Balozi Kagasheki: TCRA Mnachekesha

Nini kifanyike mkuu?
 

Na bado! Hadi hapo, kwani kiroboto mwenyewe:



anasema je?
 
Dadeq ugali Wa moto mboga ya moto,anyway mbwa humnyenyekea anayempa chakula
 
Tatizo lako unafafananisha katiba ya chama na katiba ya nchi. Tofautisha katiba ya TLP na katiba ya nchi.
 
Balozi Balozi!! Deeper in you I know oh yes I know, We have been in a situation where our state has been captured since 2015. They decide what to do to who, who to accuse and who to convict. The rule of law applies to the captives only.
 
TCRA wenyewe ni kama wanasiasa tu wenye kilemba cha profession tofauti, siku zote huendana na midundo ya mtawala aliyeko madarakani ili kumlinda na sio profession yao.
TCRA ni bendera fuata upepo, pale hakuna wele3di wala nini bali ni kusikiliza wanasiasa wanataka nini!
 
Paskali, nafahamu kuwa unaijua 'Tz Press', nje, ndani.
Nilikusikiliza Star TV, nikajiuliza kama utaalikwa tena.
Mansour wa Star TV alipata kigugumizi kuendelea kukuuliza maswali kufuatia maelezo uliyotoa.
Mfano wa Pamba kusafirishwa ghafi nje ya nchi, miaka 60 baada ya Uhuru, wakati zamani ilikuwa inachakatwa Urafiki Textile Mills na Mwatex, ilimpa mshituko Mansour aliyetegemea 'usifie mafanikio ya miaka 60'.
Hongera Paskali.
Tatizo hapa wewe ni Mwandishi wa Kujitegemea.
Wapo waandishi wanaokula Kodi za Watanzania huko TBC na Magazeti ya Serikali, ambao kazi yao ni kushindana katika kumsifia Rais na Serikali kwa matarajio ya kupata Ukuu wa Wilaya!
Hawa ni shida.
Tena Bosi wao ana PhD!

wakikualika tena,
 
Unajua shida zote hizi ni katiba yetu kuwa mbovu.Imagine hiki chombo kingekuwa absolutely independent, hizi politics za double standards za hiki chombo tusinge kuwa tunaziona.Tunaposema tunahitaji katiba mpya ambayo itapunguza madaraka makubwa ya Rais ni katika mazingira kama haya.Awamo ya 5 bwana Musiba alikuwa anajiachia kwa kuwachafua viongozi wakuu wastaafu lakini ilikuwa kimya kana kwamba TCRA hawakuwepo but leo wanamwona Polepole ni mhalifu kisa tu anaongea ukweli unao uma ! So sad kwakweli
 
TCRA ni affiliate wa chama tawala kama ilivyo UWT, policcm, gazeti la uhuru n.k wao wanafuata upepo na sii maadili ya kazi yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…