Balozi Kagasheki: TCRA Mnachekesha

Balozi Kagasheki: TCRA Mnachekesha

Nchi yetu hii. Kweli Lawrence Masha alikuwa Waziri na Mzee wetu Balozi Kagasheki Hamis
akawa msaidizi wa Waziri. Umri, elimu exposure. Kweli Masha anamtuma kaka yake. Jk hukutenda haki hata kidogo
 
Yaani Africa nzima ni moja na tabia zao ni moja

Rais akikanyaga katiba na wa chini wote wataogopa na kufanya anavyotaka
Na Rais ana mamlaka makubwa ya kumfanya awaambie wa chini la kufanya

Tuliona hawa hawa waliokuwa awamu ya 5 jinsi walivyotupelekesha na kukubali kuvunja sheria zote huku wakikingiwa vifua na yule

Leo kaja Rais mwingine na beat tofauti wao wanacheza na yeyote mradi wasikie mdundo tu
 
Anaandika Balozi Khamis Sued Kagasheki kupitia ukurasa wake wa Twitter na ninamnukuu;

Humphrey siyo rafiki yangu. Pia siyo adui yangu. Sikuwahi kuketi popote na yeye kwa maongezi. Mara moja tu niliongea nae kwa simu kuhusu jambo lililo mhusu mwanachama mwenzetu na Boss wake (Bashiru) alikuwa kalivalia njuga. Inasemekana zipo tuhuma zinazo mkabili na Chama chetu hakijatoa hukumu dhidi yake mpaka kisikie utetezi wake. Kingeweza kumchukulia hatua bila hata kufuata taratibu kama tulivyo ona huko nyuma. Najiuliza, TCRA kabla ya hatua zao dhidi ya Polepole, walimpa fursa ya kujieleza? Alisikilizwa? Alisema nini?

Nimeusikiliza mlolongo wa tuhuma dhidi yake lakini nikazidi kujiuliza ‘na ikawaje akapewa leseni?’ Vitu vingine TCRA ilipaswa ivijue kabla ya kutoa leseni. Pamoja na yote “Darasa” lake halikuwa hewani siku moja au mbili kwa uchache wa siku, kweli TCRA walikuwa bado tu hawajaona kwamba leseni yao haikuwa katika mikono salama? Niwambie tu, TCRA mnachekesha.

Huu uadilifu mnaupata wapi. Awamu ya tano mmetoa leseni kwa so-called wanaharakati huru wakitukana, kudhalilisha Wazee na Wastaafu wa Taifa letu. Mpo kimya. Maongezi ya Watanzania yamedukuliwa na kuwekwa hadharani.Mpo kimya. Leo mnasimamia maadili. Really? Mimi simtetei Humphrey kama Humphrey. Kuna maswala ya msingi ambayo ni zaidi ya mtu. TCRA if you want to be correct so be it. We aren’t interested in half baked, half cooked dishes.
Balanced observation but with lots of fragility he has been kozikozii, Tareirota kwako Balozi, Thank you for daring.
 
Anaandika Balozi Khamis Sued Kagasheki kupitia ukurasa wake wa Twitter na ninamnukuu;

Humphrey siyo rafiki yangu. Pia siyo adui yangu. Sikuwahi kuketi popote na yeye kwa maongezi. Mara moja tu niliongea nae kwa simu kuhusu jambo lililo mhusu mwanachama mwenzetu na Boss wake (Bashiru) alikuwa kalivalia njuga. Inasemekana zipo tuhuma zinazo mkabili na Chama chetu hakijatoa hukumu dhidi yake mpaka kisikie utetezi wake. Kingeweza kumchukulia hatua bila hata kufuata taratibu kama tulivyo ona huko nyuma. Najiuliza, TCRA kabla ya hatua zao dhidi ya Polepole, walimpa fursa ya kujieleza? Alisikilizwa? Alisema nini?

Nimeusikiliza mlolongo wa tuhuma dhidi yake lakini nikazidi kujiuliza ‘na ikawaje akapewa leseni?’ Vitu vingine TCRA ilipaswa ivijue kabla ya kutoa leseni. Pamoja na yote “Darasa” lake halikuwa hewani siku moja au mbili kwa uchache wa siku, kweli TCRA walikuwa bado tu hawajaona kwamba leseni yao haikuwa katika mikono salama? Niwambie tu, TCRA mnachekesha.

Huu uadilifu mnaupata wapi. Awamu ya tano mmetoa leseni kwa so-called wanaharakati huru wakitukana, kudhalilisha Wazee na Wastaafu wa Taifa letu. Mpo kimya. Maongezi ya Watanzania yamedukuliwa na kuwekwa hadharani.Mpo kimya. Leo mnasimamia maadili. Really? Mimi simtetei Humphrey kama Humphrey. Kuna maswala ya msingi ambayo ni zaidi ya mtu. TCRA if you want to be correct so be it. We aren’t interested in half baked, half cooked dishes.

Kwa jinsi walivyomlinda yule MWANAHARAKATI HURU [ Musiba] wa Magufuli akitukana watu hovyo kwa kutumia media hiyo hiyo anayotumia Polepole,TCRA hawana moral authority ya kumfutia leseni Polepole !! Hii ni wazi kuwa serikali inatumiwa na ccm kutaka kumthibiti Polepole ; wameisha ona kuwa ccm kumuadhibu kwa hayo wanayoyaita makosa ya uchochezi hayana ushahidi na yanaweza kukiweka chama tawala mahala pabaya. Polepole kama tujuavyo sio mwanachama wa kawaida bali alikuwa kiongozi aliyekijua chama kwa undani akiwa katibu mwenezi hivyo hatua zozote zitakazochukuliwa dhidi yake ni lazima zitafakaliwe kwa kina!!
 
Anaandika Balozi Khamis Sued Kagasheki kupitia ukurasa wake wa Twitter na ninamnukuu;

Humphrey siyo rafiki yangu. Pia siyo adui yangu. Sikuwahi kuketi popote na yeye kwa maongezi. Mara moja tu niliongea nae kwa simu kuhusu jambo lililo mhusu mwanachama mwenzetu na Boss wake (Bashiru) alikuwa kalivalia njuga. Inasemekana zipo tuhuma zinazo mkabili na Chama chetu hakijatoa hukumu dhidi yake mpaka kisikie utetezi wake. Kingeweza kumchukulia hatua bila hata kufuata taratibu kama tulivyo ona huko nyuma. Najiuliza, TCRA kabla ya hatua zao dhidi ya Polepole, walimpa fursa ya kujieleza? Alisikilizwa? Alisema nini?

Nimeusikiliza mlolongo wa tuhuma dhidi yake lakini nikazidi kujiuliza ‘na ikawaje akapewa leseni?’ Vitu vingine TCRA ilipaswa ivijue kabla ya kutoa leseni. Pamoja na yote “Darasa” lake halikuwa hewani siku moja au mbili kwa uchache wa siku, kweli TCRA walikuwa bado tu hawajaona kwamba leseni yao haikuwa katika mikono salama? Niwambie tu, TCRA mnachekesha.

Huu uadilifu mnaupata wapi. Awamu ya tano mmetoa leseni kwa so-called wanaharakati huru wakitukana, kudhalilisha Wazee na Wastaafu wa Taifa letu. Mpo kimya. Maongezi ya Watanzania yamedukuliwa na kuwekwa hadharani.Mpo kimya. Leo mnasimamia maadili. Really? Mimi simtetei Humphrey kama Humphrey. Kuna maswala ya msingi ambayo ni zaidi ya mtu. TCRA if you want to be correct so be it. We aren’t interested in half baked, half cooked dishes.
TCRA waliufyata kwa Musiba na wanatumikishwa kama watumikishwavyo mamluki wengine
 
Kama Katiba ya sasa tu inakanyagwa, nini kitazuia hiyo katiba mpya kukanyagwa? Ishu ni watu kama watu kubadilika!
Tatizo la msingi siyo katiba, ni watu.
Ni lazima kuwepo utaratibu wa kuwashughulikia watu wanaotenda kinyume na haki, maadili, sheria na kanuni kwa kutegemea madaraka waliyonayo kwa wakati husika.
Katiba ni muhimu kwa watu wanaoweza kuwadhibiti viongozi na watumishi wa uma wanaoivunja katiba yenyewe, sheria, na kanuni kwa nia ya kupindisha haki.
 
Huu uhuni TCRA wamefundishwa na Polepole na dikteta uchwara..walitumia wahuni kutukana watu na TCRA ilikaa kimya kwa maelekezo ya akina Polepole..Japo TCRA wamefanya Jambo la kipuuzi.. lakini nafurahi kwakuwa mtego umempata aliyeutega..tuache yamkute..Tena angefungwa kabisa keko mpuuzi huyu..
 
Tanzania kuna drama..... nyingi sana especially kwenye siasa... wajinga wengi wamepewa nafasi adhimu ndani ya taasisi nyeti.., wao wanaendesha porojo na umbea bullshit....
 
Kwa jinsi walivyomlinda yule MWANAHARAKATI HURU [ Musiba] wa Magufuli akitukana watu hovyo kwa kutumia media hiyo hiyo anayotumia Polepole,TCRA hawana moral authority ya kumfutia leseni Polepole !! Hii ni wazi kuwa serikali inatumiwa na ccm kutaka kumthibiti Polepole ; wameisha ona kuwa ccm kumuadhibu kwa hayo wanayoyaita makosa ya uchochezi hayana ushahidi na yanaweza kukiweka chama tawala mahala pabaya. Polepole kama tujuavyo sio mwanachama wa kawaida bali alikuwa kiongozi aliyekijua chama kwa undani akiwa katibu mwenezi hivyo hatua zozote zitakazochukuliwa dhidi yake ni lazima zitafakaliwe kwa kina!!
hana impact yoyote. Wamemwacha tu
 
..Ila mkiambiwa Katiba Mpya mnaanza kurusha mateke..

Katiba ni muhimu ila kupata kiongozi alieimara ktk usimamizi wa hio katiba ni muhimu zaidi ya sana

Chadema kwenye katiba yao walikuwa na ukomo wa uongozi wa Mwenyekiti ila kutokana na kulewa madaraka kwa Mwenykt aliyepo basi ikafanyika figisu kipengele hicho cha ukomo kikaondolewa,,,

Tangu mwaka 2004 ( takribani miaka 17) mpaka leo hii bado Mbowe ni Mwenyekiti ilhali CCM ndani ya miaka hiyo ishapata wenyeviti WANNE tofauti

Sasa ni namna ya kushangaza kidogo, Mbowe ámbae haamini wenzake ktk kuwaachia madaraka ya uenyekiti chamani ndie anataka Watanzania wamuamini ktk kuichukua nchi mikononi mwa CCM
 
TCRA chini ya awamu ya tano ilikuwa na taratibu zake ndio maana hata wanaharakati huru wapuuzi walitukana wastaafu na wakaonekana wanafanya mema tu na kwa wakati huu awamu ya sita it play its rolls accordingly yapo mambo ambayo endapo yataachwa tu yaendelee ni hatari mno kwa tanzania yetu CONGRATULATIONS TCRA AWAMU YA SITA
 
Back
Top Bottom