Tunakudeku tu sisi wananchi,ila tunajua umetumwa.The baseline is this,tumechoka na usanii wa CCM na serikali yake,enough is enough muondoke mtuachie rasilimali zetu.Umeamua kuleta uzushi wako hapa, hata Kidata alivuliwa hadhi ya ubalozi na shujaa kwahiyo kama ulozi wako upo sahihi si jambo la ajabu.
Huyo babu msaliti kwa wenzie hana moral authority ya kuzungumzia chochote maana hana huo usafi.
Kuongezeka kwa pato la Taifa, ambapo inesaidia uboreshaji wa huduma za jamii ambazo nazitumia ndugu muandishi.Tangu migodi ya madini iendeshwe na wageni umepata nini cha zaidi ya uchawa?
Huduma gani za jamii zimeboreshwa zitaje kwa uchache tu, Afya? Elimu? Polisi? Pato la taifa la kwenye makaratasi?Kuongezeka kwa pato la Taifa, ambapo inesaidia uboreshaji wa huduma za jamii ambazo nazitumia ndugu muandishi.
Sheria zipi wanatekeleza, hizo za kutulipisha fine?We endelea ku"zuga" tuu, sisi tunakanyaga twende.
Mkapa aliambiwa hivyo hivyo anauza nchi, je ni kweli nchi imeuzwa, Mama aendelee na huu mpango sio lazima sote tukubaliane ila dhamira ya Mama ni nyeupe sana hatuihitaji kuwa kama Masai ng'ombe 5,000 halafu anaishi maisha duni.
Mbona migodi inaendeshwa na wageni na kila wakati tunatunga sheria mpya za madini na wanatekeleza?
Sheria zipi wanatekeleza, hizo za kutulipisha fine?
Hayo yako poti, kama wewe hauoni basi Watanzania wanaona.Huduma gani za jamii zimeboreshwa zitaje kwa uchache tu, Afya? Elimu? Polisi? Pato la taifa la kwenye makaratasi?
Watanzania wapi wana maisha mazuri, au unawasemea kina Makamba na kina Kikwete and the like, au unafikiri sisi hatuishi Tanzania.Hayo yako poti, kama wewe hauoni basi Watanzania wanaona.
Umeandika niniSISI TUNAOTUMIA BANDARI HII MARA KWA MARA HATUFURAHISHWI NA UZEZETA NA UKIRITIMBA ULIOPO HAPO BANDARINI,UNALERETA KWA CONTAINE DU DUBAI,UNASUBIRI PLASIE CLEERIE SIKU 60-70,LOUDGING HOUSE NA PASEE YOTE INAISHIA HUMO,HASARA KUKWA KWA KWELI,KAMA ATAINGIA NA KASI ITAZIDI ITAKUWA BIER,HASARA NI KUBWA SANA!
Kama msomaji wa JF, kuwa wa kwanza kuipata hii habari.
Ndio vyanzo vya ndani kabisa vinavyotanabaisha.
Ilikuwa akamatwe jumanne, lakini wakaona kwanza wapime upepo kuona baadhi ya matukio waliyopanga kama yatapunguza nguvu ya mkutano wao, sasa hii habari ya mkutano wao tena kupangwa tarehe 23/07 badala ya 22/07 ndio kabisa imewavuruga Serikali.
Kuna pdf inaandaliwa vizuri tu, apokonywe ubalozi na baadhi ya taratibu, lakini wanaona hiyo haitoshi, wanataka kumkamata hasa siku ya mkutano katika kujaribu kuzima huu moto wa kuonesha ubovu wa mkataba wa bandari..." Wakiona upepo mbaya, mkutano nao unaweza kuzuiwa kwa sababu za #kiintelijensia#
AIBU kwa Ccm kuogopa kukosolewa na kuanza kuwabambikizia Wapinzani KESI ngoja tuone ila Kuna balaa litaibukaKama msomaji wa JF, kuwa wa kwanza kuipata hii habari.
Ndio vyanzo vya ndani kabisa vinavyotanabaisha.
Ilikuwa akamatwe jumanne, lakini wakaona kwanza wapime upepo kuona baadhi ya matukio waliyopanga kama yatapunguza nguvu ya mkutano wao, sasa hii habari ya mkutano wao tena kupangwa tarehe 23/07 badala ya 22/07 ndio kabisa imewavuruga Serikali.
Kuna pdf inaandaliwa vizuri tu, apokonywe ubalozi na baadhi ya taratibu, lakini wanaona hiyo haitoshi, wanataka kumkamata hasa siku ya mkutano katika kujaribu kuzima huu moto wa kuonesha ubovu wa mkataba wa bandari." Wakiona upepo mbaya, mkutano nao unaweza kuzuiwa kwa sababu za kiintelijensia.
Je bado no uzushi au??Umeamua kuleta uzushi wako hapa, hata Kidata alivuliwa hadhi ya ubalozi na shujaa kwahiyo kama ulozi wako upo sahihi si jambo la ajabu.
Huyo babu msaliti kwa wenzie hana moral authority ya kuzungumzia chochote maana hana huo usafi.
Umeamua kuleta uzushi wako hapa, hata Kidata alivuliwa hadhi ya ubalozi na shujaa kwahiyo kama ulozi wako upo sahihi si jambo la ajabu.
Huyo babu msaliti kwa wenzie hana moral authority ya kuzungumzia chochote maana hana huo usafi.
NAKAZIAyametimia
Akijibu nistueJe bado no uzushi au??
Huwez ukapewa heshima ukaipigia deki.Akijibu nistue