Balozi Karume amkosoa vikali Rais wa Zanzibar kwa sera ya kukodisha kisiwa, amuita ni "Bwana Mdogo"

Balozi Karume amkosoa vikali Rais wa Zanzibar kwa sera ya kukodisha kisiwa, amuita ni "Bwana Mdogo"

Unajua matumizi ya jf? Naona unaongea mambo ambayo hujui

Nimemqoute mtu ambae kazungumzia ishu ya ulevi na sio ishu ya main topic

Bfr ujajiunga jf ulitakiwa kusoma matumizi na umri wa kujiunga
Ninyi vitoto vya shule ndio mjifunze jinsi ya kutumia "h" panapotakiwa na siyo mnatumia "u" mahali pa "h" .
Hujajiunga na siyo ujajiunga! Umejisikiae mkongwe kusahihishwa na mtoto?
 
Ninyi vitoto vya shule ndio mjifunze jinsi ya kutumia "h" panapotakiwa na siyo mnatumia "u" mahali pa "h" .
Hujajiunga na siyo ujajiunga! Umejisikiae mkongwe kusahihishwa na mtoto?

Kiswahili sio lugha yangu

Una hoja nyingine?
 
Kiswahili sio lugha yangu

Una hoja nyingine?
Huu nao ni utumwa Tena mbaya kuliko ule wa kutumikishwa na nyapara! Mkataa asili ni mtumwa wa fikra, na ndicho ulichonacho ndani ya fuvu lako! Mkubwa unakwama wapi katika kujenga hoja?
 
Bahati mbaya uzao wa mzee karume wengi "sio rizki"
 
Balozi Karume amkosoa vikali Rais wa Zanzibar kwa sera ya kukodisha kisiwa, amuita ni "Bwana Mdogo", asema "Ni maamuzi mabovu kabisa haya"


Chanzo: Jambo TV
Aisei! Kwanza, lugha aliyotumia akimu adress Rais haina staha. Rais hata akiwa mwanao wa kumzaa au mdogoako tumbo moja kuna namna ya kuwasiliana nae. Pili, hakutoa solution (tusikodishe visiwa tufanye nini?). Naamini anao uwezo kuomba window ya kuonana na Mhe. Rais na kumpa ushauri kwa maandishi.


Si sahihi kwa mtu anayejiita mchumi kukosa majibu bali kukosoa. Asaidie kuijenga Zanzibar. Ampe heshima Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Mwinyi. Kwa nafasi ya familia ya Mzee wetu Karume hii njia aliyotumia si sahihi. 🙏🙏🙏
 
Balozi Karume amkosoa vikali Rais wa Zanzibar kwa sera ya kukodisha kisiwa, amuita ni "Bwana Mdogo", asema "Ni maamuzi mabovu kabisa haya"


Chanzo: Jambo TV
Watajuana na Uchumi wao wa Buluu..

Eti huyu Husein ndio Misukule ya Mwendazake ilikuwa inasema anafaa kuongoza Tanzania kumzidi Rais Samia.

Zero brain kabisa mtu asiye na connection Wala exposure angeididimiza kabisa Tanzania
 
Huu nao ni utumwa Tena mbaya kuliko ule wa kutumikishwa na nyapara! Mkataa asili ni mtumwa wa fikra, na ndicho ulichonacho ndani ya fuvu lako! Mkubwa unakwama wapi katika kujenga hoja?

Sasa kama kiswahili sio lugha yangu ni lazima kulazimisha? Kwani kila mtu anatakiwa kujua kizungu au kiswahili?

Umeona makosa kwenye uandishi wangu nimekupa sababu na hutaki kuamini sasa nakusaidiaje?
 
Sasa kama kiswahili sio lugha yangu ni lazima kulazimisha? Kwani kila mtu anatakiwa kujua kizungu au kiswahili?

Umeona makosa kwenye uandishi wangu nimekupa sababu na hutaki kuamini sasa nakusaidiaje?
Nialike kwenye sherehe za pasaka!
 
Zaidi ya kumiliki hilo jina kalifanyia nini hili Taifa??
 
Back
Top Bottom