King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Sizungumzii kujilkana na watu wachache wa vijiweni nazungumzia kujulikani globally(TZ) sio kimtaa,Nenda Rudi hapa tunazungumzia wimbo uliomtambulisha dola soul ni kwenye chati hizo unazozitaja wewe labda alikuwa anakusikilizisha ghetto kwenu.umekimbilia mbali umesahau ulipotoka..ulidai dola soul anamjua nani!?..ndomana nakuelewesha kwamba sugu kavuma kabla ya redio za fm kuwapo..hajavuma mwaka 2000+ kama unavojua wewe..ana albam inaitwa ' king kong'
Seriously?hlf hy degree ake kwa hapa TZ n kama chet tuuu
Mwenzake siku hz kawa sheikhPatna wa Saigon oi oi diplomat
Haterhlf hy degree ake kwa hapa TZ n kama chet tuuu
Unaishi mpk leoBalozi alitoa Wimbo mmoja tu ndio uliomtambulisha sana kwenye chati.
Mwenzake siku hz kawa sheikh
haterHater
Yeah dude limesimama sana halichuji.Unaishi mpk leo
Halichuji kwa sababu alidesa beat la Still ya Dr Dre featuring Snoopy Doggy.Yeah dude limesimama sana halichuji.
Alidessa kivipi sijakuelewaHalichuji kwa sababu alidesa beat la Still ya Dr Dre featuring Snoopy Doggy.
Na wewe unafuatlia nyimbo kama hizo?Unaishi mpk leo
Thubutu, ungejua hata usingesema hivyohlf hy degree ake kwa hapa TZ n kama chet tuuu
Inaitwa sampling,hata huko ughaibuni wana sample nyimbo za wengine kuanzia instrumental mpaka mashairi.sio jambo baya wala la ajabu.Halichuji kwa sababu alidesa beat la Still ya Dr Dre featuring Snoopy Doggy.