DOKEZO Balozi Dkt. Wilbroad Slaa kuvuliwa ubalozi na kukamatwa!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Umeamua kuleta uzushi wako hapa, hata Kidata alivuliwa hadhi ya ubalozi na shujaa kwahiyo kama ulozi wako upo sahihi si jambo la ajabu.

Huyo babu msaliti kwa wenzie hana moral authority ya kuzungumzia chochote maana hana huo usafi.
Tunakudeku tu sisi wananchi,ila tunajua umetumwa.The baseline is this,tumechoka na usanii wa CCM na serikali yake,enough is enough muondoke mtuachie rasilimali zetu.
 
Tangu migodi ya madini iendeshwe na wageni umepata nini cha zaidi ya uchawa?
Kuongezeka kwa pato la Taifa, ambapo inesaidia uboreshaji wa huduma za jamii ambazo nazitumia ndugu muandishi.
 
Kuongezeka kwa pato la Taifa, ambapo inesaidia uboreshaji wa huduma za jamii ambazo nazitumia ndugu muandishi.
Huduma gani za jamii zimeboreshwa zitaje kwa uchache tu, Afya? Elimu? Polisi? Pato la taifa la kwenye makaratasi?
 
Sheria zipi wanatekeleza, hizo za kutulipisha fine?
 
Huduma gani za jamii zimeboreshwa zitaje kwa uchache tu, Afya? Elimu? Polisi? Pato la taifa la kwenye makaratasi?
Hayo yako poti, kama wewe hauoni basi Watanzania wanaona.
 
Umeandika nini
 
Mungu awalinde wenye haki wake wote!!!!!

Mungu ibariki Tanzania!!
 
AIBU kwa Ccm kuogopa kukosolewa na kuanza kuwabambikizia Wapinzani KESI ngoja tuone ila Kuna balaa litaibuka
 
Umeamua kuleta uzushi wako hapa, hata Kidata alivuliwa hadhi ya ubalozi na shujaa kwahiyo kama ulozi wako upo sahihi si jambo la ajabu.

Huyo babu msaliti kwa wenzie hana moral authority ya kuzungumzia chochote maana hana huo usafi.
Je bado no uzushi au??
 
CCM wanahangaika sana kama kuku mtetea πŸ˜€ πŸ˜€
 
Umeamua kuleta uzushi wako hapa, hata Kidata alivuliwa hadhi ya ubalozi na shujaa kwahiyo kama ulozi wako upo sahihi si jambo la ajabu.

Huyo babu msaliti kwa wenzie hana moral authority ya kuzungumzia chochote maana hana huo usafi.

Yametimia
 
Majizi yameambia ukweli wa mkataba yameona aibu yanamalizia hasira kwa Slaa, mlegea macho utafikiri imo hapo anahisi kifua kinapasuka na kufura kwa hasira.

Maji hayuzuiwi kwa kuta bali yanatafutiwa njia, hata mkimvua ukweli kawambia.
 
Akijibu nistue
Huwez ukapewa heshima ukaipigia deki.

Ama kama ameona upinzani una tija, hakupaswa kuachana Cha CDM kwa sabab ya lowasa. Sisi wanachi tilitaka mabadiliko yeye hakutaka, sijawahi kuumizwa na maamuzi ya kumfelisha lowasa. They can just kil hem
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…