DOKEZO Balozi Dkt. Wilbroad Slaa kuvuliwa ubalozi na kukamatwa!

DOKEZO Balozi Dkt. Wilbroad Slaa kuvuliwa ubalozi na kukamatwa!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Natamani kwa sasa CDF Gen Mkunda naye atoe maoni yake kuhusu bandari. Na kwa usomi wake na uzalendo alionao hayatapishana na Dr Slaa, jee naye watamnyanganya ujenerali wake? Watamvua uCDF? Na mwisho watamkamata na kumtupa Lupango?
Nadhani hapo ndio penyewe! Tunatamani tupashuhudie kwa macho yetu.
Nadhani tupaze sauti tuimbe "njoo upesi, njoo upesi fika utoe neno".
Thubutuuu...[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We endelea ku"zuga" tuu, sisi tunakanyaga twende.

Mkapa aliambiwa hivyo hivyo anauza nchi, je ni kweli nchi imeuzwa, Mama aendelee na huu mpango sio lazima sote tukubaliane ila dhamira ya Mama ni nyeupe sana hatuihitaji kuwa kama Masai ng'ombe 5,000 halafu anaishi maisha duni.

Mbona migodi inaendeshwa na wageni na kila wakati tunatunga sheria mpya za madini na wanatekeleza?
Na hapo ndipo alipokosea Mkapa. Kugawa madini na migodi kama vile vimemchosha kwa mrahaba wa 3% !!. Makosa kama hayo yakafanywa tena kwenye Gas na mafuta 2015 !!. Na sasa bandari, misitu, mbuga za wanyama nk.

Hii nchi tunao umasikini wa akili. Na wanaotutawala wanahakikisha tuna endelea kuwa masikini wa ubongo.
 
Na hapo ndipo alipokosea Mkapa. Kugawa madini na migodi kama vile vimemchosha kwa mrahaba wa 3% !!. Makosa kama hayo yakafanywa tena kwenye Gas na mafuta 2015 !!. Na sasa bandari, misitu, mbuga za wanyama nk.

Hii nchi tunao umasikini wa akili. Na wanaotutawala wanahakikisha tuna endelea kuwa masikini wa ubongo.
Kwasasa madini yanachangia kiasi gani kwenye GDP?
 
Kama intelligence yao inawaambia wakimkamata Dr Slaa mkutano hautafanyika wanajidanganya na wamechelewa. Jumapili Temeke itaandikwa historia ambayo hawataamini!

Kwa ufupi hawatafanikiwa na hakuna Dr Slaa asichofahamu.
 
Kuna pdf inaandaliwa vizuri tu, apokonywe ubalozi na baadhi ya taratibu, lakini wanaona hiyo haitoshi, wanataka kumkamata hasa siku ya mkutano katika kujaribu kuzima huu moto wa kuonesha ubovu wa mkataba wa bandari..." Wakiona upepo mbaya, mkutano nao unaweza kuzuiwa kwa sababu za #kiintelijensia#
'Wrong and bad move' ila ni kama hili ni la ukweli.

Serikali iunde timu ya watu wasomi wenye weledi (wataalamu wa mikataba ya kimataifa, shipping, uwekezaji) wanaokubaliana na huu mkataba ili kujibu hoja za wakosoaji (mbona rahisi sana hii).
 
Huu mkataba una dalili zote za kiwizi, kijambazi na kifisadi!
Ndio maana nguvu kubwa sana na za kishetani zinatumika!
Mtakamata robo ya wa-Tz wote kwa mwendendo huu wa CCM
 
Wanazuia tsunami kwa mikono watanzania hatutaki bandari kuuzwa kwa bed chew na milele Hapana Hapana
Majizi wa bandarini ndio hswatski bandari ibinafisishwe.Tumia akili kitu kisichohamishika atauziwe mgeni?Na huyo mgeni atakuwa hana akili,anunue kisichohamishika kwenye nchi nyingine.Tumia akili,usidanganyike.
 
Kama intelligence yao inawaambia wakimkamata Dr Slaa mkutano hautafanyika wanajidanganya na wamechelewa. Jumapili Temeke itaandikwa historia ambayo hawataamini!

Kwa ufupi hawatafanikiwa na hakuna Dr Slaa asichofahamu.
CCM kila uchao ni wizi! Ufisadi! Unyanganyi! Kudhulumu! We are tired CCM, go to hell
 
Kwa sakata hili lilipofikia kama DP World wangekuwa genuine basi wangeachana na hii drama, ila inavyoonekana hawa waraabu ni currupt na ndiyo sababu bado wamo watu kinguvu.

Ni kama wanalazimisha dili wakati sisi wenye mali (watanganyika) tumeshawagomea.
 
Naaam haiwezekani alituzunguka kwenye corridor za Serena na kutuacha solemba sisi na UKAWA yetu kisha kuhongwa ubalozi sasa anatoa wapi hizo nguvu hata aibu haoni? Anafikiri tumesahau?
Kosa lake nini kwenye hili la Bandari?
 
CCM kila uchao ni wizi! Ufisadi! Unyanganyi! Kudhulumu! We are tired CCM, go to hell
wanasema hivi utake usitake CCM ni kila kitu nchi hii huwezi kuikwepa, ni kama maji ya kunywa bwa shee yaani you cant survice without - ukitaka mambo yako yaende vizuri basi bakia CCM, ishabikie CCM na ilinde au kama huitaki sawa ila kaa kimya kama unanyolewa, kuchoronga mdomo ni kujitafutia makuu.
 
Naaam haiwezekani alituzunguka kwenye corridor za Serena na kutuacha solemba sisi na UKAWA yetu kisha kuhongwa ubalozi sasa anatoa wapi hizo nguvu hata aibu haoni? Anafikiri tumesahau?
Angalia hoja zake kuhusu Hilo libandari usimuangalie kama slaa msaliti...UTAMUELEWA TU
 
Umeamua kuleta uzushi wako hapa, hata Kidata alivuliwa hadhi ya ubalozi na shujaa kwahiyo kama ulozi wako upo sahihi si jambo la ajabu.

Huyo babu msaliti kwa wenzie hana moral authority ya kuzungumzia chochote maana hana huo usafi.
nani amekwambia kuzungumzia mkataba mbovu wa bandari inahitaji uwe na moral authority? na ni kwa nini issue ya bandari inaihusisha na kuondoka kwake chadema?
 
Umeamua kuleta uzushi wako hapa, hata Kidata alivuliwa hadhi ya ubalozi na shujaa kwahiyo kama ulozi wako upo sahihi si jambo la ajabu.

Huyo babu msaliti kwa wenzie hana moral authority ya kuzungumzia chochote maana hana huo usafi.
Mnaoutetea huu mkataba mna moral authority?
Mna usafi WOWOTE?au ni UCHAWA TU UNAWASUMBUA
 
Back
Top Bottom