huu uhuni wa CCM, Orosha ya wapiga kura na washiriki wa mkutano na mabaraza inaweza kuwa established mapema. Katibu mkuu anao waji u wa kiweka wazi orodha hiyo kwa viongozi wa kanda zote na kutoa mwongozo wa shughuli yote.
View: https://youtu.be/lU_QbyAtMUM?si=Qdt19WOd_IGi962F
Duuh, mimi sikuwahi kufikiri wala kudhani kabisa kuwa kamanda wa anga na mwanaharakati wa siasa za mageuzi Tanganyika ndugu Freeman Mbowe kuwa ni shetani wa CCM - kijani aliyejificha kwenye gwanda la khaki la CHADEMA...!!
Katika VideoAudio Clip hiyo, Balozi Dr. Wilbroad Slaa aliyewahi kuwa katibu mkuu wa CHADEMA kwa miaka 12 (2003 - 2015) na kufanya kazi chini ya uenyekiti wa Freeman Mbowe anafichua siri ya vikao kati ya Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa CCM (Taifa) ambaye pia ni Rais wa JMT Bi. Samia Suluhu Hassan...
Dr Wilbroad Slaa anasema, amepewa taarifa na vijana wake ndani ya Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) juu ya kikao kati Rais Samia/CCM na Freeman Mbowe kujadili namna atakavyosaidiwa kushinda uenyekiti...
Anaendelea kusema kuwa, Rais Samia amekubali kumuongezea pesa Freeman Mbowe ili kugharamia mikakati ya ushindi wake na kwa hiyo wajumbe wajiandae kula pesa za bure za Samia Suluhu Hassan...
Aidha ameitahadharisha kambi ya Tundu Lissu kufahamu kuwa, Freeman Mbowe atapata msaada toka TISS, polisi na UVCCM wengi wataingia kama wajumbe wapiga kura na watavalishwa magwanda au jezi rasmi za CHADEMA...
Je, wajumbe 1,200 watashindwa kufahamiana na kudhibitiana ndani ya ukumbi? Timu Tundu Lissu fahamuni hili, jiandaeni kwa mapambano. Fanyeni kama TLS walivyofanya kumpigani Boniface Mwabukusi na kuibuka mshindi wa u - Rais wa TLS...
Nyumbu wa Sultan Mbowe tulieni dawa iwaingie fresh,boss wenu anataka kuifanya Chadema kitengo cha CCM cha kupooza mageuzi ya kweli. Mwamba kavuta 12b na anataka aongezewe mzigo sijui kama anawagawia au anabunya mwenyewe tu.Alipolamba ubalozi hakusema kahongwa.
Alipolipiwa Serena hakusema chochote.
Dr Slaa alishaondoka CDM sijui anawashwa na nini.
Nilisema na nitasema tena na tena Lissu hana wapiga kura.
Lissu ana wadhabiki Club House ambao si wapiga kura.
Lissu kaingizwa chaka,atuliea keshapotea katika ulingo wa siasa.