Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Balozi karume aka Hammada ,pombe imemuharibu ubongo,apuuzwe tuBalozi Karume amkosoa vikali Rais wa Zanzibar kwa sera ya kukodisha kisiwa, amuita ni "Bwana Mdogo", asema "Ni maamuzi mabovu kabisa haya"
Chanzo: Jambo TV
Jibu hoja.Balozi karume aka Hammada ,pombe imemuharibu ubongo,apuuzwe tu
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora ya huko Zanzibar wanakosoanaBalozi Karume amkosoa vikali Rais wa Zanzibar kwa sera ya kukodisha kisiwa, amuita ni "Bwana Mdogo", asema "Ni maamuzi mabovu kabisa haya"
Chanzo: Jambo TV
Hakuna mtu anasema ukweli kama mlevi, hata hivyo anayopoint, achana na ulevi wakeBalozi karume aka Hammada ,pombe imemuharibu ubongo,apuuzwe tu
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Bottomline Dr Hussein Mwinyi ni mfanyabiashara. Na hapendi kupingwa kwa maamuzi yake. Ali Karume amempa za uso, ila hana cha kumfanya na hatathubutu.Balozi Karume amkosoa vikali Rais wa Zanzibar kwa sera ya kukodisha kisiwa, amuita ni "Bwana Mdogo", asema "Ni maamuzi mabovu kabisa haya"
Chanzo: Jambo TV
Balozi karume aka Hammada ,pombe imemuharibu ubongo,apuuzwe tu
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu balozi Karume ndiye aliwahi kumpa za uso Fatma Karume wakati fulani?
Hawa wanyasa walioloea visiwani wana visirani sana; baada ya kuachwa kwenye baraza la mawaziri ndivyo wanavyomlipa kauli za kijinga kiwango hicho. Si mtoto si baba wote wana kauli zenye ukakasi sanaBalozi Karume amkosoa vikali Rais wa Zanzibar kwa sera ya kukodisha kisiwa, amuita ni "Bwana Mdogo", asema "Ni maamuzi mabovu kabisa haya"
Chanzo: Jambo TV
Atampaje za uso mtoto wa kaka yake? Alikua anamfunda!Huyu balozi Karume ndiye aliwahi kumpa za uso Fatma Karume wakati fulani?
Huyu mchumi is getting too personal...
Kodi ya nchi inalipwa na mtu mmoja?
Mwinyi is smart, kama hicho kisiwa hakizalishi, na Zanzibar ni tourism dependant economy, what's the problem na kukikodisha...
Yeye Ally anajiita mchumi lakini naona ana deep hate....
Hicho kisiwa kikijengwa hela nyingi zitazunguka Zanzibar, hiyo sovereignty ya nchi inaondolewa kwa kufanya biashara?
Huyo mwekezaj halip kodi ya kufanya biashara?
Hataajiri wazanzibari?....
Jembe hili