DOKEZO Balozi Dkt. Wilbroad Slaa kuvuliwa ubalozi na kukamatwa!

DOKEZO Balozi Dkt. Wilbroad Slaa kuvuliwa ubalozi na kukamatwa!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Zimwi la DP World kwa sasa haliwezi kunyamazishwa kwa namna yoyote ile. Iwe kwa vitisho, kuwateka watu, kutumia propaganda au njia nyingine yotote ile, haitawezekana kabisa.

Zimwi hili lipo kila mahali, mitaani, majumbani, na popote pale.

Damu ya mwanamapinduzi JPM haiwezi kupotea bure tu, ni lazima izae matunda na matunda yenyewe ndo haya.

Watu wapo tayari kwa lolote lile kwa ajili ya kutetea Rasilimali za Nchi kama JPM alivyojitoa sadaka kwa ajili ya hilo.
 
nani amekwambia kuzungumzia mkataba mbovu wa bandari inahitaji uwe na moral authority? na ni kwa nini issue ya bandari inaihusisha na kuondoka kwake chadema?
Hiyo ni CV yake inaenda naye mahala popote aendapo huwezi kosa kuzungumzia tabia zake za kiusaliti.
 
Zimwi la DP World kwa sasa haliwezi kunyamazishwa kwa namna yoyote ile. Iwe kwa vitisho, kuwateka watu, kutumia propaganda au njia nyingine yotote ile, haitawezekana kabisa.

Zimwi hili lipo kila mahali, mitaani, majumbani, na popote pale.

Damu ya mwanamapinduzi JPM haiwezi kupotea bure tu, ni lazima izae matunda na matunda yenyewe ndo haya.

Watu wapo tayari kwa lolote lile kwa ajili ya kutetea Rasilimali za Nchi kama JPM alivyojitoa sadaka kwa ajili ya hilo.

Huyo mwanamapinduzi ndio muasisi wa huu mpango, aliwapa muda tuu "Tiktsi" ili wafungashe mizigo yao.
 
Hiyo ni CV yake inaenda naye mahala popote aendapo huwezi kosa kuzungumzia tabia zake za kiusaliti.
gandamana na fikra potofu tu....kwenye siasa hakuna usaliti, kuna fursa....akili kubwa tu ndiyo wanaelewa hili.
 
Kama msomaji wa JF, kuwa wa kwanza kuipata hii habari.

Ndio vyanzo vya ndani kabisa vinavyotanabaisha.

Ilikuwa akamatwe jumanne, lakini wakaona kwanza wapime upepo kuona baadhi ya matukio waliyopanga kama yatapunguza nguvu ya mkutano wao, sasa hii habari ya mkutano wao tena kupangwa tarehe 23/07 badala ya 22/07 ndio kabisa imewavuruga Serikali.

Kuna pdf inaandaliwa vizuri tu, apokonywe ubalozi na baadhi ya taratibu, lakini wanaona hiyo haitoshi, wanataka kumkamata hasa siku ya mkutano katika kujaribu kuzima huu moto wa kuonesha ubovu wa mkataba wa bandari..." Wakiona upepo mbaya, mkutano nao unaweza kuzuiwa kwa sababu za #kiintelijensia#


Namwelewaga sana Dr Slaa na sasa alitakiwa ajiondoe mwenyewe
Maana anapingana na anachokiwakilisha
 
gandamana na fikra potofu tu....kwenye siasa hakuna usaliti, kuna fursa....akili kubwa tu ndiyo wanaelewa hili.

Ndo hiyo fursa imegandamana naye kuwa ni mtu msaliti msaliti tuu hata huo ubalozi sijui ilikuwaje wakampa wakati wanamjua alivyo msaliti.
 
Ndo hiyo fursa imegandamana naye kuwa ni mtu msaliti msaliti tuu hata huo ubalozi sijui ilikuwaje wakampa wakati wanamjua alivyo msaliti.
ndiyo sababu nimekwambia ni fursa kisha unauliza walimpaje ubalozi...wake up. acha visirani vya kijinga.
 
ndiyo sababu nimekwambia ni fursa kisha unauliza walimpaje ubalozi...wake up. acha visirani vya kijinga.
Ndo hata wakimuondolea hiyo hadhi watakuwa hawajakosea kabisa anastahili, maana msaliti huwa aachi usaliti hata siku moja.
 
Naaam haiwezekani alituzunguka kwenye corridor za Serena na kutuacha solemba sisi na UKAWA yetu kisha kuhongwa ubalozi sasa anatoa wapi hizo nguvu hata aibu haoni? Anafikiri tumesahau?
Aliewazunguka ni alie mkaribisha Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea Urais, kwanini mnashindwa kuliona hilo?

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Kuna pdf inaandaliwa vizuri tu, apokonywe ubalozi na baadhi ya taratibu, lakini wanaona hiyo haitoshi, wanataka kumkamata hasa siku ya mkutano katika kujaribu kuzima huu moto wa kuonesha ubovu wa mkataba wa bandari..." Wakiona upepo mbaya, mkutano nao unaweza kuzuiwa kwa sababu za #kiintelijensia# [emoji3064]
huku ndo tulipoangukia .... sasa kuna kule tulipojikwaa...
 
USTAARABU KITU CHA BURE,HAIWEZEKANI MTU ATUKANE HOVYO HOVYO BILA STAHA HAKIKA HILI HALIKUBALIKI -TUWAJIBISHANE NA TUFUNDISHANE ADABU NA HESHIMA-
 
Kama msomaji wa JF, kuwa wa kwanza kuipata hii habari.

Ndio vyanzo vya ndani kabisa vinavyotanabaisha.

Ilikuwa akamatwe jumanne, lakini wakaona kwanza wapime upepo kuona baadhi ya matukio waliyopanga kama yatapunguza nguvu ya mkutano wao, sasa hii habari ya mkutano wao tena kupangwa tarehe 23/07 badala ya 22/07 ndio kabisa imewavuruga Serikali.

Kuna pdf inaandaliwa vizuri tu, apokonywe ubalozi na baadhi ya taratibu, lakini wanaona hiyo haitoshi, wanataka kumkamata hasa siku ya mkutano katika kujaribu kuzima huu moto wa kuonesha ubovu wa mkataba wa bandari..." Wakiona upepo mbaya, mkutano nao unaweza kuzuiwa kwa sababu za #kiintelijensia#
Wakijaribu kufanya hivyo watampaisha sana kisiasa na pengine kugombea urais atatoa upinzani mkali haswa 2025 kwa CCM
 
Back
Top Bottom