DOKEZO Balozi Dkt. Wilbroad Slaa kuvuliwa ubalozi na kukamatwa!

DOKEZO Balozi Dkt. Wilbroad Slaa kuvuliwa ubalozi na kukamatwa!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hili suala la Mkataba wa chief mangungo wa kuuzwa bandari yetu milele litatugawa Taifa Zima pande mbili , wanaokubali na wanaokataa na Kwa vile bandari waarabu wamepewa milele basi Mgogoro huu nao ni WA milele daima dumu! Kamwe watz Hatutokubaliana milele!
umoja wa Taifa la Nyerere kwishney!

Huyo Bw Slaay ana haki kama raia kulalamika maana hakuna mmiliki wa nchi au Mali za nchi!

Ila mi niko upande wa HAPANA! Kama ukiwekwa ukomo wa Mkataba nakuwa NDIYO! Mlio upande wa Ndiyo poleni kwa kuendekeza ujinga na utumwa wa mtu mweusi!
 
Hili suala la Mkataba wa chief mangungo wa kuuzwa bandari yetu milele litatugawa Taifa Zima pande mbili , wanaokubali na wanaokataa na Kwa vile bandari waarabu wamepewa milele basi Mgogoro huu nao ni WA milele daima dumu! Kamwe watz Hatutokubaliana milele!
umoja wa Taifa la Nyerere kwishney!

Huyo Bw Slaay ana haki kama raia kulalamika maana hakuna mmiliki wa nchi au Mali za nchi!

Ila mi niko upande wa HAPANA! Kama ukiwekwa ukomo wa Mkataba nakuwa NDIYO! Mlio upande wa Ndiyo poleni kwa kuendekeza ujinga na utumwa wa mtu mweusi!
We endelea ku"zuga" tuu, sisi tunakanyaga twende.

Mkapa aliambiwa hivyo hivyo anauza nchi, je ni kweli nchi imeuzwa, Mama aendelee na huu mpango sio lazima sote tukubaliane ila dhamira ya Mama ni nyeupe sana hatuihitaji kuwa kama Masai ng'ombe 5,000 halafu anaishi maisha duni.

Mbona migodi inaendeshwa na wageni na kila wakati tunatunga sheria mpya za madini na wanatekeleza?
 
Huyo si wa kufungwa, apelekwe mental hospital. Yeye na Lussu.

Wehu wawili wawe wanapiga story huko.

Nilisema jana, simshangai Slaa, nawashangaa wanaomfata huyo mzee aliyekosa maadili hata ya uchungaji kondoo kanisani.

Niliwahi kuandika haya, bofya chini, kuhusu Slaa miaka mingi sana nyuma:


 
Mjinga akipewa Mamulaka, ni huzuni tupu!!.


Mimi Kila siku nawaambia ,huyu mama ni wa Hatari sana ,ni wa Hatari Kwa sababu HANA UWEZO, jambo linamfanya atagemee watu kuendelea kuwepo, na Kwa sababu HANA UWEZO, watu wa namna hii Huwa ni Hatari sana ,wanatumia Kila mbinu kuhakikisha wanakuwepo .
 
IMG-20230720-WA0093.jpg
 
Huyo si wa kufungwa, apelekwe mental hospital. Yeye na Lussu.

Wehu wawili wawe wanapiga story huko.

Nilisema jana, simshangai Slaa, nawashangaa wanaomfata huyo mzee aliyekosa maadili hata ya uchungaji kondoo kanisani.

Niliwahi kuandika haya, bofya chini, kuhusu Slaa miaka mingi sana nyuma:


20230714_102227.jpg
 
We endelea ku"zuga" tuu, sisi tunakanyaga twende.

Mkapa aliambiwa hivyo hivyo anauza nchi, je ni kweli nchi imeuzwa, Mama aendelee na huu mpango sio lazima sote tukubaliane ila dhamira ya Mama ni nyeupe sana hatuihitaji kuwa kama Masai ng'ombe 5,000 halafu anaishi maisha duni.

Mbona migodi inaendeshwa na wageni na kila wakati tunatunga sheria mpya za madini na wanatekeleza?
huu mkataba unaruhusu sheria mpya kubadilisha kifungu cha mkataba? . utaje na kifungu kwenye mkataba
 
Napingana na Dr. Slaa kwa mengi lakini kwenye hili la bandari amesaidia sana kuonesha sana uzalendo na kujitoa kuipigania Tanganyika kwa jasho na damu

Sent using Jamii Forums mobile app
Natamani kwa sasa CDF Gen Mkunda naye atoe maoni yake kuhusu bandari. Na kwa usomi wake na uzalendo alionao hayatapishana na Dr Slaa, jee naye watamnyanganya ujenerali wake? Watamvua uCDF? Na mwisho watamkamata na kumtupa Lupango?
Nadhani hapo ndio penyewe! Tunatamani tupashuhudie kwa macho yetu.
Nadhani tupaze sauti tuimbe "njoo upesi, njoo upesi fika utoe neno".
 
Kama msomaji wa JF, kuwa wa kwanza kuipata hii habari.

Ndio vyanzo vya ndani kabisa vinavyotanabaisha.

Ilikuwa akamatwe jnne, lakini wakaona kwanza wapime upepo kuona baadhi ya matukio waliyopanga kama yatapunguza nguvu ya mkutano wao, sasa hii habari ya mkutano wao tena kupangwa tarehe 23/07 badala ya 22/07 ndio kabisa imewavuruga serikali. . .

Kuna pdf inaandaliwa vizuri tu, apokonywe ubalozi na baadhi ya taratibu, lakini wanaona hiyo haitoshi, wanataka kumkamata hasa siku ya mkutano katika kujaribu kuzima huu moto wa kuonesha ubovu wa mkataba wa bandari..." Wakiona upepo mbaya, mkutano nao unaweza kuzuiwa kwa sababu za #kiintelijensia#
Mama anafungua nchi
Mama anakonga mioyo ya Watanzania
Mama ameleta muafaka wa kisiasa.....



Hii ni chorus. Tunga wimbo
 
Umeamua kuleta uzushi wako hapa, hata Kidata alivuliwa hadhi ya ubalozi na shujaa kwahiyo kama ulozi wako upo sahihi si jambo la ajabu.

Huyo babu msaliti kwa wenzie hana moral authority ya kuzungumzia chochote maana hana huo usafi.
Slaa hakusaliti cdm bali alimkataa fisadi Lowasa.
Huu ni msimamo bora kabisa
 
Kama msomaji wa JF, kuwa wa kwanza kuipata hii habari.

Ndio vyanzo vya ndani kabisa vinavyotanabaisha.

Ilikuwa akamatwe jnne, lakini wakaona kwanza wapime upepo kuona baadhi ya matukio waliyopanga kama yatapunguza nguvu ya mkutano wao, sasa hii habari ya mkutano wao tena kupangwa tarehe 23/07 badala ya 22/07 ndio kabisa imewavuruga serikali. . .

Kuna pdf inaandaliwa vizuri tu, apokonywe ubalozi na baadhi ya taratibu, lakini wanaona hiyo haitoshi, wanataka kumkamata hasa siku ya mkutano katika kujaribu kuzima huu moto wa kuonesha ubovu wa mkataba wa bandari..." Wakiona upepo mbaya, mkutano nao unaweza kuzuiwa kwa sababu za #kiintelijensia#
Tena amecheleweshwa sana
 
Back
Top Bottom