Tetesi: Balozi Dkt. Wilbroad Slaa afichua siri mpya ya mikakati ya Mbowe kushinda uenyekiti. Apewa mapesa zaidi na Rais Samia na M/kiti CCM kummaliza Lissu

Huyu msaliti a upadre mpeleke mahakamani atoe ushahidi, mbuzi takataka
 
Story za kwenye vijiwe vya boda boda.
 
We ushaona mkakati wa ushindi unapangwa hadharani hivyo.

Hapo 80% ya diaspora wana sikiliza sio kwa kujali bali wako vitandani wanatafuta usingizi. Rant kama hizo za mambo ya nchi yao zinaliwaza stress.
Kina Samora Michel wa Msumbiji na wenzake harakati zao kuiokomboa nchi yao toka kwa ukoloni wa Kireno zilikuwa zinafanyika wakiwa nje na wenzao wengine wakiwa ndani ya nchi...

Tena wakati huo teknolojia ya mawasiliano ilikuwa duni sana ukilinganisha na sasa...

Kwa leo, ishu nyeti kabisa inaweza kufanyikia ikulu ya magogoni DSM lakini ikaibukia London Uingereza...!

Kuweni makini. Msifikiri hamjulikani...
 
Huyu msaliti a upadre mpeleke mahakamani atoe ushahidi, mbuzi takataka
Usimchukulie poa Dr. Slaa wewe hao anaowasema usalama wa taifa huenda ni sehemu yao maana najua wako level tofauti tofauti lakini mama lazima alifanye hilo ili akipita Mbowe ni rahisi kumwamuru aweke mgombea dhaifu na atakayefuata matakwa ya Samia.

La fomu moja ni kama kalifanikisha sasa anataka na upinzani uwe dhaifu ili asipate shida kwenye kampeni maana ni mweupe sana hoja za kukubalika kwa wapiga kura.
 
We ushaona mkakati wa ushindi unapangwa hadharani hivyo.

Hapo 80% ya diaspora wana sikiliza sio kwa kujali bali wako vitandani wanatafuta usingizi. Rant kama hizo za mambo ya nchi yao zinaliwaza stress.
Hizo tetesi zimeanzia Twitter na Dr Slaa kazungumzia hilo suala, mtu kalambishwa asali ya 12B+ lazima pachangamke, 12B sio pesa ya kitoto 🤣
 
Mkuu embu jiunge sauti ya wa Tanzania kama bado.

Hapo room ikifunguliwa utaona watu kadhaa wanaomba kuongea. Baada ya masaa kadhaa wakiitwa japo bado wapo ila washambonji kitambo. .

Wana kundi lao la wakereketwa wachache, halafu moderator ni madiketa hao Kim Jong Un (afadhali).

Sasa audio kama hiyo ukiipiga kwenye mkutano wa CDM na kuwaambia wapiga kura wa mkutano mkuu, hawa ndio walio nyuma ya Lissu wakiongozwa na Dr Slaa si umeshamaliza kazi mapema.

Ni watu wanaojifurahisha tu
 
Wamachame wamevurugwa sana na counter attack ya Lissu kila mmoja anabwabwaja kivyake utafikiri wamekunywa maji ya chooni.
 
Mbona yeye alipewa na ubalozi akahongwa!
Simtetei huyu lakini walau yeye alifanya hadharani na kila mtu aliona, mwamba (kama madai ya Dr. Slaa ni ya kweli ) kafanya gizani, watu hawaoni and hence jambo alilolifanya ni OVU mbele ya jamii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…