Wanatamani wampeleke hata sayari ya mars maana anawasumbua balaa.Great thinkers kama tunavyofahamu tukio la msiba mkubwa wa taifa wa Mh. Membe bado kama taifa tunaomboleza.
Ninashauri Rais Dkt Samia akitaka mambo yake ya 2025 yaende amteue Mh. Balozi Polepole kwa nafasi wa Waziri wa Habari. Werevu na hekima ya Polepole ni muhimu ktk kipindi hiki ambapo taifa linapitia kipindi kigumu cha watu kushangilia misiba ya viongozi wa kitaifa.
V80Ninashauri Rais Dkt Samia akitaka mambo yake ya 2025 yaende amteue Mh. Balozi Polepole kwa nafasi wa Waziri wa Habari. Werevu na hekima ya Polepole ni muhimu ktk kipindi hiki ambapo taifa linapitia kipindi kigumu cha watu kushangilia misiba ya viongozi wa kitaifa.
Hapana, Mkuu. Kwa Sasa anafanya vema huko Cuba.Inabidi arudi tu sasa karibu hakuna namna
Bado Nape anafaa.Nani sasa anafaa kuwa waziri wa habari?
Kama mganga wake kafa naye hafai kama vile alivyowahi tamka enzi zile za kufariki Dkt Magufuli. Nina uhakika lazima atatenguliwa! Maana anaweza hata kumdhuru rais wetu kwa sababu anaweza dhani fitina za urais dodo kaondokaBado Nape anafaa.
😆😆😆😆Great thinkers kama tunavyofahamu tukio la msiba mkubwa wa taifa wa Mh. Membe bado kama taifa tunaomboleza.
Ninashauri Rais Dkt Samia akitaka mambo yake ya 2025 yaende amteue Mh. Balozi Polepole kwa nafasi wa Waziri wa Habari. Werevu na hekima ya Polepole ni muhimu ktk kipindi hiki ambapo taifa linapitia kipindi kigumu cha watu kushangilia misiba ya viongozi wa kitaifa.